Ushauri kuhusu Subaru Forestar

mkuu unamiliki nyumba nne, una miliki v8....mkeo umemnunulia rav4.....lakini bado unaumizwa kichwa na mafuta ya subaru kiasi kwamba umekuja kuomba ushauri jf.....!!! Amazing

Mkuu soma post number 183 ya watu8 hapo juu.
 
Jamani this guy need to see a doctor,atakuwa anasumbuliwa na ugonjwa wa kisaikolojia wa ku imagine vitu,sasa this tym ana imagine kuwa anamiliki hizo mali,me nadhani mtu kama huyu hamna haja ya kum criticise ila ni kuendelea kumfariji tu.
 
Io ni generation ya toleo lakwanza mafuta ni kawaida xt ndio mbaya lakin io mchukulie tu
 
Hapa kuna mashaka maana kama lengo ni ushauri hizo habari za land cruiser v8 zinatokea wapi?na kama una gari ya piston nane unatumia iweje uulizie ushauri wa subaru turbo wakati mfuko wako unaruhusu kumiliki v8! Unaonekana unapenda sifa sana na nadhani lengo lako ni kujitapa na si kuomba ushauri sasa masuala ya nyumba nne yanahusika vipi hapa. Wewe ukichunguzwa utakua na namna namna maana kwa mishahara ya kitanzania hapo kuna kuchakachua hata kama ungekua idara nyeti kiasi gani miaka saba haiwezi kufanya yote hayo. Jipange upya broo
 
acha kujipigia promo,una v8 ushindwe kuhudumia subaru mafuta?Una akili za inzi?!
 

kama ni kichwa huyo mdogo wako kwanini usimuajiri katika biashara zako akuinulie!? au mfungulie kituo cha mafuta kama uzoefu alionao ili uzidi kuwa tajiri maana uwezo unao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…