Habari yenu wana jf. Mimi ni kijana wa miaka 25 nina ndoto ya kugombea ubunge huko mahenge katika jimbo linaloongozwa na mh. Selina kombani wa ccm. Mimi ni mwanachama wa chadema, ila sina elimu ya juu elimu yangu ni ya msingi. Nifanyaje sasa wana jamii? Naomben ushauri wenu.