Ushauri kwa CHADEMA kuhusu jimbo la Arusha

Ushauri kwa CHADEMA kuhusu jimbo la Arusha

Stany

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2011
Posts
277
Reaction score
42
pole wana cdm kwa uchaguz ambao unaendelea ndani ya chama.Natambua mabadiliko tuyatakayo tutayapata pamoja na hla nyingi za Ccm. Huu ni ushauri wangu ambao ningependa muuchukue yale mema na yale ambayo sio bhasi muuache.
Ningependa kutoa yale nionayo kuhusu jimbo hil ambalo ni kama lulu kwa Ccm na Cdm.kwani ni jimbo ambalo 90% ni Cdm na CCM ni kama hawapo.
-Labda nitangue kwa kusema wananchi wetu hawachagui tu kwa mapenzi ila utendaji pmj .Mfanö Lowasa aliitwa fisadi lakin Bd alichaguliwa kwa kishindo 2010...
-Lema amekuwa kweli mpambanaji wa ukwel pmj na Milya na Mawazo katika maswala ya organizesheni ya vijana.Nafkiri kamati ya ushawish na oganizesheni wangepewa hawa watu.Halafu mgombea ubunge awe Nanyaro.Lengo ni kuwa na mtendaji mzuri kuliko lema ambaye amejikita kwenye nafasi ya kitaifa kuliko ya jimbo.Nafkir mtachambua yale mema,na yale ambyo siyo tuyaache. Wasalaam
 
ok .nadhani wahusika wamekusoma na ushauri wako bila shaka wataufanyia kazi.
 
Asante kwa ushauri lakini tumeukataa. Samahani lakini!
 
Kwa hiyo lowasa si fisadi?

Wananch wanaangalia alichowafanyia na sio wote ni knowledgeable au wanafuatilia maswala ya kisiasa.SWALI LAO NI AMEFANYA NINI?.Na ARUSHA ni jimbo ambalo linaweza kumweka yeyote.
 
pole wana cdm kwa uchaguz ambao unaendelea ndani ya chama.Natambua mabadiliko tuyatakayo tutayapata pamoja na hla nyingi za Ccm. Huu ni ushauri wangu ambao ningependa muuchukue yale mema na yale ambayo sio bhasi muuache.
Ningependa kutoa yale nionayo kuhusu jimbo hil ambalo ni kama lulu kwa Ccm na Cdm.kwani ni jimbo ambalo 90% ni Cdm na CCM ni kama hawapo.
-Labda nitangue kwa kusema wananchi wetu hawachagui tu kwa mapenzi ila utendaji pmj .Mfanö Lowasa aliitwa fisadi lakin Bd alichaguliwa kwa kishindo 2010...
-Lema amekuwa kweli mpambanaji wa ukwel pmj na Milya na Mawazo katika maswala ya organizesheni ya vijana.Nafkiri kamati ya ushawish na oganizesheni wangepewa hawa watu.Halafu mgombea ubunge awe Nanyaro.Lengo ni kuwa na mtendaji mzuri kuliko lema ambaye amejikita kwenye nafasi ya kitaifa kuliko ya jimbo.Nafkir mtachambua yale mema,na yale ambyo siyo tuyaache. Wasalaam

mkuu Lema na nanyaro ni chui na paka, Mgomvi ni lema baada ya kuona mienendo ya dogo nanyaro inapendwa sana na machaliii wa ara..

Sasa lema ameshaanza kumpiga vita, hata hii kushindwa juzi BAVICHA ni nguvu kubwa ya Lema na Henry kilewo.

Dogo yupo smart sana ila hakubaliki kwa Giants wa ufipa, so jimbo la arusha kwake ni ndoto.
 
mifano iko mingi.Mfanö akina chenge bado wanapeta,hata rostam angepeta kama asingejiuluzu.Anyway ambao hawataki kusikia haya watasema ooh nimetumwa au vingnevyo
 
Jaman tukitaka kufika lazima tukubali facts na sio ushabiki ambao uko biased au falacy.generalization falacy kuwa ukiwa ni mwanachadema basi uko sawa siku zote.kauli yangu ctak back up ya act na ccm.facts speak themselves
 
