Ushauri kwa masheikh

Ushauri kwa masheikh

Malaria 2

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2023
Posts
8,476
Reaction score
12,666
Msijiingize ktk siasa na kuchagua chama cha kufanyia siasa kama mwanachama.
Mkitaka kuingia ktk siasa basi msibase sehemu moja ya siasa.
Mkiingia ktk siasa kama sheikh Ponda wa Act wazalendo na sheikh Kadogoo wa Chadema heshima itaondoka na itapotea inamaana mtazungumza kwa maslahi ya vyama na mtanunuliwa kirahisi sana.
Matamshi yenu kila siku jamii itayashangaa
 
Huu ushauri ungewapatia kwanza wale Masheikh wenzako wa Bakwata, ambao kupitia tu sahani za ubwabwa; kila siku mnafungamana waziwazi, na pia kutumiwa vibaya na ccm.
 
Back
Top Bottom