mnyalilungulu
Senior Member
- Sep 27, 2019
- 170
- 114
Kwa muda sasa kumekuwa na migogoro isiyo na tija ndani ya Chama Cha Mapinduzi inayopelekea chama hicho kukosa nafasi za wawakilishi katika chaguzi mbalimbali kutokana na kuwasimamisha wagombea wasio kubalika kwa Wananchi .mf katika jimbo la Tunduma ,IringaMjini,naMbeyamjini.
Hivi sasa kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Uchaguzi Mkuu Kumekuwa na wimbi la kuchafuana baina ya viongozi wachama cha mapinduzi hii inaweza kusababisha kuwekwa kwa wagombea wasio na sifa hali inayoweza kusababisha kupoteza wawakilishi kutoka CCM katika nafasi ,mbalimbali za uongozi nchini.
Maonyo yatolewe kwa viongozi wanaotanguliza rushwa na kuharibu michakato ya kuwapata viongozi waadilifu ndani ya chama hicho.
Na NagmaHamis Ally
Hivi sasa kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Uchaguzi Mkuu Kumekuwa na wimbi la kuchafuana baina ya viongozi wachama cha mapinduzi hii inaweza kusababisha kuwekwa kwa wagombea wasio na sifa hali inayoweza kusababisha kupoteza wawakilishi kutoka CCM katika nafasi ,mbalimbali za uongozi nchini.
Maonyo yatolewe kwa viongozi wanaotanguliza rushwa na kuharibu michakato ya kuwapata viongozi waadilifu ndani ya chama hicho.
Na NagmaHamis Ally