pole wana cdm kwa uchaguz ambao unaendelea ndani ya chama.Natambua mabadiliko tuyatakayo tutayapata pamoja na hla nyingi za Ccm. Huu ni ushauri wangu ambao ningependa muuchukue yale mema na yale ambayo sio bhasi muuache.
Ningependa kutoa yale nionayo kuhusu jimbo hil ambalo ni kama lulu kwa Ccm na Cdm.kwani ni jimbo ambalo 90% ni Cdm na CCM ni kama hawapo.
-Labda nitangue kwa kusema wananchi wetu hawachagui tu kwa mapenzi ila utendaji pmj .Mfanö Lowasa aliitwa fisadi lakin Bd alichaguliwa kwa kishindo 2010...
-Lema amekuwa kweli mpambanaji wa ukwel pmj na Milya na Mawazo katika maswala ya organizesheni ya vijana.Nafkiri kamati ya ushawish na oganizesheni wangepewa hawa watu.Halafu mgombea ubunge awe Nanyaro.Lengo ni kuwa na mtendaji mzuri kuliko lema ambaye amejikita kwenye nafasi ya kitaifa kuliko ya jimbo.Nafkir mtachambua yale mema,na yale ambyo siyo tuyaache. Wasalaam
Tatizo liko kwa Lema ni mjuaji mkuu amekuja Chadema na maroho ya ugomvi na kugawa wanachama.Mhe Mbowe anamkingia kifua hajui Chadema ndio inakufa,chanzo mvurugaji Lema Mzee wa matamaa
 
Wewe utakuwa pandikizi siyo bure ondoka iache chadema ya watu lazima uwe msaliti wewe.
 
Jaman tukitaka kufika lazima tukubali facts na sio ushabiki ambao uko biased au falacy.generalization falacy kuwa ukiwa ni mwanachadema basi uko sawa siku zote.kauli yangu ctak back up ya act na ccm.facts speak themselves
Kwanza wewe ni chadema gani chumbani au sebuleni?
 
Tatizo liko kwa Lema ni mjuaji mkuu amekuja Chadema na maroho ya ugomvi na kugawa wanachama.Mhe Mbowe anamkingia kifua hajui Chadema ndio inakufa,chanzo mvurugaji Lema Mzee wa matamaa

ataendelea kuwasulubu magamba mpaka muombe poooo
 
Bila kujali nia ya mleta uzi,Nanyaro yuko smart zaidi ya Lema.Lema ni mzuri ila kwa harakati zaidi.
 
Bila kujali nia ya mleta uzi,Nanyaro yuko smart zaidi ya Lema.Lema ni mzuri ila kwa harakati zaidi.

Hapa umeongea ukweli sema hapa act na ccm ni wengi kiac kwamba mwisho wa cku sie tusio na vyama automatic tutaitwa ccm.Lakin hata kama ntaitwa chochote ctajali.Lakin mwenye hekima akiambiwa jambo jema hukubal ukweli daima.Kama ccm walivokubal mawazo ya cdm japo kwa unafk japo walikuwa wanakataa
 
Wabunge wengi wa CHADEMA wanajiita wabunge wa Taifa as if Taifa ndio liliwachagua kuwa wabunge ila utendaji wao kwenye majimbo yao ni zero
 
mifano iko mingi.Mfanö akina chenge bado wanapeta,hata rostam angepeta kama asingejiuluzu.Anyway ambao hawataki kusikia haya watasema ooh nimetumwa au vingnevyo
Kwani uwongo kuwa wewe hujatumwa na magamba?

Hebu toa ushahidi beyond reasonable doubt, kama wewe siyo miongoni ya timu ya buku 7 ya pale Lumumba.

Naona magamba mshaanza strategies za kutaka kulikomboa jimbo hilo kwa kutumia kutaka kuwaletea confusion wakazi wa Arusha, ili mind zao ziwe occupied na kufikiria who is the best parliamentary candidate for the year 2015 from CDM camp.

Hata hivyo magamba mnasumbuka bure tu kulihangaikia jimbo la Arusha mjini.

Mtambue kuwa chances za candidate wenu wa ubunge wa Arusha mjini kutoka CCM kumshinda 'jembe' Lema hapo Arusha mjini, nafasi hiyo ni finyu sana kiasi ambacho naweza kuifananisha na ngamia kupenya kwenye tundu la sindano!
 
Kwani uwongo kuwa wewe hujatumwa na magamba?

Hebu toa ushahidi beyond reasonable doubt, kama wewe siyo miongoni ya timu ya buku 7 ya pale Lumumba.

Naona magamba mshaanza strategies za kutaka kulikomboa jimbo hilo kwa kutumia kutaka kuwaletea confusion wakazi wa Arusha, ili mind zao ziwe occupied na kufikiria who is the best parliamentary candidate for the year 2015 from CDM camp.

Hata hivyo magamba mnasumbuka bure tu kulihangaikia jimbo la Arusha mjini.

Mtambue kuwa chances za candidate wenu wa ubunge wa Arusha mjini kutoka CCM kumshinda 'jembe' Lema hapo Arusha mjini, nafasi hiyo ni finyu sana kiasi ambacho naweza kuifananisha na ngamia kupenya kwenye tundu la sindano!

Ok hayo ni mawazo yako ndugu.kuna cku utafuta kauli mwenyewe
 
Back
Top Bottom