Ushauri: Kwa ufaulu huu anaweza kusoma course ya labaratory technician au nursing?

shemshashu

Member
Jan 14, 2017
40
29
Nina kijana amemaliza form four na kufaulu masomo ya sayansi chemistry c biology c hajafanya physics masomo yote kafaulu kwa kiwango kizuri kasoro mathe f. Je kijana huyu anaweza kusoma course ya labaratory technisial au nursing.
 
Hapana hawez kusoma saa ndalichako Anataka 5 kama daz baba nipe tano mwambie aende mipango au IT
 
Back
Top Bottom