Ushauri kwa wabunge wote mtusaidie kuzuia hili katazo la TCRA kukataza online TV zisifanye kazi

Francis12

JF-Expert Member
Sep 30, 2016
7,533
22,276
Ushauri kwa wabunge wote bila kujali itikadi za vyama vya siasa.
Naomba wabunge mtusaidie kuzuia hili katazo la TCRA kukataza online TV zisifanye kazi. Hapa linazuiwa Bunge na platforms zenu wanasiasa na kadhalika. Wanataka Magu na Makonda wakiita press conference na kurusha live kwenye TV. Wanaojibu wasiwe na access hiyo. Manji na Gwajima walijibu na kupitia online TV tukapata kila kitu. Maana television za kawaida zinakatazwa. Ipiganiwe hii wananchi tusiwe wapokea hoja za watawala peke yao. Majibu dhidi yao tusiyapate. Tuendako si kuzuri. Online broadcasting ziendelee mpaka watakapoleta hiyo sheria.

Ndimi Luqman MALOTO
 
Na hao wenye hizo tv wafanye kuwasilisha hela zao za matangazo... serikali ipate chake!!!
 
Ushauri kwa wabunge wote bila kujali itikadi za vyama vya siasa.
Naomba wabunge mtusaidie kuzuia hili katazo la TCRA kukataza online TV zisifanye kazi. Hapa linazuiwa Bunge na platforms zenu wanasiasa na kadhalika. Wanataka Magu na Makonda wakiita press conference na kurusha live kwenye TV. Wanaojibu wasiwe na access hiyo. Manji na Gwajima walijibu na kupitia online TV tukapata kila kitu. Maana television za kawaida zinakatazwa. Ipiganiwe hii wananchi tusiwe wapokea hoja za watawala peke yao. Majibu dhidi yao tusiyapate. Tuendako si kuzuri. Online broadcasting ziendelee mpaka watakapoleta hiyo sheria.

Ndimi Luqman MALOTO
pale ambapo sirikali inakazana kuwanyima watanzania habari bila kufahamu hii dunia kwa sasa ipo kwenye level nyingine kwa teknolojia wakazane kujenga viwanda ili watu wawe na shughuli za kufanya ...........
 
Uliyo yaandika ni tofauti na dhumuni halis
wacheni kutafuta kick kwa kuzusha zusha vitu vya hovyo
 
Wewe chicken head usiwe unaandika pumba kwenye mada zangu humu JF watu wenyewe uwezo mdogo wa kufikiri siku zote akili zenu huwa zinafungiwa lumumba
Uliyo yaandika ni tofauti na dhumuni halis
wacheni kutafuta kick kwa kuzusha zusha vitu vya hovyo
 
Acha kwanza tumalize kumshughulikia Makonda wenu!
 
Ushauri kwa wabunge wote bila kujali itikadi za vyama vya siasa.
Naomba wabunge mtusaidie kuzuia hili katazo la TCRA kukataza online TV zisifanye kazi. Hapa linazuiwa Bunge na platforms zenu wanasiasa na kadhalika. Wanataka Magu na Makonda wakiita press conference na kurusha live kwenye TV. Wanaojibu wasiwe na access hiyo. Manji na Gwajima walijibu na kupitia online TV tukapata kila kitu. Maana television za kawaida zinakatazwa. Ipiganiwe hii wananchi tusiwe wapokea hoja za watawala peke yao. Majibu dhidi yao tusiyapate. Tuendako si kuzuri. Online broadcasting ziendelee mpaka watakapoleta hiyo sheria.

Ndimi Luqman MALOTO
Ohhh No! Hilo katazo limetolewa lini!!!? mwenye nakala aturushie.
 
Ushauri kwa wabunge wote bila kujali itikadi za vyama vya siasa.
Naomba wabunge mtusaidie kuzuia hili katazo la TCRA kukataza online TV zisifanye kazi. Hapa linazuiwa Bunge na platforms zenu wanasiasa na kadhalika. Wanataka Magu na Makonda wakiita press conference na kurusha live kwenye TV. Wanaojibu wasiwe na access hiyo. Manji na Gwajima walijibu na kupitia online TV tukapata kila kitu. Maana television za kawaida zinakatazwa. Ipiganiwe hii wananchi tusiwe wapokea hoja za watawala peke yao. Majibu dhidi yao tusiyapate. Tuendako si kuzuri. Online broadcasting ziendelee mpaka watakapoleta hiyo sheria.

Ndimi Luqman MALOTO

Sasa wewe unaona Manji na Gwajima walivyoita press Conference kuna ishu ambayo umeijua na wamekulewesha nini sasa mpaka sasa. Press conferrence ya jana Ya mkuu wa mkoa na akina Gwajima ipi ambayo ilikugusa mapaka ukasema hivyo? Jaman hata kama ni mawazo tuwe kidogo tunafikiria kwa kweli. Sheria hiyo iliowazuia hawa jamaa walitunga hawa hawa hawa wabunge ambao leo tena unaomba wakusaidie tena????? ThinkBig plzzzzzzz. Huyo manji yupo wapi now kama sio madawa haya haya ndio yanamtesa muhimbili huko????
 
Back
Top Bottom