Ushauri kwa CHADEMA kuhusu jimbo la Arusha

Ushauri kwa CHADEMA kuhusu jimbo la Arusha

Wabunge wengi wa CHADEMA wanajiita wabunge wa Taifa as if Taifa ndio liliwachagua kuwa wabunge ila utendaji wao kwenye majimbo yao ni zero

Wanachama watawachagua ila wale wasiokuwa na vyama ambao kimsingi ndio weng watatoa hukumu.
 
-Lema amekuwa kweli mpambanaji wa ukwel pmj na Milya na Mawazo katika maswala ya organizesheni ya vijana.Nafkiri kamati ya ushawish na oganizesheni wangepewa hawa watu.Halafu mgombea ubunge awe Nanyaro.Lengo ni kuwa na mtendaji mzuri kuliko lema ambaye amejikita kwenye nafasi ya kitaifa kuliko ya jimbo.Nafkir mtachambua yale mema,na yale ambyo siyo tuyaache. Wasalaam


Hivi huyu dogo kwenye uchaguzi hapo Moani si aliambulia kura TATU nasikia?

By the way si inasemekana huyu ni Mshirika mkubwa wa Mwigamba na inaonekana hata huo Udiwani Mwakani atausikia kwa mbali?
 
Lema ni kwere chalii yangu, atawaumiza vichwa sana ukoo wa panya+watoto wenu na timu buku 7 at all.
Hizo propaganda zako za kipumbafu peleka hukoo kwenye ukoo wenu.
 
Back
Top Bottom