ushauri kwa chama cha mapinduzi

ushauri kwa chama cha mapinduzi

Dangire

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2011
Posts
221
Reaction score
68
hatimaye ccm kimeamua kupita kusawazisha nyayo za chama cha ukombozi ( kama ilivyo kawaida yao tangu wawe maji ya shingo). kuna msemo usemao "deal with your character, not reputation". inachojaribu kukifanya ccm ni kujisafisha kwa kusema 'mimi ni msafi', ilhali kila mtu anauona uchafu wao;'mimi ni makini', ilhali uzumbukuku wao u dhahiri; 'chama ni imara' wakati udhaifu wao unaonekana. na 'sisi ni wachapakazi' wakati ni dhaifu kupindukia.

hii haijawahi kuwa 'permanent solution' mahali popote, hata kidogo. wataalam wa 'PR' -mahusiano ya uma, wanafahamu kuwa, njia sahihi ya kupata na kuimarisha image ya kampuni sio kuongea hovyo kwa kujibu kila hoja za upande wa pili huku ukiwa hakuna improvement yoyote unayoifanya. bali kusahihisha yale yanayosemwa ili public ijenge imani na kampuni/bidhaa zako.

ccm, kwa kutumia rasilimali nyingi -pesa, muda, nk. kujibu hoja zenye mashiko za chadema, ambazo wananchi zimewagusa, mni kupoteza muda na rasilimali zingine. matokeo yake hayatakuwa kama chama kinavyofikira. unasema hali ya uchumi imeimarika, huku wananchi hawaoni mabadiliko, unategemea nini hapo?

cha kufanya:
1. ccm iache mara moja program yao ya kufanya mikutano eti ili kuelimisha uma kile serikali inakifanya! serikali ni zaidi ya taasisi, kila inachokifanya wananchi wanakiona. huhitaji kuwaambia.mf. kama serikali imejenga barabara, shule 'zenye ubora', hospitali nzuri 'zenye dawa na wataalam', nk. huhitaji kuwaambia eti tumefanya sisi! they are visible 2 everyone, my goodness!
2. ikishaacha kufanya mikutano yake, ianze sasa kutekeleza kwa vitendo yale yote waliyoahidi tangu uchaguzi mkuu wa 2005, 'maisha bora kwa KILA mtanzania'. wakifanikiwa hilo, wananchi wataona, na hivyo imani itarejea.

NB;# wananchi hawahitaji ahadi mpya, ama kuaminishwa juu ya dhahania fulani.wanahitaji kuona na kuguswa kwa dhati na matokeo ya wanachokiona (hasa kwa watz wa leo).
# changamoto kubwa iliyoko mbeleni ni, je ccm itaweza kuleta mabadiliko yale wananchi wanayataka -kiuchumi, siasa, sayansi, na utamaduni? je si sharti kwamba mfumo uliopo (ikiwemo chama) ubadilishwe ili kufikia mapinduzi ya kweli?
 
hawa jamaa wakitaka kurudisha imani yao kwa wananchi inabidi watekeleze dhana yao ya kujivua gamba na watenganishe biashara na chama la sivyo watakua wanajitekenya wenyewe halafu wanategemea kucheka
 
Comrade all what you tell them they know, but they pretend that its wrong and what they do now is correct, they try to comfort there soul and no peoples soul, that is the different between CCM CDM
 
Comrade all what you tell them they know, but they pretend that its wrong and what they do now is correct, they try to comfort there soul and no peoples soul, that is the different between CCM CDM
CCM is insouciant, supercilious, ignominy about the problems the people of Tanzania are facing! it his the RIGHT time for it to GO in 2015!
 
hatimaye ccm kimeamua kupita kusawazisha nyayo za chama cha ukombozi ( kama ilivyo kawaida yao tangu wawe maji ya shingo). kuna msemo usemao "deal with your character, not reputation". inachojaribu kukifanya ccm ni kujisafisha kwa kusema 'mimi ni msafi', ilhali kila mtu anauona uchafu wao;'mimi ni makini', ilhali uzumbukuku wao u dhahiri; 'chama ni imara' wakati udhaifu wao unaonekana. na 'sisi ni wachapakazi' wakati ni dhaifu kupindukia.

