Achelewe asubiri nini huku 'practically' ameshaoa
au binti wa watu unamchukuliaje?
mdogo wako si keshamgeuza 'mkewe' unofficially?
why asihalalishe now?
Kama wamejipanga sawa acha waoane. Ila kama bado,basi watulie kwanza,maana isije kuwa ndoa yao ila matunzo 100% yanatoka kwa wazee na other family members.