Mzee wa kidigital
Member
- Sep 23, 2017
- 6
- 1
Jaman nimemaliza form6 cbg Nina E bios E chem na S geog o level F maths j je naweza kusoma course gan?
Naomba mnisaidie nimeapply nimekosa nacte
Naomba mnisaidie nimeapply nimekosa nacte
apply ITJaman nimemaliza form6 cbg Nina E bios E chem na S geog o level F maths j je naweza kusoma course gan?
Naomba mnisaidie nimeapply nimekosa nacte
SidhaniKwa hyo unataka appl y tena kupitia nacte?
Jaribu na privateJaman nimemaliza form6 cbg Nina E bios E chem na S geog o level F maths j je naweza kusoma course gan?
Naomba mnisaidie nimeapply nimekosa nacte
sorry ivi kwa matokeo haya EDC form six 2014 ntapata diploma ya ualimu?Tafuta Education faster... mkuu
Utapata mkuusorry ivi kwa matokeo haya EDC form six 2014 ntapata diploma ya ualimu?
poa poa mkuuUtapata mkuu
Tumia cheti chako cha Form 4, omba diploma Chuo cha Maji.Jaman nimemaliza form6 cbg Nina E bios E chem na S geog o level F maths j je naweza kusoma course gan?
Naomba mnisaidie nimeapply nimekosa nacte
System iko vizuri, hapo ni kwamba kwa koz nyingne nafasi zimejaaKuna mdogo wangu kapata three ya 24 hakuchaguliwa A level second selection.. sasa tumejaribu kuapply aanze kusomea Cheti level ya Clinical Medicine lakini wanatupa option ya Nursing tu na vyuo vya nursing tu... Hapo inakuwaje wa kuuu au system haijakaa vizuri bado!??
Nafasi za Certificate in Clinical Medicine zimeisha zimebaki nafasi 50 tu katika chuo fulani walioomba mpaka sasa ni kama 800 hiviKuna mdogo wangu kapata three ya 24 hakuchaguliwa A level second selection.. sasa tumejaribu kuapply aanze kusomea Cheti level ya Clinical Medicine lakini wanatupa option ya Nursing tu na vyuo vya nursing tu... Hapo inakuwaje wa kuuu au system haijakaa vizuri bado!??
Duuh...!! Hivi mtu huwezi kwenda kuomba Chuoni direct hata cha private!???Nafasi za Certificate in Clinical Medicine zimeisha zimebaki nafasi 50 tu katika chuo fulani walioomba mpaka sasa ni kama 800 hivi
Poa sanaa mkuu...!! Ivi kama zimejaa kwa hela ile ilee nlolipiaa naweza badilisha nkaenda kuomba upande wa Engineering badala ya health..!??? Bila kulipia pesa nyingine maana hii nlolipa bado sijaa applySystem iko vizuri, hapo ni kwamba kwa koz nyingne nafasi zimejaa
Unaweza kama huko nafasi bado zipoDuuh...!! Hivi mtu huwezi kwenda kuomba Chuoni direct hata cha private!???
Nacte wanadahili Afya na Ualimu tu hiyo labda uwaachie tuPoa sanaa mkuu...!! Ivi kama zimejaa kwa hela ile ilee nlolipiaa naweza badilisha nkaenda kuomba upande wa Engineering badala ya health..!??? Bila kulipia pesa nyingine maana hii nlolipa bado sijaa apply
Aiseee...!! Bhasi poa maji ya shingoo mkuiNacte wanadahili Afya na Ualimu tu hiyo labda uwaachie tu
Mmeshaanza eeeehNafasi za Certificate in Clinical Medicine zimeisha zimebaki nafasi 50 tu katika chuo fulani walioomba mpaka sasa ni kama 800 hivi