hii haijawahi kuwa 'permanent solution' mahali popote, hata kidogo. wataalam wa 'PR' -mahusiano ya uma, wanafahamu kuwa, njia sahihi ya kupata na kuimarisha image ya kampuni sio kuongea hovyo kwa kujibu kila hoja za upande wa pili huku ukiwa hakuna improvement yoyote unayoifanya. bali kusahihisha yale yanayosemwa ili public ijenge imani na kampuni/bidhaa zako.

ccm, kwa kutumia rasilimali nyingi -pesa, muda, nk. kujibu hoja zenye mashiko za chadema, ambazo wananchi zimewagusa, mni kupoteza muda na rasilimali zingine. matokeo yake hayatakuwa kama chama kinavyofikira. unasema hali ya uchumi imeimarika, huku wananchi hawaoni mabadiliko, unategemea nini hapo?

cha kufanya:
1. ccm iache mara moja program yao ya kufanya mikutano eti ili kuelimisha uma kile serikali inakifanya! serikali ni zaidi ya taasisi, kila inachokifanya wananchi wanakiona. huhitaji kuwaambia.mf. kama serikali imejenga barabara, shule 'zenye ubora', hospitali nzuri 'zenye dawa na wataalam', nk. huhitaji kuwaambia eti tumefanya sisi! they are visible 2 everyone, my goodness!
2. ikishaacha kufanya mikutano yake, ianze sasa kutekeleza kwa vitendo yale yote waliyoahidi tangu uchaguzi mkuu wa 2005, 'maisha bora kwa KILA mtanzania'. wakifanikiwa hilo, wananchi wataona, na hivyo imani itarejea.

NB;# wananchi hawahitaji ahadi mpya, ama kuaminishwa juu ya dhahania fulani.wanahitaji kuona na kuguswa kwa dhati na matokeo ya wanachokiona (hasa kwa watz wa leo).
# changamoto kubwa iliyoko mbeleni ni, je ccm itaweza kuleta mabadiliko yale wananchi wanayataka -kiuchumi, siasa, sayansi, na utamaduni? je si sharti kwamba mfumo uliopo (ikiwemo chama) ubadilishwe ili kufikia mapinduzi ya kweli?

Nimesikiliza mkutano wa CCM neno kwa neno, what I lead was to inform the public on what is already in pipe line... indeed mambo mengi ni miradi ambayo iko kwenye utekelezaji... I didn't see what wrong about this... kama wangekuwa wanaongelea jambo ambalo hata haliko kwenye ilani yao... then you explanation make a lot of sense... however that is not the case... na amini usiamini watu wanaona.
 
Nimesikiliza mkutano wa CCM neno kwa neno, what I lead was to inform the public on what is already in pipe line... indeed mambo mengi ni miradi ambayo iko kwenye utekelezaji... I didn't see what wrong about this... kama wangekuwa wanaongelea jambo ambalo hata haliko kwenye ilani yao... then you explanation make a lot of sense... however that is not the case... na amini usiamini watu wanaona.

Kama juma ngasongwa, yaani hujaeleweka kabisaaa, hizo pipeline si ndo zilizopangwa kwa kukosewa kwa makusudi? achana na porojo, halafu kidhungu chako kina matege!!!!!!
 
Jangwani walikwenda kujimaliza coz Kundi la 6 ndo linajaribu kuhakiki uwepo wa ccm, Tusubiri kundi la Kaskazini Hatoki rais mzee EDO na mwisho litakuja la Membe ambae leo kaitabiria mazuri CDM, huwezi jua huenda amekata tamaa sa anajiandalia makao mapya coz kwenye SIHASA anything can happen
 
hawa jamaa wakitaka kurudisha imani yao kwa wananchi inabidi watekeleze dhana yao ya kujivua gamba na watenganishe biashara na chama la sivyo watakua wanajitekenya wenyewe halafu wanategemea kucheka
Mkuu asigwa, kuitaka CCM kuvua gamba ni kama kumtaka kobe avue gamba! Kuitaka CCM itenganishe siasa na biashara ni kama samaki aachane na maji akae nchi kavu! Njia pekee ya CCM kurudisha imani kwa wananchi ni kung'atuka na kuachia madaraka, period.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom