Johnsecond
JF-Expert Member
- May 4, 2010
- 1,076
- 211
Ili kuimarisha ndoa, kutokuelewana is part of it maana ni pale unaweza kuona reaction za mwenzako na pale ndipo ukweli husemwa na kila mmoja hubaki akiufikiria baada ya kutoelewana. Cha msingi usiongee sana wakati wa kutoelewana hata kama linataka kutoka kubwaaa lizuie kwa nguvu zooote na jifanye huoni maana baada ya ugomvi kila mtu huwa anarudia kila mstari tokea course mpaka usuluhisho. Kwa mwanamke usijibu nyamaza maana baada ya ugomvi mwanaume akianza kurudia atakuonea huruma pale akifika mwisho maana ataona kakuonea, kwa mume kama mkeo ni muongeaji sana we ishia home uje baadae maana atakufanya uongee usiyotarajia.
karibuni
karibuni