shadcole kuna mawili: au wewe ni mchawi au ulifeli FII na ukajenga uadui kwa waliokuacha kimasomo. Haiwezekani kuanzia asubuhi hadi usiku unawakatisha watu tamaa kwenye jambo ambalo lipo wazi kwa comment zako!........cut-off point za kozi nyingi za sayansi ni point 2 na hata 2.5 ambazo ni D,E & E au D,D & E. WAdanganye wavivu wa kusoma!