Ushauri kwa Tundu Lissu: Usitumie vyombo vya habari vya kimataifa kuishutumu Serikali kwani huu ni uhaini

kama ni mwanaume huna akili kabisa. Mtu anusurike kufa alafu akuchekee na kukusifia.

Lisu kwa aliyofanyiwa hata ingekuwa ni mimi ningefanya zaidi ya hayo.
 
Nimesoma kidoogo nikajua nasoma ujinga wamtu asojua kuandika...kama we mleta hoja ni mwanaume basi pole!! Huujui uanaume...
 
Again....mtamuua Lissu, lakim bado hamtaua ndoto yake.

Uzuri nikwamba watu wamewachoka kiasi kwamba Chochote kwao ni kitu.

Mtaua wangapi????
 
Sasa wewe unachokiandika hapa unafikiri hauhitaji wataalam na washauri wa kisaikolojia?
 
....na nyie watu wa chadema mumwambia ukweli.
Labda wanajua wanachokifanya
====
Tukirudi kwenye mada(nawaza)
----
Kuna mahali niliwahi kuandika humu, kuwa Mh. Lissu kwa sasa ni mateka...na watekaji wake wametumia kuumwa kwake kumuamrisha kila analofanya. Lissu hana uhuru tena. Wakati mwingine tumsamehe...cha msingi watafutwe wale watekaji wake na washughulikiwe kwa taratibu zilizopo...Lissu anusuriwe kutoka kwa watekaji wake ni mtanzania mwenzetu.

#matekaLissuAkombolewe
 
Jamani samahan lakini maana naona mpaka watu wana anzisha thread za Tumainiel japo naona wana tafuka kik kama za Mzee Lisu ila japo za Lisu zinafunga mwakA.


Hivi huyu Mh anarudi Tz baada yakuchafuwa taifa lake au atabaki huko huko kuomba kura za watanzania waishio nje wampe Urais.

Mimi sijamuelewa kiukweli simuelewo japo najuwa kuna watu wanamuelewa ila mim simuelewi.

Mbona anaongea kama mtu alie choka na taifa lake Yani kama harudi tena.

Wataalam wa saikolojia embu ingilieni kati Uwenda lipo tatizo tusilo lijuwa maana sio kwa maongez yale.

Hivi najiuliza why asirud kuja funguwa shauri au aende mahakama za kimataifa hivi kweli huyu jamaa anajuwa kweli anachokifanya kweli au anawatafuta nini maofisa usalama tuseme kweli na nyie watu wa chadema mumwambia ukweli.

Anazidi kuichafuwa kwakutoka kuwa mwanasiasa nakuwa muwasi wa taifa lake. Hili litamfanya kwenda mahakaman nakufunguliwa kesi ambazo ata mawakili wadunia watashindwa kumtetea. Hivi kweli anafikiri wazungu wana shida na yeye as long masilahi yao yapo salama? Sidhani kama anaelewA.

Jamani tuepuke kuwa maadui wataifa kweli nawaambia hii sio siasa ni hujuma kwa taifa after all Mungu ndie mpaji wa yote.

Mnahangaika na Magufuli mwisho wa siku mtaona Aibu nakuinamisha vichwa. Aibu kwakweli inawasubiri.
Unamshauri arudi tena mmehairisha mpango wa kummaliza huko alipo kama ulivyo haidi humu siku chache zilizopita?,
Hebu eleza Tanzania inavyo chafuka pale Lissu anaposema "nilipigwa risasi na walonipiga risasi hawajakamatwa"
 
Na,
Eng. Ayubu Massau
Morogoro

Habari Mheshimiwa Tundu lissu

Nianze kwa kukupa pole kwa madhira ya kupigwa risasi, Jijini Dodoma, tarehe 7 septemba 2017. Hakika kila binadamu aliyeumbwa kwa nyama aliguswa na kukuombea kwa Mungu upone haraka , kwa maana ni madhira makubwa yaliyokupata na hili liliwaunganisha Watanzania kukutakia heri upone haraka , tukiongozwa na Mh. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli, ambaye pia alitoa maagizo kwa vyombo vya usalama , washugulikie suala la madhira yako, na Naamini wahusika wakipatikana watafikishwa katika mikono ya dola.

Jambo la kupigwa risasi liliwaunganisha Watanzania ,ndio maana viongozi mbalimbali bila kujali Nafasi zao walianza kukusaidia kuokoa uhai wako kuanzia hospitali ya rufaa-Dodoma na wengine walifika kukujulia hali ,pale hospitalini Agha khan –Nairobi , na pia Nchini Ubelgiji , hili ni jambo la wewe kushukuru kwani jambo lako kila mtanzania lilimgusa.

Baada ya Utangulizi huo Nijikite katika mahojiano yako na vyombo vya habari vya nje.

Nimefatilia, kuhusu mahojiano yako na kituo cha BBC katika kipindi Maarufu cha HARD TALK, Nikaendelea kufuatilia pia kwa vyombo vingine vya habari kama DW ya Ujerumani na KTN ya Kenya , hakika unahitaji tafakuri ya kina katika Majibu yako dhidi ya Taifa lako, kwani unachofanya dhidi ya serikali yako ni Uhaini dhidi ya taifa lako la Tanzania.

Kuishambulia serikali ya nchi yako na kuihusisha na mambo yasiyokuwa na ushahidi na mambo ambayo vyombo vya dola haviyathibitisha huu ni uhaini dhidi ya serikali na Rais wake , Tundu lissu kumbuka wewe ni mwanasheria, lakini ukiulizwa maswali kuhusu serikali unaishutumu moja kwa moja kuhusika kwake katika shambulio lako la kupigwa Risasi, jambo ambalo hata wanao kuhoji hustaajabu na kuduwaa.

Mfano , kuna swali uliulizwa HARD TALK na DW, uliulizwa, Je ? ni nani alihusika kupigwa kwako risasi na kwa nini? Kama mwansheria uliyewiva sikutegemea Majibu uliyotoa ya kuihusisha serikali ya Rais Magufuli na mambo yaliyokutokea kwa kupelekwa mahakamani kwa vipindi tofauti, maana haya ndio Majibu yako makuu, lakini unashindwa kuelewa ukishakuwa mwanasiasa mkubwa kama wewe unakuwa na maadui wengi wa kikazi, kisiasa na hata kijamii, hao ni watu ambao Wanaweza pia kufanya jambo baya dhidi na sio serikali wa Rais, serikali ipo Kuhakikisha raia wake wanafuata Utaratibu na miongozo ya nchi na sio kupambana na raia wake, siku zote umekuwa ukituaminisha adui wako ni serikali jambo ambalo si kweli na ni uchochezi wa hali ya juu, kwani kufanya hivyo unachochea moto katika msitu ndio maana serikali ikiona hivyo Hutumia sheria za nchi kukufungulia mashitaka.

Kwa Majibu yako ,umeshajipa Jukumu la uchunguzi ,kuhukumu na kurusha tuhuma ,kebehi na mambo mbalimbali ambayo serikali inafanya, kiufupi umegeuka mpambanaji wa serikali, Rais ,na watanzania kwa ujumla na sijui kufanya hivi unawapigania kina nani?.
Kwa sasa , huelezei madhira yaliyokupata bali kupitia madhira yako ya kupigwa risasi, umeamua kufanya siasa chafu dhidi ya taifa lako na Rais wako, maana kila unachoulizwa kuhusu Taifa lako umekuwa ni kutukana na kuiponda,kueleza uongo, lakini unashindwa kuelewa hata hao wanaokuhoji wanatambua fika kazi kubwa inayofanyika awamu hii ya Tano, katika nyanja za Elimu bure, Miundombinu, Usafirishaji, kupambana na rushwa,afya na Kutunza tunu yetu ya Taifa ambayo ni Amani n.k.

Napenda kukushauri badilika , maana unachokitafuta kiovu katika Taifa hili , huwezi fanikiwa na usifikiri unapambana na Rais Magufuli , bali unapambana na watanzania wazalendo, unapomshambulia Rais unashambulia taifa, maana Rais ndio nembo ya taifa, kumdhalilisha rais ni kudhalilisha taifa, hata wanaokuhoji wanakushangaa na huu ndio tunauita uhaini, lazima utambue taifa hili tumelikuta limejengwa katika misingi ya uzalendo na kuheshimu mamlaka hata kama Tunatumia ibara namba 18 ya katiba ya Jamhuri ya Muungano, kutoa maoni yetu, Tundu lisu utapita ,mimi nitapita na wengine watapita Tanzania itabaki na wataishi ndugu zako, ndugu zangu, ndugu wa Rais na wengineo , hivyo lazima tutunze misingi ya taifa letu na sio kulishambulia taifa nje ya mipaka ya Tanzania.

Nakuomba ubadilike katika mahojiano yako unayoyafanya, pia nakukumbusha wakati wa Bunge la katiba ulimshambulia Baba wa Taifa , Mwalimu Nyerere kwa maneno ya dharau na kebehi, jambo ambalo lilimkasirisha sana, mzee Edwin Mtei , mwasisi wa chadema ambaye alikutaka uombe radhi kwa familia ya Baba wa Taifa, na watanzania kwa ujumla, sikumbuki kama ulifanya hivyo, Mzee mtei ni mwasisi wa chadema ,lakini anatambua tunu za Taifa na heshima kwa viongozi wa serikali, nilifikiri ulibadilika katika hili lakini inaonesha , hutaki kubadilika na kutambua unayofanya yanakasirisha watanzania wengi waliozoea ustaarabu katika siasa, heshima kwa viongozi na uzalendo kwa Taifa.

Lazima utambue, nchi zote hizo unazofanya mahojiano wana balozi zao nchini Tanzania na wanatambua hila zako maana hujaanza leo, ambazo unazifanya hivyo unachofanya ni kuwahubiria mambo wanayoyajua ,sana sana wanapima uelewa wako kwa mambo unayoyasema na mwisho wa siku utakosa msaada wa unachokitafuta kutoka kwao, naomba ujifunze kwa mwanasheria mwenzako Miguna Miguna wa Kenya , pia endelea kujifunza kwa mbunge wa bunge la Uganda , msanii Bob wine.

Natambua unapenda sana kusoma vitabu na kujielimisha, katika historia ya dunia kuanzia kwenye Biblia hadi maisha ya leo kuna watu Walifanya mambo kama unayofanya leo na Mwisho wao walihukumiwa na wananchi wa mataifa yao;

Mfano 1.
YUDA ISCARIOT: Alikuwa mmoja wa Wanafunzi 12 wa yesu, huyu alimsaliti yesu kama wewe unavyoisaliti Tanzania, Yuda alimsaliti yesu kwa Kupewa vipande 30 vya fedha , lakini Mwisho wa yote Yuda aliishi maisha ya kujutia,kutengwa na jamii, alichofanya kwani hakutambua uzito wa jambo analofanya, leo hii Yuda anafahamika kama msaliti mkubwa katika historia.

