Pengine wewe unaona hiyo 10,000 ni pesa ndogo kwako kaa ujue kuna watu hiyo hela hata kwa mwezi hawana uwezo wa kuipata, na sijui kama hata umewafikiria ndugu walioko kijijini. Saa nyingine ni bora kuwaza mara mbili hutapoteza kitu kuliko kufanya kitu kwa hisia
TUANZE KULIPIA NA OXYGEN JAMANI... haiwezekani watu wavute hewa ya bure kama sio Kuliingiza taifa hasara ni nini??? Ahaa mamaeee jiwee kaishiwa mbinu walahiiii yani mpaka Wauza mchicha wanapata tabu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.