B.4really
Senior Member
- Jan 30, 2013
- 199
- 89
Ujio wa smartphones na chinese phones zimetusaidia sana katika sekta ya mawasiliano nchini but hizi simu nahisi kama tunazitumia isivyostahili kwani imefikia hatua sasa private/public drivers wanaendesha magari huku wanaongea na simu,kuandika msg au kusurf kwenye internet huku wakiwa wanaendesha vyombo vya moto kitu ambacho ni hatari kwa maisha yao na jamii kwa ujumla,tumeshuhudia ajali nyingi sana za barabarani zilizopelekea kuwapoteza ndugu zetu kwa uzembe mbalimbali unaofanywa na madereva ,
Je serikali haioni kwamba hii pia inaweza ikawa ni sababu za ajali kuongezeka nchini na ni kitu ambacho kinaweza kukomeshwa kwa watu wenye tabia hizo kulipia traffic notifications na kuongeza pato la nchi!?
NI MTAZAMO TU.
Je serikali haioni kwamba hii pia inaweza ikawa ni sababu za ajali kuongezeka nchini na ni kitu ambacho kinaweza kukomeshwa kwa watu wenye tabia hizo kulipia traffic notifications na kuongeza pato la nchi!?
NI MTAZAMO TU.