Ushauri kwa rafiki yangu

Ushauri kwa rafiki yangu

4X4byfar

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2008
Posts
201
Reaction score
22
Jamani za leo waugwana,

Kuna shosti wangu kakumbwa na maswaibu! Eti mume anamrekodi na hapo hapo mume anachepuka nje.

Huzuni jamani sasa tumsaidiaje maana kakuta kondomu kwenye begi lake la kazi.

Mbona shughuli.

Hajui aenzeje kumchachambua huyo bwana.
 
Yani hadi kuwachambua waume zenu mnakuja kuomba ushauri?
 
Angeuliza kistaarabu na unyenyekevu huenda wamepewa semina Mh lakini....
 
Mbona hivi ni vitu vya kawaida kwenye ndoa? Aliyemwambia mwanaume akikuoa atakuwa muaminifu 100% ni nani?
Kwani hasikiagi na kushuhudua nyumba ndogo? Anavoona wanaume wengine wanavyowasaliti wake zao anadhani wako tofauti na wake?
Cha kufanya ni kuvumilia na kumuomba Mungu amlinde mume wake au kutafuta ushahidi wa kutosha kama anachepuka kumuacha, ingawaje hakuna atakayekutana naye asichepuke!
Mabinti mkiolewa mfahamu hilo!
 
Tena ukileta wivu wa kupitiliza na kumfuatilia sana mwanaume utapatwa heart attack! Zaa lea watoto wako na ujenge familia!
Akili yako i base kwenye kuwekeza na kuwa na miradi binafsi wakati waume zenu wanavuavua chupi ujanani! Finally uzeeni! Trust me!
 
Mletaa madaa anamafuaa nadhanii ... ushauri wangu wa kwanza nenda famasii kanunuee dawaa za chenga chenga unywe halafu ndo tuje kujadilii
 
kumbe anajali anatembea na condom?huyo anafanya makusudi tu,sasa cha msingi huyo dada awe anamsaidia kuweka condom nyingine kwenye bag kila anapoondoka amuwekee kimya kimya tena kwa usiri mkubwa,kila siku ahakikishe hazikosekani, asimuulize hata siku moja.akimuuliza watagombana, ye aweke kimya kimya ipo siku mumewe atajua kuwa mkewe ndo anamuwekea hivyo itafika kipindi dhamira itamsuta atabadilika kimya kimya,hakuna kitu kibaya kama kumfanyia mtu ubaya halafu ukitegemea atakuuliza lakini ye akuulizi anakaa kimya na hali ukweli anaujua ni mbaya sana hiyo kisaikolojia hasa kwa mtendaNi adhabu tosha.
 
Back
Top Bottom