Ushauri kwa huyu ex-wangu

Chuo gani kinafundisha watu kuandika bila vituo?Labda umechanganyikiwa mkuu kwa kuombwa msamaha.Nauliza tu,je mimba itakuwaje?au anataka umlelee mwanaume mwenzio mtoto?msamehe mkuu,mrudie kama anavyokuomba lakini akijifungua tu mtoto ampeleke alipomtoa abaki peke yake umuoe!
 

Tayari kaishajifungua Mkuu
 
Umefika form six na jeshini umeenda halafu unashindwa kufanya maamuzi? Bado unampenda wewe
 
Reactions: SDG
Umefika form six na jeshini umeenda halafu unashindwa kufanya maamuzi? Bado unampenda wewe

Kwani Mkuu hujawahi kuona professor au PhD holder kwenye suala la love napo wanahitaji ushauri
 
Reactions: SDG
Mapenzi balaa hili jambo unaliombea ushauuri plz nadhan basi kuna kitu naww una hatia nacho umetuficha coz kwa hali ya kawaida hili si la kujadili ni kuachana nae
 
Reactions: SDG
Mapenzi balaa hili jambo unaliombea ushauuri plz nadhan basi kuna kitu naww una hatia nacho umetuficha coz kwa hali ya kawaida hili si la kujadili ni kuachana nae

Naficha nn Mkuu SI nimeweka wazi kwambaa
Sina hisia kwa sasa ila yeye ndio kanigandaa
Kwaio nipo hapa kuchukua ushauri
 
Reactions: SDG
Kuanzia pale nilibadili
line ila alinitafuta tena
akiwa na mimba ya
miezi saba kuwa
anaomba....

pumbavu sisi sio rika lako ulibadil laini afu akakupataje?? acha kutubebea akili
 
Duuu bob unazingua kinoma kwaiyo unaomba ushauri gani sasa jombaa wanawake hapa Dar wako kibao nawe unaumiza kichwa kwaajili ua mtu aliekutia Dore wee vipi chalii angu Mwache aende....
 
Yaani unaomba ushauri kwene kitu ambacho hata mtoto mdogo anatatua mwenyewe hivi hata shule uliyosomea inaitwaje ambayo hawezi kutengezea wanafunzi wake akili yakujiongeza
 
Hisia kwake sina kabisa ila yeye kanigandaa
Kama mwanaume kamili kuwa na msimamo brother. Na huyo dem inaonekana hana msimamo na pia aliolewa na ana mtoto juu, mashaka yangu anachotafuta kwako ni kumtunza mtoto... na mtoto akishakua lazima akuteme tena. Nakwambia hivyo maana mm yalishanikuta kama yako.
 
Yalikukuta kivipi Mkuu hebu fungukaaa nielewe Mkuu au njoo PM

Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…