Mfano.2
MARCUS BRUTUS: Ni moja ya msaliti/mhaini anayefahamika kumsaliti mtawala wa Rumi enzi hizo Julius Kaisari na Dola la Rumi , alishiriki kutaka kumuondoa mfalme kupitia Baraza la seneti lakini Mwisho wa siku alishindwa kwa hila zake , maseneta waliamua kwa uzalendo kuangalia maslahi ya dola la Rumi na sio maslahi ya Marcus Brutus, Vivyo hivyo hao unaowatumikia na unaohitaji waiwekee Tanzania vikwazo , kama ulivyofanya mchezo wa kwenye ndege za Bombadier na Mwisho wa siku ukashinda pambano na kuandika kebehi kwenye twita lakini ulishindwa kwenye vita, maana bombadia zilikuja na watanzania tukazipokea tukiongozwa na Jemedari wa vita Dr John Pombe Magufuli, nikuhakikishie hata unaoshirikiana nao ,Mwisho wa siku watakuacha peke yako kama kifaranga aliyekosa mama, sababu kubwa wataangalia maslahi yao na sio maslahi ya Tundu Lissu.

Mfano. 3
BENEDICT ARNOLD: Mwanzoni alikuwa shujaa wa Marekani katika vita ya kutafuta uhuru wa Marekani (American Independence) , alikuwa ni Jenerali mwenye akili, mwerevu na aliyepambana kishujaa katika vita mbalimbali , lakini kwa tamaa na kutofikiria Taifa, na wananchi wa Marekani aliamua kuungana na majeshi ya Uingereza kupambana tena na Taifa lake alilokuwa anapigania lipate uhuru lakini mwisho wa siku alishindwa , kwani mpango wake aliokuwa Anafanya kwa kushirikiana na askari wa kiingereza Major John Andre , ulishindwa na heshima aliyoijenga kwa muda mrefu ilipotea na kuwa msaliti/mhaini na historia ya Marekani hadi leo inamkumbuka kama msaliti wa uhuru , hivyo basi Tundu lisu umekuwa mwansheria mzuri , mpigania haki lakini unakosa weredi ,Staha ,ustaarabu na kushindwa kutambua tabia za binadamu na duniani kwa ujumla , yote uliyopigania toka 1999 kwenye madini na kwingineko yatapotea na historia itakuandika kama msaliti/mhaini wa Taifa kwa unayoyafanya dhidi ya Taifa na Rais wa Nchi.

Mifano ni mingi sana , kwa watu waliosaliti mataifa yao kwa namna moja ama nyingine ,japo awali walionekana kama mashujaa , lakini mwisho wa siku , waliishia kuwa wasaliti wakubwa wa mataifa yao, hivyo nakushauri bado hujachelewa badilika na endesha mahojiano yako katika kuliheshimu taifa lako, kumuheshimu Rais wako, kuwaheshimu watanzania wenzako na kutambua kuwa unachofanya sasa ni kuchoma moto nyumba unayoishi wewe ukitegemea msaada wa jirani (mabeberu) kuwa utatoka salama.

Kwa jambo unalolifanya kwa sasa, unawagawa Watanzania hasa wazalendo kwa Taifa hili, lililojengwa kwa zaidi ya miaka 50, katika machozi, jasho na damu, Kuhakikisha ustawi na tunu kubwa ya amani, ambayo kwa Afrika na Dunia , sisi kama Taifa tunajivunia kuwa na Rais Magufuli, na kwa sasa anatuongoza katika vita ya uchumi , Mambo anayofanya Rais Magufuli ni makubwa sana na nadra Kufanyika kwa viongozi wengi wa kizazi hiki katika bara la Afrika , hata hao wazungu wanatambua ndio maana wanaendelea kushirikiana na Rais Magufuli katika mambo mengi, kwani wanatambua nguvu kubwa ya wananchi aliyonayo Rais Magufuli na wanatambua umuhimu wake kuliko wako, kwa unayofanya hata ingekuwa ni mataifa hayo ya Magharibi mtu afanye kama unavyofanya , wananchi wazalendo wangeghadhibika kama watanzania wanavyo gadhibika.

Mwisho , nimepitia tena mtandaoni nimeona taarifa mbalimbali kuhusu mjadala utakaofanya Chuo Kikuu cha George Washington Marekani, nakusahuri badilika kuanzia kwenye mjadala huu, na utakuwa mtu bora kabisa, usichafue serikali yako, usimchafue Rais wako, usiwakasirishe watanzania wenzako, nakushauri fanya mijadala kuhusu madhira yaliyokupata lakini usiyahusishe madhira yako na Rais Magufuli, usiyahusishe madhira yako na serikali , bali waachie vyombo vya ulinzi na kiuchunguzi wafanye kazi zao , maana usipofanya hivyo utakuwa unaichafua nchi kwa ujumla na vyombo vyake vya ulinzi na usalama na huu ndio tunaita Uhaini.

Ukimaliza , mahojiano na kuruhusiwa na madaktari wako Kurudi nyumbani Tanzania, kaa chini na serikali , wape ushirikiano katika uchunguzi wa tukio lililokutokea, acha kulitumia jambo lako kisiasa na fungua ukurasa mpya wa siasa za kistaarabu, kisomi na toa ushauri wa kitaalam panapobidi ili tulijenge Taifa letu, Msaidie Rais Magufuli kwa ushauri wa kistaarabu usio na kebehi wala jazba katika kulivusha Taifa letu kuwa , taifa la uchumi wa kati ifikapo 2025. Kwa kufanya hivyo historia itakukumbuka kwa mema , watanzania watafarijika na Mwisho wa siku , wewe, Rais Magufuli, Serikali na watanzania watakumbukwa katika historia kwa kujenga Taifa imara kiuchumi na lenye wananchi wazalendo.

Mungu Ibariki Tanzania.
Mungu mbariki Rais Magufuli.
Mungu wabariki Watanzania.
Huna lolote wewe unatafuta uteuzi kwa kivuli cha Tundu Lissu...je,unayajua maumivu aliyoyapata kwa kupigwa risasi 38?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na,
Eng. Ayubu Massau
Morogoro

Habari Mheshimiwa Tundu lissu

Nianze kwa kukupa pole kwa madhira ya kupigwa risasi, Jijini Dodoma, tarehe 7 septemba 2017. Hakika kila binadamu aliyeumbwa kwa nyama aliguswa na kukuombea kwa Mungu upone haraka , kwa maana ni madhira makubwa yaliyokupata na hili liliwaunganisha Watanzania kukutakia heri upone haraka , tukiongozwa na Mh. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli, ambaye pia alitoa maagizo kwa vyombo vya usalama , washugulikie suala la madhira yako, na Naamini wahusika wakipatikana watafikishwa katika mikono ya dola.

Jambo la kupigwa risasi liliwaunganisha Watanzania ,ndio maana viongozi mbalimbali bila kujali Nafasi zao walianza kukusaidia kuokoa uhai wako kuanzia hospitali ya rufaa-Dodoma na wengine walifika kukujulia hali ,pale hospitalini Agha khan –Nairobi , na pia Nchini Ubelgiji , hili ni jambo la wewe kushukuru kwani jambo lako kila mtanzania lilimgusa.

Baada ya Utangulizi huo Nijikite katika mahojiano yako na vyombo vya habari vya nje.

Nimefatilia, kuhusu mahojiano yako na kituo cha BBC katika kipindi Maarufu cha HARD TALK, Nikaendelea kufuatilia pia kwa vyombo vingine vya habari kama DW ya Ujerumani na KTN ya Kenya , hakika unahitaji tafakuri ya kina katika Majibu yako dhidi ya Taifa lako, kwani unachofanya dhidi ya serikali yako ni Uhaini dhidi ya taifa lako la Tanzania.

Kuishambulia serikali ya nchi yako na kuihusisha na mambo yasiyokuwa na ushahidi na mambo ambayo vyombo vya dola haviyathibitisha huu ni uhaini dhidi ya serikali na Rais wake , Tundu lissu kumbuka wewe ni mwanasheria, lakini ukiulizwa maswali kuhusu serikali unaishutumu moja kwa moja kuhusika kwake katika shambulio lako la kupigwa Risasi, jambo ambalo hata wanao kuhoji hustaajabu na kuduwaa.

Mfano , kuna swali uliulizwa HARD TALK na DW, uliulizwa, Je ? ni nani alihusika kupigwa kwako risasi na kwa nini? Kama mwansheria uliyewiva sikutegemea Majibu uliyotoa ya kuihusisha serikali ya Rais Magufuli na mambo yaliyokutokea kwa kupelekwa mahakamani kwa vipindi tofauti, maana haya ndio Majibu yako makuu, lakini unashindwa kuelewa ukishakuwa mwanasiasa mkubwa kama wewe unakuwa na maadui wengi wa kikazi, kisiasa na hata kijamii, hao ni watu ambao Wanaweza pia kufanya jambo baya dhidi na sio serikali wa Rais, serikali ipo Kuhakikisha raia wake wanafuata Utaratibu na miongozo ya nchi na sio kupambana na raia wake, siku zote umekuwa ukituaminisha adui wako ni serikali jambo ambalo si kweli na ni uchochezi wa hali ya juu, kwani kufanya hivyo unachochea moto katika msitu ndio maana serikali ikiona hivyo Hutumia sheria za nchi kukufungulia mashitaka.

Kwa Majibu yako ,umeshajipa Jukumu la uchunguzi ,kuhukumu na kurusha tuhuma ,kebehi na mambo mbalimbali ambayo serikali inafanya, kiufupi umegeuka mpambanaji wa serikali, Rais ,na watanzania kwa ujumla na sijui kufanya hivi unawapigania kina nani?.
Kwa sasa , huelezei madhira yaliyokupata bali kupitia madhira yako ya kupigwa risasi, umeamua kufanya siasa chafu dhidi ya taifa lako na Rais wako, maana kila unachoulizwa kuhusu Taifa lako umekuwa ni kutukana na kuiponda,kueleza uongo, lakini unashindwa kuelewa hata hao wanaokuhoji wanatambua fika kazi kubwa inayofanyika awamu hii ya Tano, katika nyanja za Elimu bure, Miundombinu, Usafirishaji, kupambana na rushwa,afya na Kutunza tunu yetu ya Taifa ambayo ni Amani n.k.

