jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,053
- 28,245
Ni vyema kwa mwenyekiti wa CUF akachukua hatua ya kumuandikia msajili wa vyama juu ya uchokozi wa wazi wazi unaofanywa na chadema dhidi yao na ambao umetangazwa hadharani tena na viongozi wa chadema wakiwemo Meya,Mbunge na Mnadhimu wa Chadema.
CUF haina sababu ya kulipiza uchokozi huo kwa maneno au vurugu bali kwa kuchukua hatua stahiki zinazotambuliwa na sheria.
N.B
Mods mada hii ni ushauri wangu kwa CUF ambao naamini wataufuata ili kuepusha migogoro isiyo ya lazima na wala haina muingiliano na mada nyingine.
CUF haina sababu ya kulipiza uchokozi huo kwa maneno au vurugu bali kwa kuchukua hatua stahiki zinazotambuliwa na sheria.
N.B
Mods mada hii ni ushauri wangu kwa CUF ambao naamini wataufuata ili kuepusha migogoro isiyo ya lazima na wala haina muingiliano na mada nyingine.