Smt016
JF-Expert Member
- Jan 11, 2016
- 2,283
- 3,011
Mimi ni shabiki wa Yanga lakini hapo awali niliitabiria Simba kuweza kumtoa plateau United ya Nigeria. na kutinga inayofuata. Kuelekea mechi ya jumatano, kwa wale wenzangu mashabiki wa Yanga tufanye jambo moja ambalo litasaidia kupunguza machungu endapo Simba itafuzu kwenda hatua ya makundi.
Jambo lenyewe ni hili;. Weka kiasi cha pesa ambacho upo tayari kukipoteza, kisha bet ukimpa Simba ushindi.
Endapo ikitokea Simba imeshinda, basi utakuwa na furaha ya kuwa umeingiza mzigo wako. Ila ikitokea Simba imetoa sare au kufungwa maanake kaaga mashindano hivyo hii ni furaha nyingine tena kwa upande wa pili wa shabiki wa Yanga. Hivyo unaangalia mpira pasipokuwa na presha yeyote kwasababu chochote kitakachotokea ni furaha kwako ikiwa wewe ni mshabiki wa Yanga.
Kama ni shabiki wa Simba hili sikushauri kulifanya maana unaweza pata presha mara mbili.
Pia unawezea pitia uzi wangu wa Utabiri wa mechi ya Plateau vs Simba.
Jambo lenyewe ni hili;. Weka kiasi cha pesa ambacho upo tayari kukipoteza, kisha bet ukimpa Simba ushindi.
Endapo ikitokea Simba imeshinda, basi utakuwa na furaha ya kuwa umeingiza mzigo wako. Ila ikitokea Simba imetoa sare au kufungwa maanake kaaga mashindano hivyo hii ni furaha nyingine tena kwa upande wa pili wa shabiki wa Yanga. Hivyo unaangalia mpira pasipokuwa na presha yeyote kwasababu chochote kitakachotokea ni furaha kwako ikiwa wewe ni mshabiki wa Yanga.
Kama ni shabiki wa Simba hili sikushauri kulifanya maana unaweza pata presha mara mbili.
Pia unawezea pitia uzi wangu wa Utabiri wa mechi ya Plateau vs Simba.
Simba anaweza akamtoa Plateau united
Kuelekea mpambano wa klabu bingwa Africa hatua ya awali, kwa upande wangu naona Kuna kila dalili ya Simba kufanikiwa kumtoa Plateau United ya Nigeria. Ikumbukwe kuwa kwanzia janga la corona litikise, michezo mingi ilisimamishwa na hiyo ni pamoja na ligi ya Nigeria pia ilisimama. Na mpaka sasa...
www.jamiiforums.com