lungw
JF-Expert Member
- Jun 13, 2016
- 207
- 181
Nilikuwa na demu ambaye nilikaa naye kwa kipindi cha miaka 6 kwenye uchumba, na kipindi chote hicho nilikuwa kwenye mapambano makali ya kutafuta pesa lakini mambo hayakuwa vizuri Sana. Sasa kipindi anakaribia kumaliza chuo akaanza kubadilika simu unapiga hapokei na akipokea anakwambia alikuwa busy, nilivumilia kwa sababu nilikuwa nampenda sana sikua tayali kuachana nae, lakini hali ilizinidi ikifika siku akanitamkia kuwa tuachane kila mtu afanye Mambo yake daaaa!
iliniuma Sana na nilijitahid kumbembeleza lakini hakunielewa nakuuliza labda Ni kipi kikubwa kilichofanya afikie uwamuz huo na Kama nimemkosea sehem anisamehe wap hakunielewa zaidi hakupokea simu zangu Tena Wala sms hakujibu, bac ilichukua mda Sana kuzoea hiyo Hali.
Sasa juzi Kati amenitafuta kumbe Kuna jamaa alimshawishi aachane na mm ili amuoe na huyo jamaa walikua wote chuoni na kweli walifanikiwa jamaa akamchukua akalipa mahali kiasi na wamefanikia kupata mtoto mmoja Sasa kilichofanya anitafute Ni kwamba jamaa baada ya kumaliza chuo mama yake alifariki na alikuwa mtumishi wa Serikali hivyo jamaa alipewa milathi Kama milioni 45 na baada ya kupewa hyo pesa akajenga nyumba pesa zilizobak wakawa wanatumia huku jamaa anatafuta ajira lakini pesa zimeisha na kazi bado Hana na tangu pesa iishe
Ni mwaka wa pili Sasa hivyo maisha yao ni magumu kiasi kwamba mlo mmoja shida kuupata kitu ambacho mwanamke hakuzoea maana kwao mambo Safi na baada ya kunitafuta siku anaonana na Mimi hakuamini maana sijaajiriwa serikalini lakini maisha yangu kiasi sio mabaya nnausafiri wangu ,nna mashamba nmenunua na nna viwanja Kama 3 hapa mjini Ila nmepanga na nnamifugo, sasa demu anataka tuludiane kila siku analia anaomba msamaha na yupo kwa wazazi wake anadai alidanganywa na Mimi kiukweli bado nampenda na sijaoa so nifanyaje?
iliniuma Sana na nilijitahid kumbembeleza lakini hakunielewa nakuuliza labda Ni kipi kikubwa kilichofanya afikie uwamuz huo na Kama nimemkosea sehem anisamehe wap hakunielewa zaidi hakupokea simu zangu Tena Wala sms hakujibu, bac ilichukua mda Sana kuzoea hiyo Hali.
Sasa juzi Kati amenitafuta kumbe Kuna jamaa alimshawishi aachane na mm ili amuoe na huyo jamaa walikua wote chuoni na kweli walifanikiwa jamaa akamchukua akalipa mahali kiasi na wamefanikia kupata mtoto mmoja Sasa kilichofanya anitafute Ni kwamba jamaa baada ya kumaliza chuo mama yake alifariki na alikuwa mtumishi wa Serikali hivyo jamaa alipewa milathi Kama milioni 45 na baada ya kupewa hyo pesa akajenga nyumba pesa zilizobak wakawa wanatumia huku jamaa anatafuta ajira lakini pesa zimeisha na kazi bado Hana na tangu pesa iishe
Ni mwaka wa pili Sasa hivyo maisha yao ni magumu kiasi kwamba mlo mmoja shida kuupata kitu ambacho mwanamke hakuzoea maana kwao mambo Safi na baada ya kunitafuta siku anaonana na Mimi hakuamini maana sijaajiriwa serikalini lakini maisha yangu kiasi sio mabaya nnausafiri wangu ,nna mashamba nmenunua na nna viwanja Kama 3 hapa mjini Ila nmepanga na nnamifugo, sasa demu anataka tuludiane kila siku analia anaomba msamaha na yupo kwa wazazi wake anadai alidanganywa na Mimi kiukweli bado nampenda na sijaoa so nifanyaje?
