Kama Mc Tilly ChizengaWalamba lips wa JF nitamsaidia Boflo kuwataja.......watu wanajishebedua hela hawana.......basi tabu tupu......
Kwa hiyo wanawake tusitafute hela?
Wakati kuna wanaume nao wanashobokea wanawake wenye hela! Kwenye mapenzi kuna choices mbali mbali lol.
SAA TISA ZA USIKU..............:whoo:πππ±π
mzabzab njoo utoe tafsiri huku..!
hahahaha yaani mie ndio wakutoa tafsiri ya kabang wakati watumiaji wapo wengi humu lol
saa tisa za usiku...................πray2:
SAA TISA ZA USIKU..............:whoo:
Boflo, una hasira na wanaume? Sasa kama mwanamke anazo na amekupenda anakuambia sitaki utoke nje wala kufanya kazi....wewe kazi yako ni kunifurahisha mimi kitandani tu, kila utakacho nitakupa. Ya nini kufanya kazi ama utafute hela wakati za bure zipo?
iyo sloopu na ita jaa kukutokea puani napia ni kama umeme waluku.
Kuna usi unasema kuoa kwenye familia maskini ni uzembe ila kuzaliwa kwenye familia maskini sio uzembe
No HB!!No money no honey no AIDS
πππ±π
Nimetoa ushauri kwa wenzangu na ww pia waweza toa kwa wenzako...lol
King'asti nawe pia uko kwenye list ya wanga wa jf
Wanaume tafuteni hela kwa bidii sana,zile
zama za kuuza sura na kulambalamba lips
zimeisha.Maisha ni magumu hayana
shortcut,wengi wetu mnapenda tu Bata
wakati hamna hela wala vyanzo sustainable
vya mapato mnaishia kuliwa Kabaang kwa
tamaa za maisha yasiyo yenu.. Wanawake wa
kizazi hiki wamejanjaruka mbaya,
wanaangalia mtu mwenye feza ,unashinda Gym kujazia misuli wakati
Wallet imetuna kwa Business Cards badala ya noti .Wanawake hawataki tena 6Packs
wala slim body,wanataka uwe na hela na
maendeleo .Usiuze sura, hata Chatu sura anayo