Ushauri kuhusu postigraduate diploma kubadilishiwa muundo

Ushauri kuhusu postigraduate diploma kubadilishiwa muundo

Nilitarajia mwakani nikaombe kwenda masomoni kwa bachelor of science with education kwa sababu imeshindikana kubadilishiwa muundo lakini ikaibuka figisu kiongozi wangu akaniambia ameambiwa asipitishe barua mpaka miaka mitano nikabaki njia panda ndo nikaanza kuwaza kivingine
 
Nilitarajia mwakani nikaombe kwenda masomoni kwa bachelor of science with education kwa sababu imeshindikana kubadilishiwa muundo lakini ikaibuka figisu kiongozi wangu akaniambia ameambiwa asipitishe barua mpaka miaka mitano nikabaki njia panda ndo nikaanza kuwaza kivingine
Umekwama sana mwalimu,Huwa tunarekebisha au kusafisha njia kwanza baada ya hapo mkuu wa shule au afisa elimu anakuwa mpokea maelekezo tu
 
Umekwama sana mwalimu,Huwa tunarekebisha au kusafisha njia kwanza baada ya hapo mkuu wa shule au afisa elimu anakuwa mpokea maelekezo tu

Umekwama sana mwalimu,Huwa tunarekebisha au kusafisha njia kwanza baada ya hapo mkuu wa shule au afisa elimu anakuwa mpokea maelekezo tu
Nielekeze kiongozi maana kiukweli nimekwama nijue njia ya kutokea maana .kwa sababu niliwaza ingekuwa rahisi kubadilishiwa muundo ili niendelee na degree kwa upande Wa maabara lakini inanilazimu kuanza kuisaka degree ya elmu ili muundo ubadilike
 
Naomba ushauri mm ni mwalimu Wa shule ya msingi Nina diploma ya laboratory science and technology natarajia kujiunga open kusoma bachelor of science general open university alafu baadae nisome postigraduate ya elimu kwa ajili ya kubadilishiwa muundo .je kwenye muundo ipoje kwa watu Wa postgraduate diploma in education
Lengo iwe nini???
 
Ulichoandika kimeeleweka kwa wanaoelewa, hao wengine ni watoto tu wanakuletea usumbufu. Hata mambo ya "kubadilishiwa muundo / recategorization" hawayajui. Wasikupotezee muda.
Watoto gani wewe umeona kaandika kwa mtirriko mzuri inavyotakiwa.? Ila sishangai nyie waalimu mnajulikana ni mafailure na ni msikini sana.
 
Mimi nilianza kuajiriwa kwa Cheti Cha ualimu nikajiendeleza kwenye laboratory science and technology kwania ya kuhamia secondary kama lab technician lakini naona imekuwa ngumu
Hapa ndio umetoa mtiririko mzuri wa maelezo kama msomi.

Ungekuwa hujaajiriwa huko serikalini kwenye ualimu ningekushauri ukasome Bachelor of Science in Food Procesing and Technologies hapo hapo Open ni nzuri kwa kazi za viwandani hata kwa kujiajiri mwenyewe pia.
 
Back
Top Bottom