Ushauri kwa vijana wezangu

Ushauri kwa vijana wezangu

bahaticaro

Senior Member
Joined
Jul 20, 2012
Posts
100
Reaction score
31
kama wewe ni kijana ambaye una umri wa miaka 25 hii ni speacial kwa wasichana ukipata chance ya kuolewa aisee usiikatae cz i did my reserch about this marriage things nikagundua kuwa unamuhimu wa kuolewa mapema faida ya kwanza unajijengea heshima binafsi wazazi pamoja na jamii , pili unakuwa na chance kubwa ya kujipunguzia stress za kuwa na leo john kesho ally etc ingawa kuna baadhi waliolewa bdo wanafanya ujinga sitak kuwaongelea hao, tatu aisee hakun raha kama kuwa na watoto mapema yaan unawapata ukiwa bdo una nguvu kiafya na uwezo wa kufanya kazi ili kuwahudumia unajikuta ukifik miak 35 umeshamaliza kuzaa but this depends on the number of kids you want, apart from watoto pia kuna faida ya kujipunguzia risk ya magonjwa kama wewe na mwenzio mtakuwa waaminifu kwenye ndoa kwahy my dia girls mkipata hiz fursa zichangamkieni achaneni na fikra potofu za kusema bdo nakula ujana, oooh mara natak mwenye hela si na wew ufanye kazi upate za kwako...wengine naongopa kuchakaa nan alisema ukiolewa mapema utachakaa utakuja kulea wajukuu cz unajikuta unaolewa 35 una miaka 50 mwanao wa kwanza ana miak 15 sasa maan yake ni nini? kwa wale ambao mmeshachelewa polen ila jitahdin.
 
Maisha hayana formula cha muhimu ni kumshirikisha Mungu kwenye kila jambo unapochagua mwenzi usikimbie kisa umri mwenzi si sawa na nyumba unaweza ibomoa na kujenga upya. Tafutamwenzi ambaye mtazeeka nae na si kwa sababu ya kukimbilia umri.
 
Kweli kuna ambao wahabahatika kuolewa mapema ila may be 10% ya 100.Wengi wanashindwa kupata hiyo fursa coz they are too selective and materialistic!Huu mradi wa mapenzi ni pesa ndo unafanya wasiolewe mapema!
 
Me huo mstari wa mwisho tu ndugu yangu " kwa wale ambao mmashachelewa poleni, Ila jitahidini".
Ndugu kuna kikomo cha kuolewa? Na je wajitahidi kufanyaje, kulazimisha ndoa au?

Karibu Kila msichana anatamani kuolewa na kuwa na familia yake as long as amempata mtu sahihi kwake na anajiona yupo tayari kwa ndoa . Kama mtu sahihi hajapatikana, ulazimishe kuolewa kwa sababu ni heshima au kwa sababu umri unakwenda au kwa sababu wazazi na jamii inakupa pressure?

Ni bora ukachelewa kuolewa, lakini ukaolewa na mtu sahihi. Kuliko kuwahi kwa sababu ya hizo pressure afu ukajikuta unajutia maisha yako. Ikitokea umepata mtu sahihi na ukaolewa mapema, hongera zako. Wale ambao watachelewa kuolewa kwa sababu zao pia, basi maamuzi yao yaheshimiwe.
 
Tatizo hawa wadada hawajui tofauti ya kupenda na kutamani!Hivi umemapproach msichana Leo baada ya siku tatu ukapewa papuchi kuna mke hapo?lazma ujiulize Kawapa wangapi kwa staili hiyo? Afu wengine wanadhani yule mwanaume anaehonga sana ndo mwenye Upendo which in fact it's not so! Tatu hivi we mleta mada ukiona msichana wa 25 yrs anatembea na mme wa mtu do you think huyo Ana mpango wa kuolewa?
 
Mwanamke akishafika umri wa miaka 30 soko lake linapungua ata ndoa anaanza kuitafuta kwa tochi
Mwishowe wanajioa wenyewe!
 
na waume za watu wanavyojua kuhonga sasa enyi waume za watu punguzeni bas kuhonga muwaache mabinti waolewe
 
kwanza mwanamke unakuwa umeshapanic unajikuta atakayekuja yeyeto unajiondokea ili mradi uolewe
 
swal la kumuomba mungu na kuwa na subira ni muhimu vilevile
 
Fonts Muwe munaziwekea rangi na size ambayo sisi wazee wenu hatutaweza kuona. Title peke yake haitoshi.
 
siwez kuforce ndoa kisa heshima, ndo yale yale unaforce ndoa na isidumu utakuwa umefanya nn sasa ,mungu akijaalia ntaolewa hata na 50 yrs.
 
Ungekuwa karibu ningekupa USD100, hapo hapo ukachenji mwenyewe. Umesema vizuri.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom