Niwemugizi7
Member
- Aug 10, 2013
- 27
- 7
Habari zenu wakuu..
Nimehitimu Advanced Level mwaka huu na nina jumla ya pass 10 kwenye PCM. Naomba kufahamu which one is the better course kati ya Civil Engineering na Petroleum Chemistry pale UDSM? Hii inahusisha loan possibiity na nafasi za ajira hapo baadae.. Asanteni..
Nimehitimu Advanced Level mwaka huu na nina jumla ya pass 10 kwenye PCM. Naomba kufahamu which one is the better course kati ya Civil Engineering na Petroleum Chemistry pale UDSM? Hii inahusisha loan possibiity na nafasi za ajira hapo baadae.. Asanteni..