Napenda kukushauri badilika , maana unachokitafuta kiovu katika Taifa hili , huwezi fanikiwa na usifikiri unapambana na Rais Magufuli , bali unapambana na watanzania wazalendo, unapomshambulia Rais unashambulia taifa, maana Rais ndio nembo ya taifa, kumdhalilisha rais ni kudhalilisha taifa, hata wanaokuhoji wanakushangaa na huu ndio tunauita uhaini, lazima utambue taifa hili tumelikuta limejengwa katika misingi ya uzalendo na kuheshimu mamlaka hata kama Tunatumia ibara namba 18 ya katiba ya Jamhuri ya Muungano, kutoa maoni yetu, Tundu lisu utapita ,mimi nitapita na wengine watapita Tanzania itabaki na wataishi ndugu zako, ndugu zangu, ndugu wa Rais na wengineo , hivyo lazima tutunze misingi ya taifa letu na sio kulishambulia taifa nje ya mipaka ya Tanzania.

Nakuomba ubadilike katika mahojiano yako unayoyafanya, pia nakukumbusha wakati wa Bunge la katiba ulimshambulia Baba wa Taifa , Mwalimu Nyerere kwa maneno ya dharau na kebehi, jambo ambalo lilimkasirisha sana, mzee Edwin Mtei , mwasisi wa chadema ambaye alikutaka uombe radhi kwa familia ya Baba wa Taifa, na watanzania kwa ujumla, sikumbuki kama ulifanya hivyo, Mzee mtei ni mwasisi wa chadema ,lakini anatambua tunu za Taifa na heshima kwa viongozi wa serikali, nilifikiri ulibadilika katika hili lakini inaonesha , hutaki kubadilika na kutambua unayofanya yanakasirisha watanzania wengi waliozoea ustaarabu katika siasa, heshima kwa viongozi na uzalendo kwa Taifa.

Lazima utambue, nchi zote hizo unazofanya mahojiano wana balozi zao nchini Tanzania na wanatambua hila zako maana hujaanza leo, ambazo unazifanya hivyo unachofanya ni kuwahubiria mambo wanayoyajua ,sana sana wanapima uelewa wako kwa mambo unayoyasema na mwisho wa siku utakosa msaada wa unachokitafuta kutoka kwao, naomba ujifunze kwa mwanasheria mwenzako Miguna Miguna wa Kenya , pia endelea kujifunza kwa mbunge wa bunge la Uganda , msanii Bob wine.

Natambua unapenda sana kusoma vitabu na kujielimisha, katika historia ya dunia kuanzia kwenye Biblia hadi maisha ya leo kuna watu Walifanya mambo kama unayofanya leo na Mwisho wao walihukumiwa na wananchi wa mataifa yao;

Mfano 1.
YUDA ISCARIOT: Alikuwa mmoja wa Wanafunzi 12 wa yesu, huyu alimsaliti yesu kama wewe unavyoisaliti Tanzania, Yuda alimsaliti yesu kwa Kupewa vipande 30 vya fedha , lakini Mwisho wa yote Yuda aliishi maisha ya kujutia,kutengwa na jamii, alichofanya kwani hakutambua uzito wa jambo analofanya, leo hii Yuda anafahamika kama msaliti mkubwa katika historia.

Mfano.2
MARCUS BRUTUS: Ni moja ya msaliti/mhaini anayefahamika kumsaliti mtawala wa Rumi enzi hizo Julius Kaisari na Dola la Rumi , alishiriki kutaka kumuondoa mfalme kupitia Baraza la seneti lakini Mwisho wa siku alishindwa kwa hila zake , maseneta waliamua kwa uzalendo kuangalia maslahi ya dola la Rumi na sio maslahi ya Marcus Brutus, Vivyo hivyo hao unaowatumikia na unaohitaji waiwekee Tanzania vikwazo , kama ulivyofanya mchezo wa kwenye ndege za Bombadier na Mwisho wa siku ukashinda pambano na kuandika kebehi kwenye twita lakini ulishindwa kwenye vita, maana bombadia zilikuja na watanzania tukazipokea tukiongozwa na Jemedari wa vita Dr John Pombe Magufuli, nikuhakikishie hata unaoshirikiana nao ,Mwisho wa siku watakuacha peke yako kama kifaranga aliyekosa mama, sababu kubwa wataangalia maslahi yao na sio maslahi ya Tundu Lissu.

Mfano. 3
BENEDICT ARNOLD: Mwanzoni alikuwa shujaa wa Marekani katika vita ya kutafuta uhuru wa Marekani (American Independence) , alikuwa ni Jenerali mwenye akili, mwerevu na aliyepambana kishujaa katika vita mbalimbali , lakini kwa tamaa na kutofikiria Taifa, na wananchi wa Marekani aliamua kuungana na majeshi ya Uingereza kupambana tena na Taifa lake alilokuwa anapigania lipate uhuru lakini mwisho wa siku alishindwa , kwani mpango wake aliokuwa Anafanya kwa kushirikiana na askari wa kiingereza Major John Andre , ulishindwa na heshima aliyoijenga kwa muda mrefu ilipotea na kuwa msaliti/mhaini na historia ya Marekani hadi leo inamkumbuka kama msaliti wa uhuru , hivyo basi Tundu lisu umekuwa mwansheria mzuri , mpigania haki lakini unakosa weredi ,Staha ,ustaarabu na kushindwa kutambua tabia za binadamu na duniani kwa ujumla , yote uliyopigania toka 1999 kwenye madini na kwingineko yatapotea na historia itakuandika kama msaliti/mhaini wa Taifa kwa unayoyafanya dhidi ya Taifa na Rais wa Nchi.

Mifano ni mingi sana , kwa watu waliosaliti mataifa yao kwa namna moja ama nyingine ,japo awali walionekana kama mashujaa , lakini mwisho wa siku , waliishia kuwa wasaliti wakubwa wa mataifa yao, hivyo nakushauri bado hujachelewa badilika na endesha mahojiano yako katika kuliheshimu taifa lako, kumuheshimu Rais wako, kuwaheshimu watanzania wenzako na kutambua kuwa unachofanya sasa ni kuchoma moto nyumba unayoishi wewe ukitegemea msaada wa jirani (mabeberu) kuwa utatoka salama.

Kwa jambo unalolifanya kwa sasa, unawagawa Watanzania hasa wazalendo kwa Taifa hili, lililojengwa kwa zaidi ya miaka 50, katika machozi, jasho na damu, Kuhakikisha ustawi na tunu kubwa ya amani, ambayo kwa Afrika na Dunia , sisi kama Taifa tunajivunia kuwa na Rais Magufuli, na kwa sasa anatuongoza katika vita ya uchumi , Mambo anayofanya Rais Magufuli ni makubwa sana na nadra Kufanyika kwa viongozi wengi wa kizazi hiki katika bara la Afrika , hata hao wazungu wanatambua ndio maana wanaendelea kushirikiana na Rais Magufuli katika mambo mengi, kwani wanatambua nguvu kubwa ya wananchi aliyonayo Rais Magufuli na wanatambua umuhimu wake kuliko wako, kwa unayofanya hata ingekuwa ni mataifa hayo ya Magharibi mtu afanye kama unavyofanya , wananchi wazalendo wangeghadhibika kama watanzania wanavyo gadhibika.

Mwisho , nimepitia tena mtandaoni nimeona taarifa mbalimbali kuhusu mjadala utakaofanya Chuo Kikuu cha George Washington Marekani, nakusahuri badilika kuanzia kwenye mjadala huu, na utakuwa mtu bora kabisa, usichafue serikali yako, usimchafue Rais wako, usiwakasirishe watanzania wenzako, nakushauri fanya mijadala kuhusu madhira yaliyokupata lakini usiyahusishe madhira yako na Rais Magufuli, usiyahusishe madhira yako na serikali , bali waachie vyombo vya ulinzi na kiuchunguzi wafanye kazi zao , maana usipofanya hivyo utakuwa unaichafua nchi kwa ujumla na vyombo vyake vya ulinzi na usalama na huu ndio tunaita Uhaini.

Ukimaliza , mahojiano na kuruhusiwa na madaktari wako Kurudi nyumbani Tanzania, kaa chini na serikali , wape ushirikiano katika uchunguzi wa tukio lililokutokea, acha kulitumia jambo lako kisiasa na fungua ukurasa mpya wa siasa za kistaarabu, kisomi na toa ushauri wa kitaalam panapobidi ili tulijenge Taifa letu, Msaidie Rais Magufuli kwa ushauri wa kistaarabu usio na kebehi wala jazba katika kulivusha Taifa letu kuwa , taifa la uchumi wa kati ifikapo 2025. Kwa kufanya hivyo historia itakukumbuka kwa mema , watanzania watafarijika na Mwisho wa siku , wewe, Rais Magufuli, Serikali na watanzania watakumbukwa katika historia kwa kujenga Taifa imara kiuchumi na lenye wananchi wazalendo.

Mungu Ibariki Tanzania.
Mungu mbariki Rais Magufuli.
Mungu wabariki Watanzania.
Punguza upumbavu
 
Na,
Eng. Ayubu Massau
Morogoro

Habari Mheshimiwa Tundu lissu

Nianze kwa kukupa pole kwa madhira ya kupigwa risasi, Jijini Dodoma, tarehe 7 septemba 2017. Hakika kila binadamu aliyeumbwa kwa nyama aliguswa na kukuombea kwa Mungu upone haraka , kwa maana ni madhira makubwa yaliyokupata na hili liliwaunganisha Watanzania kukutakia heri upone haraka , tukiongozwa na Mh. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli, ambaye pia alitoa maagizo kwa vyombo vya usalama , washugulikie suala la madhira yako, na Naamini wahusika wakipatikana watafikishwa katika mikono ya dola.

Jambo la kupigwa risasi liliwaunganisha Watanzania ,ndio maana viongozi mbalimbali bila kujali Nafasi zao walianza kukusaidia kuokoa uhai wako kuanzia hospitali ya rufaa-Dodoma na wengine walifika kukujulia hali ,pale hospitalini Agha khan –Nairobi , na pia Nchini Ubelgiji , hili ni jambo la wewe kushukuru kwani jambo lako kila mtanzania lilimgusa.

Baada ya Utangulizi huo Nijikite katika mahojiano yako na vyombo vya habari vya nje.

Nimefatilia, kuhusu mahojiano yako na kituo cha BBC katika kipindi Maarufu cha HARD TALK, Nikaendelea kufuatilia pia kwa vyombo vingine vya habari kama DW ya Ujerumani na KTN ya Kenya , hakika unahitaji tafakuri ya kina katika Majibu yako dhidi ya Taifa lako, kwani unachofanya dhidi ya serikali yako ni Uhaini dhidi ya taifa lako la Tanzania.

Kuishambulia serikali ya nchi yako na kuihusisha na mambo yasiyokuwa na ushahidi na mambo ambayo vyombo vya dola haviyathibitisha huu ni uhaini dhidi ya serikali na Rais wake , Tundu lissu kumbuka wewe ni mwanasheria, lakini ukiulizwa maswali kuhusu serikali unaishutumu moja kwa moja kuhusika kwake katika shambulio lako la kupigwa Risasi, jambo ambalo hata wanao kuhoji hustaajabu na kuduwaa.

