Wanaume tafuteni hela kwa bidii sana,zile
zama za kuuza sura na kulambalamba lips
zimeisha.Maisha ni magumu hayana
shortcut,wengi wetu mnapenda tu Bata
wakati hamna hela wala vyanzo sustainable
vya mapato mnaishia kuliwa Kabaang kwa
tamaa za maisha yasiyo yenu.. Wanawake wa
kizazi hiki wamejanjaruka mbaya,
wanaangalia mtu mwenye feza ,unashinda Gym kujazia misuli wakati
Wallet imetuna kwa Business Cards badala ya noti .Wanawake hawataki tena 6Packs
wala slim body,wanataka uwe na hela na
maendeleo .Usiuze sura, hata Chatu sura anayo
Boflo, una hasira na wanaume? Sasa kama mwanamke anazo na amekupenda anakuambia sitaki utoke nje wala kufanya kazi....wewe kazi yako ni kunifurahisha mimi kitandani tu, kila utakacho nitakupa. Ya nini kufanya kazi ama utafute hela wakati za bure zipo?