Mhe. Mbowe nakusalimu sana. Nimesoma kupitia mitandao ya kijamii kuwa unataka kuchukua Fomu ya uteuzi ya URAIS kupitia CHAUMMA. inawezekana kuwa ni kweli au siyo kweli. Mimi ni Mzee wa makamo.
Nakushauri achana na wazo hilo usije ukajuta baadaye. Wewe umeikuza, umekilea CHADEMA mpaka ilipofikia. CHADEMA inapendwa, CHADEMA iko kwenye mioyo ya Watanzania licha ya misukosuko inayopitia. Wewe vumilia 2030 siyo mbali kama Mungu akikuweka hai. CHADEMA itatisha 2030 na italeta mabadiliko makubwa sana.
Nakushauri achana na mawazo hayo, umetoka mbali na CHADEMA. Umepata maumivu mengi kupitia CHADEMA. Vumilia Ndugu yangu. Mambo mazuri hayataki haraka.
Nawasilisha.
Nakushauri achana na wazo hilo usije ukajuta baadaye. Wewe umeikuza, umekilea CHADEMA mpaka ilipofikia. CHADEMA inapendwa, CHADEMA iko kwenye mioyo ya Watanzania licha ya misukosuko inayopitia. Wewe vumilia 2030 siyo mbali kama Mungu akikuweka hai. CHADEMA itatisha 2030 na italeta mabadiliko makubwa sana.
Nakushauri achana na mawazo hayo, umetoka mbali na CHADEMA. Umepata maumivu mengi kupitia CHADEMA. Vumilia Ndugu yangu. Mambo mazuri hayataki haraka.
Nawasilisha.