Mfano , kuna swali uliulizwa HARD TALK na DW, uliulizwa, Je ? ni nani alihusika kupigwa kwako risasi na kwa nini? Kama mwansheria uliyewiva sikutegemea Majibu uliyotoa ya kuihusisha serikali ya Rais Magufuli na mambo yaliyokutokea kwa kupelekwa mahakamani kwa vipindi tofauti, maana haya ndio Majibu yako makuu, lakini unashindwa kuelewa ukishakuwa mwanasiasa mkubwa kama wewe unakuwa na maadui wengi wa kikazi, kisiasa na hata kijamii, hao ni watu ambao Wanaweza pia kufanya jambo baya dhidi na sio serikali wa Rais, serikali ipo Kuhakikisha raia wake wanafuata Utaratibu na miongozo ya nchi na sio kupambana na raia wake, siku zote umekuwa ukituaminisha adui wako ni serikali jambo ambalo si kweli na ni uchochezi wa hali ya juu, kwani kufanya hivyo unachochea moto katika msitu ndio maana serikali ikiona hivyo Hutumia sheria za nchi kukufungulia mashitaka.

Kwa Majibu yako ,umeshajipa Jukumu la uchunguzi ,kuhukumu na kurusha tuhuma ,kebehi na mambo mbalimbali ambayo serikali inafanya, kiufupi umegeuka mpambanaji wa serikali, Rais ,na watanzania kwa ujumla na sijui kufanya hivi unawapigania kina nani?.
Kwa sasa , huelezei madhira yaliyokupata bali kupitia madhira yako ya kupigwa risasi, umeamua kufanya siasa chafu dhidi ya taifa lako na Rais wako, maana kila unachoulizwa kuhusu Taifa lako umekuwa ni kutukana na kuiponda,kueleza uongo, lakini unashindwa kuelewa hata hao wanaokuhoji wanatambua fika kazi kubwa inayofanyika awamu hii ya Tano, katika nyanja za Elimu bure, Miundombinu, Usafirishaji, kupambana na rushwa,afya na Kutunza tunu yetu ya Taifa ambayo ni Amani n.k.

Napenda kukushauri badilika , maana unachokitafuta kiovu katika Taifa hili , huwezi fanikiwa na usifikiri unapambana na Rais Magufuli , bali unapambana na watanzania wazalendo, unapomshambulia Rais unashambulia taifa, maana Rais ndio nembo ya taifa, kumdhalilisha rais ni kudhalilisha taifa, hata wanaokuhoji wanakushangaa na huu ndio tunauita uhaini, lazima utambue taifa hili tumelikuta limejengwa katika misingi ya uzalendo na kuheshimu mamlaka hata kama Tunatumia ibara namba 18 ya katiba ya Jamhuri ya Muungano, kutoa maoni yetu, Tundu lisu utapita ,mimi nitapita na wengine watapita Tanzania itabaki na wataishi ndugu zako, ndugu zangu, ndugu wa Rais na wengineo , hivyo lazima tutunze misingi ya taifa letu na sio kulishambulia taifa nje ya mipaka ya Tanzania.

Nakuomba ubadilike katika mahojiano yako unayoyafanya, pia nakukumbusha wakati wa Bunge la katiba ulimshambulia Baba wa Taifa , Mwalimu Nyerere kwa maneno ya dharau na kebehi, jambo ambalo lilimkasirisha sana, mzee Edwin Mtei , mwasisi wa chadema ambaye alikutaka uombe radhi kwa familia ya Baba wa Taifa, na watanzania kwa ujumla, sikumbuki kama ulifanya hivyo, Mzee mtei ni mwasisi wa chadema ,lakini anatambua tunu za Taifa na heshima kwa viongozi wa serikali, nilifikiri ulibadilika katika hili lakini inaonesha , hutaki kubadilika na kutambua unayofanya yanakasirisha watanzania wengi waliozoea ustaarabu katika siasa, heshima kwa viongozi na uzalendo kwa Taifa.

Lazima utambue, nchi zote hizo unazofanya mahojiano wana balozi zao nchini Tanzania na wanatambua hila zako maana hujaanza leo, ambazo unazifanya hivyo unachofanya ni kuwahubiria mambo wanayoyajua ,sana sana wanapima uelewa wako kwa mambo unayoyasema na mwisho wa siku utakosa msaada wa unachokitafuta kutoka kwao, naomba ujifunze kwa mwanasheria mwenzako Miguna Miguna wa Kenya , pia endelea kujifunza kwa mbunge wa bunge la Uganda , msanii Bob wine.

Natambua unapenda sana kusoma vitabu na kujielimisha, katika historia ya dunia kuanzia kwenye Biblia hadi maisha ya leo kuna watu Walifanya mambo kama unayofanya leo na Mwisho wao walihukumiwa na wananchi wa mataifa yao;

Mfano 1.
YUDA ISCARIOT: Alikuwa mmoja wa Wanafunzi 12 wa yesu, huyu alimsaliti yesu kama wewe unavyoisaliti Tanzania, Yuda alimsaliti yesu kwa Kupewa vipande 30 vya fedha , lakini Mwisho wa yote Yuda aliishi maisha ya kujutia,kutengwa na jamii, alichofanya kwani hakutambua uzito wa jambo analofanya, leo hii Yuda anafahamika kama msaliti mkubwa katika historia.

Mfano.2
MARCUS BRUTUS: Ni moja ya msaliti/mhaini anayefahamika kumsaliti mtawala wa Rumi enzi hizo Julius Kaisari na Dola la Rumi , alishiriki kutaka kumuondoa mfalme kupitia Baraza la seneti lakini Mwisho wa siku alishindwa kwa hila zake , maseneta waliamua kwa uzalendo kuangalia maslahi ya dola la Rumi na sio maslahi ya Marcus Brutus, Vivyo hivyo hao unaowatumikia na unaohitaji waiwekee Tanzania vikwazo , kama ulivyofanya mchezo wa kwenye ndege za Bombadier na Mwisho wa siku ukashinda pambano na kuandika kebehi kwenye twita lakini ulishindwa kwenye vita, maana bombadia zilikuja na watanzania tukazipokea tukiongozwa na Jemedari wa vita Dr John Pombe Magufuli, nikuhakikishie hata unaoshirikiana nao ,Mwisho wa siku watakuacha peke yako kama kifaranga aliyekosa mama, sababu kubwa wataangalia maslahi yao na sio maslahi ya Tundu Lissu.

Mfano. 3
BENEDICT ARNOLD: Mwanzoni alikuwa shujaa wa Marekani katika vita ya kutafuta uhuru wa Marekani (American Independence) , alikuwa ni Jenerali mwenye akili, mwerevu na aliyepambana kishujaa katika vita mbalimbali , lakini kwa tamaa na kutofikiria Taifa, na wananchi wa Marekani aliamua kuungana na majeshi ya Uingereza kupambana tena na Taifa lake alilokuwa anapigania lipate uhuru lakini mwisho wa siku alishindwa , kwani mpango wake aliokuwa Anafanya kwa kushirikiana na askari wa kiingereza Major John Andre , ulishindwa na heshima aliyoijenga kwa muda mrefu ilipotea na kuwa msaliti/mhaini na historia ya Marekani hadi leo inamkumbuka kama msaliti wa uhuru , hivyo basi Tundu lisu umekuwa mwansheria mzuri , mpigania haki lakini unakosa weredi ,Staha ,ustaarabu na kushindwa kutambua tabia za binadamu na duniani kwa ujumla , yote uliyopigania toka 1999 kwenye madini na kwingineko yatapotea na historia itakuandika kama msaliti/mhaini wa Taifa kwa unayoyafanya dhidi ya Taifa na Rais wa Nchi.

Mifano ni mingi sana , kwa watu waliosaliti mataifa yao kwa namna moja ama nyingine ,japo awali walionekana kama mashujaa , lakini mwisho wa siku , waliishia kuwa wasaliti wakubwa wa mataifa yao, hivyo nakushauri bado hujachelewa badilika na endesha mahojiano yako katika kuliheshimu taifa lako, kumuheshimu Rais wako, kuwaheshimu watanzania wenzako na kutambua kuwa unachofanya sasa ni kuchoma moto nyumba unayoishi wewe ukitegemea msaada wa jirani (mabeberu) kuwa utatoka salama.

Kwa jambo unalolifanya kwa sasa, unawagawa Watanzania hasa wazalendo kwa Taifa hili, lililojengwa kwa zaidi ya miaka 50, katika machozi, jasho na damu, Kuhakikisha ustawi na tunu kubwa ya amani, ambayo kwa Afrika na Dunia , sisi kama Taifa tunajivunia kuwa na Rais Magufuli, na kwa sasa anatuongoza katika vita ya uchumi , Mambo anayofanya Rais Magufuli ni makubwa sana na nadra Kufanyika kwa viongozi wengi wa kizazi hiki katika bara la Afrika , hata hao wazungu wanatambua ndio maana wanaendelea kushirikiana na Rais Magufuli katika mambo mengi, kwani wanatambua nguvu kubwa ya wananchi aliyonayo Rais Magufuli na wanatambua umuhimu wake kuliko wako, kwa unayofanya hata ingekuwa ni mataifa hayo ya Magharibi mtu afanye kama unavyofanya , wananchi wazalendo wangeghadhibika kama watanzania wanavyo gadhibika.

Mwisho , nimepitia tena mtandaoni nimeona taarifa mbalimbali kuhusu mjadala utakaofanya Chuo Kikuu cha George Washington Marekani, nakusahuri badilika kuanzia kwenye mjadala huu, na utakuwa mtu bora kabisa, usichafue serikali yako, usimchafue Rais wako, usiwakasirishe watanzania wenzako, nakushauri fanya mijadala kuhusu madhira yaliyokupata lakini usiyahusishe madhira yako na Rais Magufuli, usiyahusishe madhira yako na serikali , bali waachie vyombo vya ulinzi na kiuchunguzi wafanye kazi zao , maana usipofanya hivyo utakuwa unaichafua nchi kwa ujumla na vyombo vyake vya ulinzi na usalama na huu ndio tunaita Uhaini.

Ukimaliza , mahojiano na kuruhusiwa na madaktari wako Kurudi nyumbani Tanzania, kaa chini na serikali , wape ushirikiano katika uchunguzi wa tukio lililokutokea, acha kulitumia jambo lako kisiasa na fungua ukurasa mpya wa siasa za kistaarabu, kisomi na toa ushauri wa kitaalam panapobidi ili tulijenge Taifa letu, Msaidie Rais Magufuli kwa ushauri wa kistaarabu usio na kebehi wala jazba katika kulivusha Taifa letu kuwa , taifa la uchumi wa kati ifikapo 2025. Kwa kufanya hivyo historia itakukumbuka kwa mema , watanzania watafarijika na Mwisho wa siku , wewe, Rais Magufuli, Serikali na watanzania watakumbukwa katika historia kwa kujenga Taifa imara kiuchumi na lenye wananchi wazalendo.

