ITEGAMATWI
JF-Expert Member
- Jan 26, 2012
- 5,310
- 4,040
Uongo mbaya jamani,kama lengo lako ni kupata mkopo nakushauri urudie mtihani maana kwa alama hizo hata private kupata itakuwa ni bahati nasibu kama hautakuwa unajilipia mwenyewe!!
MSAADA WA MAWAZO.jamani mwenzunu nimerukwa na akili sijui la kufanya maananaona matumaini yangu yamepotetea,nilifanya mtihani wa form six 2011 nikapata iv ya 18 pcm wazazi wakashindwa kunipeleka diploma nikaona nilisiti ili nipate kamataweza kwenda chuo nipate labda mkopo nikalisiti math na phys nimepata math D na phys S.AWLI nilikuwa na phys F chem E math S.JE? WANAJAMII NAWEZA KUAPLAI DEGREE.
MSAADA WA MAWAZO.jamani mwenzunu nimerukwa na akili sijui la kufanya maananaona matumaini yangu yamepotetea,nilifanya mtihani wa form six 2011 nikapata iv ya 18 pcm wazazi wakashindwa kunipeleka diploma nikaona nilisiti ili nipate kamataweza kwenda chuo nipate labda mkopo nikalisiti math na phys nimepata math D na phys S.AWLI nilikuwa na phys F chem E math S.JE? WANAJAMII NAWEZA KUAPLAI DEGREE.
MSAADA WA MAWAZO.jamani mwenzunu nimerukwa na akili sijui la kufanya maananaona matumaini yangu yamepotetea,nilifanya mtihani wa form six 2011 nikapata iv ya 18 pcm wazazi wakashindwa kunipeleka diploma nikaona nilisiti ili nipate kamataweza kwenda chuo nipate labda mkopo nikalisiti math na phys nimepata math D na phys S.AWLI nilikuwa na phys F chem E math S.JE? WANAJAMII NAWEZA KUAPLAI DEGREE.
njoo SAUT MWANZA upige remijo ya miez 3 then utasoma coz unayoitaka sema mkopo ndo unasumbua.
Chuo utapata ila ni vile vya kata kama TEKU, Stemmco n.k
Kigogo,unajitafutia laana,hiyo sio kauli nzuri kumwambia mtu katka wakati mgumu kama huu alionao. Kumbuka nawe pia unaweza zaa mtoto ambaye kichwani,ni bora hata huyu unayemporomoshea kejeli zako.Shauri yako.
kwani kushinda JF au FB ndio kupata matokeo mabovu.........? kama unashindwa kumshauri mtu ni bora ukae kimya tu