hKichaka
Senior Member
- Apr 23, 2011
- 199
- 19
Nimekuwa nikipita pita huku vijijini kama mikoa 3 hivi wananchi wanavyoongea kuhusu ccm ni dhahiri kuwa wamechoka.Mambo makubwa wanayosema ni ufisadi na maisha magumu.Kwa kweli wasipobadilika sijui mpaka watoto wa shule ya msingi utasikia wanataniana kujivua gamba.