Mungu Ibariki Tanzania.
Mungu mbariki Rais Magufuli.
Mungu wabariki Watanzania.
hii ngonjera peleka Lumumba, Mmetaka kumuua alafu mnataka dunia isijue, shame
 
Kwan aliomba kwenda kuhojiwa au wao ndo walitaka mazungumzo nae


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Uhaini ni kutaka kuipindua serikali iliyopo madarakani...hata kama u mjinga huwezi kua mjinga kiasi hiki
 
Nisaidie kujua ni kifungu kipi Cha katiba au sheria inayosema kuikosoa serikali ya nchi yako ni uhaini au ulitaka mazingira ya jaribio la kumuua na jinsi serikali ilivyolishughulikia suala Hilo dunia isijue?
Na,
Eng. Ayubu Massau
Morogoro

Habari Mheshimiwa Tundu lissu

Nianze kwa kukupa pole kwa madhira ya kupigwa risasi, Jijini Dodoma, tarehe 7 septemba 2017. Hakika kila binadamu aliyeumbwa kwa nyama aliguswa na kukuombea kwa Mungu upone haraka , kwa maana ni madhira makubwa yaliyokupata na hili liliwaunganisha Watanzania kukutakia heri upone haraka , tukiongozwa na Mh. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli, ambaye pia alitoa maagizo kwa vyombo vya usalama , washugulikie suala la madhira yako, na Naamini wahusika wakipatikana watafikishwa katika mikono ya dola.

Jambo la kupigwa risasi liliwaunganisha Watanzania ,ndio maana viongozi mbalimbali bila kujali Nafasi zao walianza kukusaidia kuokoa uhai wako kuanzia hospitali ya rufaa-Dodoma na wengine walifika kukujulia hali ,pale hospitalini Agha khan –Nairobi , na pia Nchini Ubelgiji , hili ni jambo la wewe kushukuru kwani jambo lako kila mtanzania lilimgusa.

Baada ya Utangulizi huo Nijikite katika mahojiano yako na vyombo vya habari vya nje.

Nimefatilia, kuhusu mahojiano yako na kituo cha BBC katika kipindi Maarufu cha HARD TALK, Nikaendelea kufuatilia pia kwa vyombo vingine vya habari kama DW ya Ujerumani na KTN ya Kenya , hakika unahitaji tafakuri ya kina katika Majibu yako dhidi ya Taifa lako, kwani unachofanya dhidi ya serikali yako ni Uhaini dhidi ya taifa lako la Tanzania.

Kuishambulia serikali ya nchi yako na kuihusisha na mambo yasiyokuwa na ushahidi na mambo ambayo vyombo vya dola haviyathibitisha huu ni uhaini dhidi ya serikali na Rais wake , Tundu lissu kumbuka wewe ni mwanasheria, lakini ukiulizwa maswali kuhusu serikali unaishutumu moja kwa moja kuhusika kwake katika shambulio lako la kupigwa Risasi, jambo ambalo hata wanao kuhoji hustaajabu na kuduwaa.

Mfano , kuna swali uliulizwa HARD TALK na DW, uliulizwa, Je ? ni nani alihusika kupigwa kwako risasi na kwa nini? Kama mwansheria uliyewiva sikutegemea Majibu uliyotoa ya kuihusisha serikali ya Rais Magufuli na mambo yaliyokutokea kwa kupelekwa mahakamani kwa vipindi tofauti, maana haya ndio Majibu yako makuu, lakini unashindwa kuelewa ukishakuwa mwanasiasa mkubwa kama wewe unakuwa na maadui wengi wa kikazi, kisiasa na hata kijamii, hao ni watu ambao Wanaweza pia kufanya jambo baya dhidi na sio serikali wa Rais, serikali ipo Kuhakikisha raia wake wanafuata Utaratibu na miongozo ya nchi na sio kupambana na raia wake, siku zote umekuwa ukituaminisha adui wako ni serikali jambo ambalo si kweli na ni uchochezi wa hali ya juu, kwani kufanya hivyo unachochea moto katika msitu ndio maana serikali ikiona hivyo Hutumia sheria za nchi kukufungulia mashitaka.

Kwa Majibu yako ,umeshajipa Jukumu la uchunguzi ,kuhukumu na kurusha tuhuma ,kebehi na mambo mbalimbali ambayo serikali inafanya, kiufupi umegeuka mpambanaji wa serikali, Rais ,na watanzania kwa ujumla na sijui kufanya hivi unawapigania kina nani?.
Kwa sasa , huelezei madhira yaliyokupata bali kupitia madhira yako ya kupigwa risasi, umeamua kufanya siasa chafu dhidi ya taifa lako na Rais wako, maana kila unachoulizwa kuhusu Taifa lako umekuwa ni kutukana na kuiponda,kueleza uongo, lakini unashindwa kuelewa hata hao wanaokuhoji wanatambua fika kazi kubwa inayofanyika awamu hii ya Tano, katika nyanja za Elimu bure, Miundombinu, Usafirishaji, kupambana na rushwa,afya na Kutunza tunu yetu ya Taifa ambayo ni Amani n.k.

Napenda kukushauri badilika , maana unachokitafuta kiovu katika Taifa hili , huwezi fanikiwa na usifikiri unapambana na Rais Magufuli , bali unapambana na watanzania wazalendo, unapomshambulia Rais unashambulia taifa, maana Rais ndio nembo ya taifa, kumdhalilisha rais ni kudhalilisha taifa, hata wanaokuhoji wanakushangaa na huu ndio tunauita uhaini, lazima utambue taifa hili tumelikuta limejengwa katika misingi ya uzalendo na kuheshimu mamlaka hata kama Tunatumia ibara namba 18 ya katiba ya Jamhuri ya Muungano, kutoa maoni yetu, Tundu lisu utapita ,mimi nitapita na wengine watapita Tanzania itabaki na wataishi ndugu zako, ndugu zangu, ndugu wa Rais na wengineo , hivyo lazima tutunze misingi ya taifa letu na sio kulishambulia taifa nje ya mipaka ya Tanzania.

Nakuomba ubadilike katika mahojiano yako unayoyafanya, pia nakukumbusha wakati wa Bunge la katiba ulimshambulia Baba wa Taifa , Mwalimu Nyerere kwa maneno ya dharau na kebehi, jambo ambalo lilimkasirisha sana, mzee Edwin Mtei , mwasisi wa chadema ambaye alikutaka uombe radhi kwa familia ya Baba wa Taifa, na watanzania kwa ujumla, sikumbuki kama ulifanya hivyo, Mzee mtei ni mwasisi wa chadema ,lakini anatambua tunu za Taifa na heshima kwa viongozi wa serikali, nilifikiri ulibadilika katika hili lakini inaonesha , hutaki kubadilika na kutambua unayofanya yanakasirisha watanzania wengi waliozoea ustaarabu katika siasa, heshima kwa viongozi na uzalendo kwa Taifa.

Lazima utambue, nchi zote hizo unazofanya mahojiano wana balozi zao nchini Tanzania na wanatambua hila zako maana hujaanza leo, ambazo unazifanya hivyo unachofanya ni kuwahubiria mambo wanayoyajua ,sana sana wanapima uelewa wako kwa mambo unayoyasema na mwisho wa siku utakosa msaada wa unachokitafuta kutoka kwao, naomba ujifunze kwa mwanasheria mwenzako Miguna Miguna wa Kenya , pia endelea kujifunza kwa mbunge wa bunge la Uganda , msanii Bob wine.

Natambua unapenda sana kusoma vitabu na kujielimisha, katika historia ya dunia kuanzia kwenye Biblia hadi maisha ya leo kuna watu Walifanya mambo kama unayofanya leo na Mwisho wao walihukumiwa na wananchi wa mataifa yao;

Mfano 1.
YUDA ISCARIOT: Alikuwa mmoja wa Wanafunzi 12 wa yesu, huyu alimsaliti yesu kama wewe unavyoisaliti Tanzania, Yuda alimsaliti yesu kwa Kupewa vipande 30 vya fedha , lakini Mwisho wa yote Yuda aliishi maisha ya kujutia,kutengwa na jamii, alichofanya kwani hakutambua uzito wa jambo analofanya, leo hii Yuda anafahamika kama msaliti mkubwa katika historia.

Mfano.2
MARCUS BRUTUS: Ni moja ya msaliti/mhaini anayefahamika kumsaliti mtawala wa Rumi enzi hizo Julius Kaisari na Dola la Rumi , alishiriki kutaka kumuondoa mfalme kupitia Baraza la seneti lakini Mwisho wa siku alishindwa kwa hila zake , maseneta waliamua kwa uzalendo kuangalia maslahi ya dola la Rumi na sio maslahi ya Marcus Brutus, Vivyo hivyo hao unaowatumikia na unaohitaji waiwekee Tanzania vikwazo , kama ulivyofanya mchezo wa kwenye ndege za Bombadier na Mwisho wa siku ukashinda pambano na kuandika kebehi kwenye twita lakini ulishindwa kwenye vita, maana bombadia zilikuja na watanzania tukazipokea tukiongozwa na Jemedari wa vita Dr John Pombe Magufuli, nikuhakikishie hata unaoshirikiana nao ,Mwisho wa siku watakuacha peke yako kama kifaranga aliyekosa mama, sababu kubwa wataangalia maslahi yao na sio maslahi ya Tundu Lissu.

Mfano. 3
BENEDICT ARNOLD: Mwanzoni alikuwa shujaa wa Marekani katika vita ya kutafuta uhuru wa Marekani (American Independence) , alikuwa ni Jenerali mwenye akili, mwerevu na aliyepambana kishujaa katika vita mbalimbali , lakini kwa tamaa na kutofikiria Taifa, na wananchi wa Marekani aliamua kuungana na majeshi ya Uingereza kupambana tena na Taifa lake alilokuwa anapigania lipate uhuru lakini mwisho wa siku alishindwa , kwani mpango wake aliokuwa Anafanya kwa kushirikiana na askari wa kiingereza Major John Andre , ulishindwa na heshima aliyoijenga kwa muda mrefu ilipotea na kuwa msaliti/mhaini na historia ya Marekani hadi leo inamkumbuka kama msaliti wa uhuru , hivyo basi Tundu lisu umekuwa mwansheria mzuri , mpigania haki lakini unakosa weredi ,Staha ,ustaarabu na kushindwa kutambua tabia za binadamu na duniani kwa ujumla , yote uliyopigania toka 1999 kwenye madini na kwingineko yatapotea na historia itakuandika kama msaliti/mhaini wa Taifa kwa unayoyafanya dhidi ya Taifa na Rais wa Nchi.

