Ushauri kuhusu ujenzi


kweli kabisa mzee maana ukienda na hawa wazee wa tantalila utaangukia pua
 
Shukran sana, nitalifanyia kazi hilo la jirani. Maana nina kama kamlima kidoogo..
 
Uko sawa kabisa mkuu.. Na kwa mtu ambae nina safiri sana nje, tiyari nina idea ya nyumba niitakayo hivyo lazima mtaalam ahusike ili kupata kitu bora.
 


Haki ya Mungu elimu ya Tanzania ni ya kuunganisha kwa kweli....Yaani mtu una hela kisha unataka watu wakuambie what to do na hizi hela. Basi niletee mimi hizo hela uone nitazifanyia nini.
 
I
Mbona kama hujamshauri vyema. Ujenzi kwa laki nne kwa mwezi unawezekana vizuri anunue tofali slow baada ya miezi mitatu atakuwa ameshapata tofari 1200 mwezi unaofuata anatafuta mifuko kadhaa ya cement na maji na mchana mwezi wa tano anatafuta fundi atajenga slow akifikia kufunga lenta ndo anaweza kuchukua mkopo
 
Unajua kukatishana tamaa wewe jamaa

Sent from my TECNO WX3 using JamiiForums mobile app
 
Boss samahan kibali huwa sh ngap

Sent from my TECNO WX3 using JamiiForums mobile app
 
Kibali kimejibiwa apa
 
NACHOONA HAPA KUNA WATU HAWAJAJA KUTOA MSAADA ILA WAMESHAIONA FURSA YA BIASHARA WAPUUZI HAWA. ..

Kuna mtoa mkopo na architect humu
 
NACHOONA HAPA KUNA WATU HAWAJAJA KUTOA MSAADA ILA WAMESHAIONA FURSA YA BIASHARA WAPUUZI HAWA. ..

Kuna mtoa mkopo na architect humu
Wewe nae una akili mbovu,kama unajenga kwenye plot hayo aliyisema huyo architect ni lazima ila sio lazima awe yeye
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…