USHAURI KWA Wanaume

Boflo

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2010
Posts
4,383
Reaction score
4,412
Wanaume tafuteni hela kwa bidii sana,zile
zama za kuuza sura na kulambalamba lips
zimeisha.Maisha ni magumu hayana
shortcut,wengi wetu mnapenda tu Bata
wakati hamna hela wala vyanzo sustainable
vya mapato mnaishia kuliwa Kabaang kwa
tamaa za maisha yasiyo yenu.. Wanawake wa
kizazi hiki wamejanjaruka mbaya,
wanaangalia mtu mwenye feza ,unashinda Gym kujazia misuli wakati
Wallet imetuna kwa Business Cards badala ya noti .Wanawake hawataki tena 6Packs
wala slim body,wanataka uwe na hela na
maendeleo .Usiuze sura, hata Chatu sura anayo
 
Kwa hiyo wanawake tusitafute hela?
Wakati kuna wanaume nao wanashobokea wanawake wenye hela! Kwenye mapenzi kuna choices mbali mbali lol.
Nimetoa ushauri kwa wenzangu na ww pia waweza toa kwa wenzako...lol
King'asti nawe pia uko kwenye list ya wanga wa jf
 
Aaaaah! Kabaaaaang Ndio nini mkuu??
 
Kuna usi unasema kuoa kwenye familia maskini ni uzembe ila kuzaliwa kwenye familia maskini sio uzembe
 
Boflo, una hasira na wanaume? Sasa kama mwanamke anazo na amekupenda anakuambia sitaki utoke nje wala kufanya kazi....wewe kazi yako ni kunifurahisha mimi kitandani tu, kila utakacho nitakupa. Ya nini kufanya kazi ama utafute hela wakati za bure zipo?
 
Last edited by a moderator:
Hehehe. Ndo unanistukia leo? Hamna ambapo sipo baba!
Ndo uache upendeleo. Unajua wavuta bhange kama snowhite wakisoma hapa watadhani hawapaswi kusaka mahela aisee.
Nimetoa ushauri kwa wenzangu na ww pia waweza toa kwa wenzako...lol
King'asti nawe pia uko kwenye list ya wanga wa jf
 
Last edited by a moderator:
no one like Boflo kiukwel huwa napenda xana post zako big up , pia naomb kama kuna uwezekan 2weke wajina ya walamb lips ndan ya jf!!!!! teh teh
 
Last edited by a moderator:
Hehehe. Ndo unanistukia leo? Hamna ambapo sipo baba!
Ndo uache upendeleo. Unajua wavuta bhange kama snowhite wakisoma hapa watadhani hawapaswi kusaka mahela aisee.
Aiseee leo umenifungua macho, nilikuwa nashangaa kwa nn snowhite hakati maji,
kumbe zake ni ganja!!, salute dada
 
Last edited by a moderator:
no one like Boflo kiukwel huwa napenda xana post zako big up , pia naomb kama kuna uwezekan 2weke wajina ya walamba lips ndan ya jf!!!!! teh teh

Walamba lips wa JF nitamsaidia Boflo kuwataja.......watu wanajishebedua hela hawana.......basi tabu tupu......
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…