Mifano ni mingi sana , kwa watu waliosaliti mataifa yao kwa namna moja ama nyingine ,japo awali walionekana kama mashujaa , lakini mwisho wa siku , waliishia kuwa wasaliti wakubwa wa mataifa yao, hivyo nakushauri bado hujachelewa badilika na endesha mahojiano yako katika kuliheshimu taifa lako, kumuheshimu Rais wako, kuwaheshimu watanzania wenzako na kutambua kuwa unachofanya sasa ni kuchoma moto nyumba unayoishi wewe ukitegemea msaada wa jirani (mabeberu) kuwa utatoka salama.

Kwa jambo unalolifanya kwa sasa, unawagawa Watanzania hasa wazalendo kwa Taifa hili, lililojengwa kwa zaidi ya miaka 50, katika machozi, jasho na damu, Kuhakikisha ustawi na tunu kubwa ya amani, ambayo kwa Afrika na Dunia , sisi kama Taifa tunajivunia kuwa na Rais Magufuli, na kwa sasa anatuongoza katika vita ya uchumi , Mambo anayofanya Rais Magufuli ni makubwa sana na nadra Kufanyika kwa viongozi wengi wa kizazi hiki katika bara la Afrika , hata hao wazungu wanatambua ndio maana wanaendelea kushirikiana na Rais Magufuli katika mambo mengi, kwani wanatambua nguvu kubwa ya wananchi aliyonayo Rais Magufuli na wanatambua umuhimu wake kuliko wako, kwa unayofanya hata ingekuwa ni mataifa hayo ya Magharibi mtu afanye kama unavyofanya , wananchi wazalendo wangeghadhibika kama watanzania wanavyo gadhibika.

Mwisho , nimepitia tena mtandaoni nimeona taarifa mbalimbali kuhusu mjadala utakaofanya Chuo Kikuu cha George Washington Marekani, nakusahuri badilika kuanzia kwenye mjadala huu, na utakuwa mtu bora kabisa, usichafue serikali yako, usimchafue Rais wako, usiwakasirishe watanzania wenzako, nakushauri fanya mijadala kuhusu madhira yaliyokupata lakini usiyahusishe madhira yako na Rais Magufuli, usiyahusishe madhira yako na serikali , bali waachie vyombo vya ulinzi na kiuchunguzi wafanye kazi zao , maana usipofanya hivyo utakuwa unaichafua nchi kwa ujumla na vyombo vyake vya ulinzi na usalama na huu ndio tunaita Uhaini.

Ukimaliza , mahojiano na kuruhusiwa na madaktari wako Kurudi nyumbani Tanzania, kaa chini na serikali , wape ushirikiano katika uchunguzi wa tukio lililokutokea, acha kulitumia jambo lako kisiasa na fungua ukurasa mpya wa siasa za kistaarabu, kisomi na toa ushauri wa kitaalam panapobidi ili tulijenge Taifa letu, Msaidie Rais Magufuli kwa ushauri wa kistaarabu usio na kebehi wala jazba katika kulivusha Taifa letu kuwa , taifa la uchumi wa kati ifikapo 2025. Kwa kufanya hivyo historia itakukumbuka kwa mema , watanzania watafarijika na Mwisho wa siku , wewe, Rais Magufuli, Serikali na watanzania watakumbukwa katika historia kwa kujenga Taifa imara kiuchumi na lenye wananchi wazalendo.

Mungu Ibariki Tanzania.
Mungu mbariki Rais Magufuli.
Mungu wabariki Watanzania.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na,
Eng. Ayubu Massau
Morogoro

Habari Mheshimiwa Tundu lissu

Nianze kwa kukupa pole kwa madhira ya kupigwa risasi, Jijini Dodoma, tarehe 7 septemba 2017. Hakika kila binadamu aliyeumbwa kwa nyama aliguswa na kukuombea kwa Mungu upone haraka , kwa maana ni madhira makubwa yaliyokupata na hili liliwaunganisha Watanzania kukutakia heri upone haraka , tukiongozwa na Mh. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli, ambaye pia alitoa maagizo kwa vyombo vya usalama , washugulikie suala la madhira yako, na Naamini wahusika wakipatikana watafikishwa katika mikono ya dola.

Jambo la kupigwa risasi liliwaunganisha Watanzania ,ndio maana viongozi mbalimbali bila kujali Nafasi zao walianza kukusaidia kuokoa uhai wako kuanzia hospitali ya rufaa-Dodoma na wengine walifika kukujulia hali ,pale hospitalini Agha khan –Nairobi , na pia Nchini Ubelgiji , hili ni jambo la wewe kushukuru kwani jambo lako kila mtanzania lilimgusa.

Baada ya Utangulizi huo Nijikite katika mahojiano yako na vyombo vya habari vya nje.

Nimefatilia, kuhusu mahojiano yako na kituo cha BBC katika kipindi Maarufu cha HARD TALK, Nikaendelea kufuatilia pia kwa vyombo vingine vya habari kama DW ya Ujerumani na KTN ya Kenya , hakika unahitaji tafakuri ya kina katika Majibu yako dhidi ya Taifa lako, kwani unachofanya dhidi ya serikali yako ni Uhaini dhidi ya taifa lako la Tanzania.

Kuishambulia serikali ya nchi yako na kuihusisha na mambo yasiyokuwa na ushahidi na mambo ambayo vyombo vya dola haviyathibitisha huu ni uhaini dhidi ya serikali na Rais wake , Tundu lissu kumbuka wewe ni mwanasheria, lakini ukiulizwa maswali kuhusu serikali unaishutumu moja kwa moja kuhusika kwake katika shambulio lako la kupigwa Risasi, jambo ambalo hata wanao kuhoji hustaajabu na kuduwaa.

Mfano , kuna swali uliulizwa HARD TALK na DW, uliulizwa, Je ? ni nani alihusika kupigwa kwako risasi na kwa nini? Kama mwansheria uliyewiva sikutegemea Majibu uliyotoa ya kuihusisha serikali ya Rais Magufuli na mambo yaliyokutokea kwa kupelekwa mahakamani kwa vipindi tofauti, maana haya ndio Majibu yako makuu, lakini unashindwa kuelewa ukishakuwa mwanasiasa mkubwa kama wewe unakuwa na maadui wengi wa kikazi, kisiasa na hata kijamii, hao ni watu ambao Wanaweza pia kufanya jambo baya dhidi na sio serikali wa Rais, serikali ipo Kuhakikisha raia wake wanafuata Utaratibu na miongozo ya nchi na sio kupambana na raia wake, siku zote umekuwa ukituaminisha adui wako ni serikali jambo ambalo si kweli na ni uchochezi wa hali ya juu, kwani kufanya hivyo unachochea moto katika msitu ndio maana serikali ikiona hivyo Hutumia sheria za nchi kukufungulia mashitaka.

Kwa Majibu yako ,umeshajipa Jukumu la uchunguzi ,kuhukumu na kurusha tuhuma ,kebehi na mambo mbalimbali ambayo serikali inafanya, kiufupi umegeuka mpambanaji wa serikali, Rais ,na watanzania kwa ujumla na sijui kufanya hivi unawapigania kina nani?.
Kwa sasa , huelezei madhira yaliyokupata bali kupitia madhira yako ya kupigwa risasi, umeamua kufanya siasa chafu dhidi ya taifa lako na Rais wako, maana kila unachoulizwa kuhusu Taifa lako umekuwa ni kutukana na kuiponda,kueleza uongo, lakini unashindwa kuelewa hata hao wanaokuhoji wanatambua fika kazi kubwa inayofanyika awamu hii ya Tano, katika nyanja za Elimu bure, Miundombinu, Usafirishaji, kupambana na rushwa,afya na Kutunza tunu yetu ya Taifa ambayo ni Amani n.k.

Napenda kukushauri badilika , maana unachokitafuta kiovu katika Taifa hili , huwezi fanikiwa na usifikiri unapambana na Rais Magufuli , bali unapambana na watanzania wazalendo, unapomshambulia Rais unashambulia taifa, maana Rais ndio nembo ya taifa, kumdhalilisha rais ni kudhalilisha taifa, hata wanaokuhoji wanakushangaa na huu ndio tunauita uhaini, lazima utambue taifa hili tumelikuta limejengwa katika misingi ya uzalendo na kuheshimu mamlaka hata kama Tunatumia ibara namba 18 ya katiba ya Jamhuri ya Muungano, kutoa maoni yetu, Tundu lisu utapita ,mimi nitapita na wengine watapita Tanzania itabaki na wataishi ndugu zako, ndugu zangu, ndugu wa Rais na wengineo , hivyo lazima tutunze misingi ya taifa letu na sio kulishambulia taifa nje ya mipaka ya Tanzania.

Nakuomba ubadilike katika mahojiano yako unayoyafanya, pia nakukumbusha wakati wa Bunge la katiba ulimshambulia Baba wa Taifa , Mwalimu Nyerere kwa maneno ya dharau na kebehi, jambo ambalo lilimkasirisha sana, mzee Edwin Mtei , mwasisi wa chadema ambaye alikutaka uombe radhi kwa familia ya Baba wa Taifa, na watanzania kwa ujumla, sikumbuki kama ulifanya hivyo, Mzee mtei ni mwasisi wa chadema ,lakini anatambua tunu za Taifa na heshima kwa viongozi wa serikali, nilifikiri ulibadilika katika hili lakini inaonesha , hutaki kubadilika na kutambua unayofanya yanakasirisha watanzania wengi waliozoea ustaarabu katika siasa, heshima kwa viongozi na uzalendo kwa Taifa.

Lazima utambue, nchi zote hizo unazofanya mahojiano wana balozi zao nchini Tanzania na wanatambua hila zako maana hujaanza leo, ambazo unazifanya hivyo unachofanya ni kuwahubiria mambo wanayoyajua ,sana sana wanapima uelewa wako kwa mambo unayoyasema na mwisho wa siku utakosa msaada wa unachokitafuta kutoka kwao, naomba ujifunze kwa mwanasheria mwenzako Miguna Miguna wa Kenya , pia endelea kujifunza kwa mbunge wa bunge la Uganda , msanii Bob wine.

Natambua unapenda sana kusoma vitabu na kujielimisha, katika historia ya dunia kuanzia kwenye Biblia hadi maisha ya leo kuna watu Walifanya mambo kama unayofanya leo na Mwisho wao walihukumiwa na wananchi wa mataifa yao;

Mfano 1.
YUDA ISCARIOT: Alikuwa mmoja wa Wanafunzi 12 wa yesu, huyu alimsaliti yesu kama wewe unavyoisaliti Tanzania, Yuda alimsaliti yesu kwa Kupewa vipande 30 vya fedha , lakini Mwisho wa yote Yuda aliishi maisha ya kujutia,kutengwa na jamii, alichofanya kwani hakutambua uzito wa jambo analofanya, leo hii Yuda anafahamika kama msaliti mkubwa katika historia.

