Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,145
- 144,657
Mkianza kazi, kupitia vikao vyenu vya Baraza la Madiwani kwa kila Manispaa, agizeni maafisa ardhi wawapitie ramani za maeneo yenu na muwaagize wa-identfy maeneo yote ambayo hayakuvunjwa na ambayo yamevamiwa zikiwemo fukwe za bahari n.k na kupitia vikao vyenu vya Baraza la Madiwani, muwaagize Wakurugenzi wa Manispaa kuvunja majengo yote yaliyoko katika maeneo hayo.
Wananchi wa chini wameonya mkono wa sheria na sasa iwe zamu ya vigogo na mali zao pamoja na majengo ya serikali katika Manispaa zenu.
Onyesheni sheria ni msumeno.
Wananchi wa chini wameonya mkono wa sheria na sasa iwe zamu ya vigogo na mali zao pamoja na majengo ya serikali katika Manispaa zenu.
Onyesheni sheria ni msumeno.