bomouwa
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 1,149
- 800
Habari wanajamvi?
Mqgari mengi yanayomilikiea na wachaga mengi husimama katika hotel za dar exp, kilimanjaro parrot ike ilioko mbele ya kilimanjaro motel..
Lakini iliaminika mabus yaliojiwekea mizizi katika route hiyo ni Dar express na Kilimanjaro ingawa miaka ya karibuni wamekuja washindani wengine kama Hai exp, Kidia1, Ibra line, Machame, n. K
Mtakubaliana na mimi kua magari yanayomilikiwa na Watanzania wa asili ya kiarabu wengi hupenda sana kusimama Hotel za ajabu...
Siongei kwa ubaya ila kwanza nawapa Credits Tahmeed, Raqeeb, naModern Coast kwa kua na gari saaana..
ILA NAOMBA SAAAANA, MKITAKA KUPATA SOKO ZURI TAFADHALI ACHEEEEENI KUSIMAMA LIVERPOOL HOTEL MAANA NI PACHAFU NA HAWANA HUDUMA NZURI..
Mqgari mengi yanayomilikiea na wachaga mengi husimama katika hotel za dar exp, kilimanjaro parrot ike ilioko mbele ya kilimanjaro motel..
Lakini iliaminika mabus yaliojiwekea mizizi katika route hiyo ni Dar express na Kilimanjaro ingawa miaka ya karibuni wamekuja washindani wengine kama Hai exp, Kidia1, Ibra line, Machame, n. K
Mtakubaliana na mimi kua magari yanayomilikiwa na Watanzania wa asili ya kiarabu wengi hupenda sana kusimama Hotel za ajabu...
Siongei kwa ubaya ila kwanza nawapa Credits Tahmeed, Raqeeb, naModern Coast kwa kua na gari saaana..
ILA NAOMBA SAAAANA, MKITAKA KUPATA SOKO ZURI TAFADHALI ACHEEEEENI KUSIMAMA LIVERPOOL HOTEL MAANA NI PACHAFU NA HAWANA HUDUMA NZURI..