Mfano.2
MARCUS BRUTUS: Ni moja ya msaliti/mhaini anayefahamika kumsaliti mtawala wa Rumi enzi hizo Julius Kaisari na Dola la Rumi , alishiriki kutaka kumuondoa mfalme kupitia Baraza la seneti lakini Mwisho wa siku alishindwa kwa hila zake , maseneta waliamua kwa uzalendo kuangalia maslahi ya dola la Rumi na sio maslahi ya Marcus Brutus, Vivyo hivyo hao unaowatumikia na unaohitaji waiwekee Tanzania vikwazo , kama ulivyofanya mchezo wa kwenye ndege za Bombadier na Mwisho wa siku ukashinda pambano na kuandika kebehi kwenye twita lakini ulishindwa kwenye vita, maana bombadia zilikuja na watanzania tukazipokea tukiongozwa na Jemedari wa vita Dr John Pombe Magufuli, nikuhakikishie hata unaoshirikiana nao ,Mwisho wa siku watakuacha peke yako kama kifaranga aliyekosa mama, sababu kubwa wataangalia maslahi yao na sio maslahi ya Tundu Lissu.

Mfano. 3
BENEDICT ARNOLD: Mwanzoni alikuwa shujaa wa Marekani katika vita ya kutafuta uhuru wa Marekani (American Independence) , alikuwa ni Jenerali mwenye akili, mwerevu na aliyepambana kishujaa katika vita mbalimbali , lakini kwa tamaa na kutofikiria Taifa, na wananchi wa Marekani aliamua kuungana na majeshi ya Uingereza kupambana tena na Taifa lake alilokuwa anapigania lipate uhuru lakini mwisho wa siku alishindwa , kwani mpango wake aliokuwa Anafanya kwa kushirikiana na askari wa kiingereza Major John Andre , ulishindwa na heshima aliyoijenga kwa muda mrefu ilipotea na kuwa msaliti/mhaini na historia ya Marekani hadi leo inamkumbuka kama msaliti wa uhuru , hivyo basi Tundu lisu umekuwa mwansheria mzuri , mpigania haki lakini unakosa weredi ,Staha ,ustaarabu na kushindwa kutambua tabia za binadamu na duniani kwa ujumla , yote uliyopigania toka 1999 kwenye madini na kwingineko yatapotea na historia itakuandika kama msaliti/mhaini wa Taifa kwa unayoyafanya dhidi ya Taifa na Rais wa Nchi.

Mifano ni mingi sana , kwa watu waliosaliti mataifa yao kwa namna moja ama nyingine ,japo awali walionekana kama mashujaa , lakini mwisho wa siku , waliishia kuwa wasaliti wakubwa wa mataifa yao, hivyo nakushauri bado hujachelewa badilika na endesha mahojiano yako katika kuliheshimu taifa lako, kumuheshimu Rais wako, kuwaheshimu watanzania wenzako na kutambua kuwa unachofanya sasa ni kuchoma moto nyumba unayoishi wewe ukitegemea msaada wa jirani (mabeberu) kuwa utatoka salama.

Kwa jambo unalolifanya kwa sasa, unawagawa Watanzania hasa wazalendo kwa Taifa hili, lililojengwa kwa zaidi ya miaka 50, katika machozi, jasho na damu, Kuhakikisha ustawi na tunu kubwa ya amani, ambayo kwa Afrika na Dunia , sisi kama Taifa tunajivunia kuwa na Rais Magufuli, na kwa sasa anatuongoza katika vita ya uchumi , Mambo anayofanya Rais Magufuli ni makubwa sana na nadra Kufanyika kwa viongozi wengi wa kizazi hiki katika bara la Afrika , hata hao wazungu wanatambua ndio maana wanaendelea kushirikiana na Rais Magufuli katika mambo mengi, kwani wanatambua nguvu kubwa ya wananchi aliyonayo Rais Magufuli na wanatambua umuhimu wake kuliko wako, kwa unayofanya hata ingekuwa ni mataifa hayo ya Magharibi mtu afanye kama unavyofanya , wananchi wazalendo wangeghadhibika kama watanzania wanavyo gadhibika.

Mwisho , nimepitia tena mtandaoni nimeona taarifa mbalimbali kuhusu mjadala utakaofanya Chuo Kikuu cha George Washington Marekani, nakusahuri badilika kuanzia kwenye mjadala huu, na utakuwa mtu bora kabisa, usichafue serikali yako, usimchafue Rais wako, usiwakasirishe watanzania wenzako, nakushauri fanya mijadala kuhusu madhira yaliyokupata lakini usiyahusishe madhira yako na Rais Magufuli, usiyahusishe madhira yako na serikali , bali waachie vyombo vya ulinzi na kiuchunguzi wafanye kazi zao , maana usipofanya hivyo utakuwa unaichafua nchi kwa ujumla na vyombo vyake vya ulinzi na usalama na huu ndio tunaita Uhaini.

Ukimaliza , mahojiano na kuruhusiwa na madaktari wako Kurudi nyumbani Tanzania, kaa chini na serikali , wape ushirikiano katika uchunguzi wa tukio lililokutokea, acha kulitumia jambo lako kisiasa na fungua ukurasa mpya wa siasa za kistaarabu, kisomi na toa ushauri wa kitaalam panapobidi ili tulijenge Taifa letu, Msaidie Rais Magufuli kwa ushauri wa kistaarabu usio na kebehi wala jazba katika kulivusha Taifa letu kuwa , taifa la uchumi wa kati ifikapo 2025. Kwa kufanya hivyo historia itakukumbuka kwa mema , watanzania watafarijika na Mwisho wa siku , wewe, Rais Magufuli, Serikali na watanzania watakumbukwa katika historia kwa kujenga Taifa imara kiuchumi na lenye wananchi wazalendo.

Mungu Ibariki Tanzania.
Mungu mbariki Rais Magufuli.
Mungu wabariki Watanzania.
Mkuu MARCUS BRUTUS hakuishia hapo. Kilichotokea walimdunga visu 32 Julias Kaisali akafariki. Baada ya hapo yalitokea machafuko makubwa sana ndani ya utawala wa rumi, na Brutus aliuawa kama kujiua mwenyewe. Maseneta karibia wote nao walikufa. Yaani hao wasaliti hakuna aliyeonja matunda ya utawala baada ya kumuu Kaisali. Na hivyo hivyo kwa huyu msaliti, atahukumiwa kwa matendo yake mwenyewe na hana nafasi kabisa katika taifa letu, afe na kufia huko huko, Takbir!!!
 
TL tumia mfano wa yesu yeye baada ya kufufuka hakukaa tena duniani aliondoka kwenda mbinguni. Nakuomba usirudi mpaka tutakapoplata katiba mplya. Kifupi watakuua tena waziwazi.
Kumbuka
1 kombe
2 Mwaikusa
3 Mvungi
4 na waliopotea

Jiulize, mungu anakupenda sana na sisi wanyonge tunakuitaji kuliko unavyojua
 
Na,
Eng. Ayubu Massau
Morogoro

Habari Mheshimiwa Tundu lissu

Nianze kwa kukupa pole kwa madhira ya kupigwa risasi, Jijini Dodoma, tarehe 7 septemba 2017. Hakika kila binadamu aliyeumbwa kwa nyama aliguswa na kukuombea kwa Mungu upone haraka , kwa maana ni madhira makubwa yaliyokupata na hili liliwaunganisha Watanzania kukutakia heri upone haraka , tukiongozwa na Mh. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli, ambaye pia alitoa maagizo kwa vyombo vya usalama , washugulikie suala la madhira yako, na Naamini wahusika wakipatikana watafikishwa katika mikono ya dola.

Jambo la kupigwa risasi liliwaunganisha Watanzania ,ndio maana viongozi mbalimbali bila kujali Nafasi zao walianza kukusaidia kuokoa uhai wako kuanzia hospitali ya rufaa-Dodoma na wengine walifika kukujulia hali ,pale hospitalini Agha khan –Nairobi , na pia Nchini Ubelgiji , hili ni jambo la wewe kushukuru kwani jambo lako kila mtanzania lilimgusa.

Baada ya Utangulizi huo Nijikite katika mahojiano yako na vyombo vya habari vya nje.

Nimefatilia, kuhusu mahojiano yako na kituo cha BBC katika kipindi Maarufu cha HARD TALK, Nikaendelea kufuatilia pia kwa vyombo vingine vya habari kama DW ya Ujerumani na KTN ya Kenya , hakika unahitaji tafakuri ya kina katika Majibu yako dhidi ya Taifa lako, kwani unachofanya dhidi ya serikali yako ni Uhaini dhidi ya taifa lako la Tanzania.

Kuishambulia serikali ya nchi yako na kuihusisha na mambo yasiyokuwa na ushahidi na mambo ambayo vyombo vya dola haviyathibitisha huu ni uhaini dhidi ya serikali na Rais wake , Tundu lissu kumbuka wewe ni mwanasheria, lakini ukiulizwa maswali kuhusu serikali unaishutumu moja kwa moja kuhusika kwake katika shambulio lako la kupigwa Risasi, jambo ambalo hata wanao kuhoji hustaajabu na kuduwaa.

Mfano , kuna swali uliulizwa HARD TALK na DW, uliulizwa, Je ? ni nani alihusika kupigwa kwako risasi na kwa nini? Kama mwansheria uliyewiva sikutegemea Majibu uliyotoa ya kuihusisha serikali ya Rais Magufuli na mambo yaliyokutokea kwa kupelekwa mahakamani kwa vipindi tofauti, maana haya ndio Majibu yako makuu, lakini unashindwa kuelewa ukishakuwa mwanasiasa mkubwa kama wewe unakuwa na maadui wengi wa kikazi, kisiasa na hata kijamii, hao ni watu ambao Wanaweza pia kufanya jambo baya dhidi na sio serikali wa Rais, serikali ipo Kuhakikisha raia wake wanafuata Utaratibu na miongozo ya nchi na sio kupambana na raia wake, siku zote umekuwa ukituaminisha adui wako ni serikali jambo ambalo si kweli na ni uchochezi wa hali ya juu, kwani kufanya hivyo unachochea moto katika msitu ndio maana serikali ikiona hivyo Hutumia sheria za nchi kukufungulia mashitaka.

Kwa Majibu yako ,umeshajipa Jukumu la uchunguzi ,kuhukumu na kurusha tuhuma ,kebehi na mambo mbalimbali ambayo serikali inafanya, kiufupi umegeuka mpambanaji wa serikali, Rais ,na watanzania kwa ujumla na sijui kufanya hivi unawapigania kina nani?.
Kwa sasa , huelezei madhira yaliyokupata bali kupitia madhira yako ya kupigwa risasi, umeamua kufanya siasa chafu dhidi ya taifa lako na Rais wako, maana kila unachoulizwa kuhusu Taifa lako umekuwa ni kutukana na kuiponda,kueleza uongo, lakini unashindwa kuelewa hata hao wanaokuhoji wanatambua fika kazi kubwa inayofanyika awamu hii ya Tano, katika nyanja za Elimu bure, Miundombinu, Usafirishaji, kupambana na rushwa,afya na Kutunza tunu yetu ya Taifa ambayo ni Amani n.k.

Napenda kukushauri badilika , maana unachokitafuta kiovu katika Taifa hili , huwezi fanikiwa na usifikiri unapambana na Rais Magufuli , bali unapambana na watanzania wazalendo, unapomshambulia Rais unashambulia taifa, maana Rais ndio nembo ya taifa, kumdhalilisha rais ni kudhalilisha taifa, hata wanaokuhoji wanakushangaa na huu ndio tunauita uhaini, lazima utambue taifa hili tumelikuta limejengwa katika misingi ya uzalendo na kuheshimu mamlaka hata kama Tunatumia ibara namba 18 ya katiba ya Jamhuri ya Muungano, kutoa maoni yetu, Tundu lisu utapita ,mimi nitapita na wengine watapita Tanzania itabaki na wataishi ndugu zako, ndugu zangu, ndugu wa Rais na wengineo , hivyo lazima tutunze misingi ya taifa letu na sio kulishambulia taifa nje ya mipaka ya Tanzania.

Nakuomba ubadilike katika mahojiano yako unayoyafanya, pia nakukumbusha wakati wa Bunge la katiba ulimshambulia Baba wa Taifa , Mwalimu Nyerere kwa maneno ya dharau na kebehi, jambo ambalo lilimkasirisha sana, mzee Edwin Mtei , mwasisi wa chadema ambaye alikutaka uombe radhi kwa familia ya Baba wa Taifa, na watanzania kwa ujumla, sikumbuki kama ulifanya hivyo, Mzee mtei ni mwasisi wa chadema ,lakini anatambua tunu za Taifa na heshima kwa viongozi wa serikali, nilifikiri ulibadilika katika hili lakini inaonesha , hutaki kubadilika na kutambua unayofanya yanakasirisha watanzania wengi waliozoea ustaarabu katika siasa, heshima kwa viongozi na uzalendo kwa Taifa.

Lazima utambue, nchi zote hizo unazofanya mahojiano wana balozi zao nchini Tanzania na wanatambua hila zako maana hujaanza leo, ambazo unazifanya hivyo unachofanya ni kuwahubiria mambo wanayoyajua ,sana sana wanapima uelewa wako kwa mambo unayoyasema na mwisho wa siku utakosa msaada wa unachokitafuta kutoka kwao, naomba ujifunze kwa mwanasheria mwenzako Miguna Miguna wa Kenya , pia endelea kujifunza kwa mbunge wa bunge la Uganda , msanii Bob wine.

Natambua unapenda sana kusoma vitabu na kujielimisha, katika historia ya dunia kuanzia kwenye Biblia hadi maisha ya leo kuna watu Walifanya mambo kama unayofanya leo na Mwisho wao walihukumiwa na wananchi wa mataifa yao;

Mfano 1.
YUDA ISCARIOT: Alikuwa mmoja wa Wanafunzi 12 wa yesu, huyu alimsaliti yesu kama wewe unavyoisaliti Tanzania, Yuda alimsaliti yesu kwa Kupewa vipande 30 vya fedha , lakini Mwisho wa yote Yuda aliishi maisha ya kujutia,kutengwa na jamii, alichofanya kwani hakutambua uzito wa jambo analofanya, leo hii Yuda anafahamika kama msaliti mkubwa katika historia.

Mfano.2
MARCUS BRUTUS: Ni moja ya msaliti/mhaini anayefahamika kumsaliti mtawala wa Rumi enzi hizo Julius Kaisari na Dola la Rumi , alishiriki kutaka kumuondoa mfalme kupitia Baraza la seneti lakini Mwisho wa siku alishindwa kwa hila zake , maseneta waliamua kwa uzalendo kuangalia maslahi ya dola la Rumi na sio maslahi ya Marcus Brutus, Vivyo hivyo hao unaowatumikia na unaohitaji waiwekee Tanzania vikwazo , kama ulivyofanya mchezo wa kwenye ndege za Bombadier na Mwisho wa siku ukashinda pambano na kuandika kebehi kwenye twita lakini ulishindwa kwenye vita, maana bombadia zilikuja na watanzania tukazipokea tukiongozwa na Jemedari wa vita Dr John Pombe Magufuli, nikuhakikishie hata unaoshirikiana nao ,Mwisho wa siku watakuacha peke yako kama kifaranga aliyekosa mama, sababu kubwa wataangalia maslahi yao na sio maslahi ya Tundu Lissu.

Mfano. 3
BENEDICT ARNOLD: Mwanzoni alikuwa shujaa wa Marekani katika vita ya kutafuta uhuru wa Marekani (American Independence) , alikuwa ni Jenerali mwenye akili, mwerevu na aliyepambana kishujaa katika vita mbalimbali , lakini kwa tamaa na kutofikiria Taifa, na wananchi wa Marekani aliamua kuungana na majeshi ya Uingereza kupambana tena na Taifa lake alilokuwa anapigania lipate uhuru lakini mwisho wa siku alishindwa , kwani mpango wake aliokuwa Anafanya kwa kushirikiana na askari wa kiingereza Major John Andre , ulishindwa na heshima aliyoijenga kwa muda mrefu ilipotea na kuwa msaliti/mhaini na historia ya Marekani hadi leo inamkumbuka kama msaliti wa uhuru , hivyo basi Tundu lisu umekuwa mwansheria mzuri , mpigania haki lakini unakosa weredi ,Staha ,ustaarabu na kushindwa kutambua tabia za binadamu na duniani kwa ujumla , yote uliyopigania toka 1999 kwenye madini na kwingineko yatapotea na historia itakuandika kama msaliti/mhaini wa Taifa kwa unayoyafanya dhidi ya Taifa na Rais wa Nchi.

Mifano ni mingi sana , kwa watu waliosaliti mataifa yao kwa namna moja ama nyingine ,japo awali walionekana kama mashujaa , lakini mwisho wa siku , waliishia kuwa wasaliti wakubwa wa mataifa yao, hivyo nakushauri bado hujachelewa badilika na endesha mahojiano yako katika kuliheshimu taifa lako, kumuheshimu Rais wako, kuwaheshimu watanzania wenzako na kutambua kuwa unachofanya sasa ni kuchoma moto nyumba unayoishi wewe ukitegemea msaada wa jirani (mabeberu) kuwa utatoka salama.

Kwa jambo unalolifanya kwa sasa, unawagawa Watanzania hasa wazalendo kwa Taifa hili, lililojengwa kwa zaidi ya miaka 50, katika machozi, jasho na damu, Kuhakikisha ustawi na tunu kubwa ya amani, ambayo kwa Afrika na Dunia , sisi kama Taifa tunajivunia kuwa na Rais Magufuli, na kwa sasa anatuongoza katika vita ya uchumi , Mambo anayofanya Rais Magufuli ni makubwa sana na nadra Kufanyika kwa viongozi wengi wa kizazi hiki katika bara la Afrika , hata hao wazungu wanatambua ndio maana wanaendelea kushirikiana na Rais Magufuli katika mambo mengi, kwani wanatambua nguvu kubwa ya wananchi aliyonayo Rais Magufuli na wanatambua umuhimu wake kuliko wako, kwa unayofanya hata ingekuwa ni mataifa hayo ya Magharibi mtu afanye kama unavyofanya , wananchi wazalendo wangeghadhibika kama watanzania wanavyo gadhibika.

Mwisho , nimepitia tena mtandaoni nimeona taarifa mbalimbali kuhusu mjadala utakaofanya Chuo Kikuu cha George Washington Marekani, nakusahuri badilika kuanzia kwenye mjadala huu, na utakuwa mtu bora kabisa, usichafue serikali yako, usimchafue Rais wako, usiwakasirishe watanzania wenzako, nakushauri fanya mijadala kuhusu madhira yaliyokupata lakini usiyahusishe madhira yako na Rais Magufuli, usiyahusishe madhira yako na serikali , bali waachie vyombo vya ulinzi na kiuchunguzi wafanye kazi zao , maana usipofanya hivyo utakuwa unaichafua nchi kwa ujumla na vyombo vyake vya ulinzi na usalama na huu ndio tunaita Uhaini.

Ukimaliza , mahojiano na kuruhusiwa na madaktari wako Kurudi nyumbani Tanzania, kaa chini na serikali , wape ushirikiano katika uchunguzi wa tukio lililokutokea, acha kulitumia jambo lako kisiasa na fungua ukurasa mpya wa siasa za kistaarabu, kisomi na toa ushauri wa kitaalam panapobidi ili tulijenge Taifa letu, Msaidie Rais Magufuli kwa ushauri wa kistaarabu usio na kebehi wala jazba katika kulivusha Taifa letu kuwa , taifa la uchumi wa kati ifikapo 2025. Kwa kufanya hivyo historia itakukumbuka kwa mema , watanzania watafarijika na Mwisho wa siku , wewe, Rais Magufuli, Serikali na watanzania watakumbukwa katika historia kwa kujenga Taifa imara kiuchumi na lenye wananchi wazalendo.

Mungu Ibariki Tanzania.
Mungu mbariki Rais Magufuli.
Mungu wabariki Watanzania.
Nimepigwa risasi 38
16 zimemiingia
Nimelazwa hospitali mwaka zaidi ya mmoja
Serikali wala Bunge halijali matibabu yangu wala matumizi
Rais kimya
Polish kimyaaaa
Walioshiriki kutaka kuniua wala hawatafutwi

This guy, the write is an Engineer or Esq? Wasomi wetu wnafikiria tofauti, mtafuteni Lissu kiahawazidi, zile risasi hamkulenga target, you congenital liars!

You are in for it!
 
aisee wachawi mna roho ngumu yaani mtu kapigwa risasi 38 katoka mzima bado unashindan nae tu.Nimegundua kwa nini yesu alipofufuka hakutaka kukaa sana duniani alijua ambacho kingempata

Wewe acha kulinhanisha vitu vya thamani na vitu vilivyo oza na kutoa uvundo walahi
Naona mmekuwa fools na fanatic wa tundulissu msaliti walahi


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom