Kiazi Kitamu
Senior Member
- Feb 16, 2013
- 122
- 125
Asaalam wanabodi,
Nakuja kwenu tena nikiomba ushauri kwa yoyote anayejua/ mwenye uzoefu juu ya biashara ya Uuzaji wa mifuko ya Plastics inayotumika katika maeneo mengi ya biashara kama Mabucha, Maduka ya rejareja, Sokoni n.k kwa ajili ya kubebea bidhaa mbalimbali.
Kwa yoyote anayefahamu nataka kufahamu yafuatayo:-
Nahitaji msaada wa Wapi naweza kupata Mifuko ya Mazao ya plastic nitayonunua kwa jumla.. Bei ya kiwandani..anaejua plizz kwa maeneo ya Dar
Nakuja kwenu tena nikiomba ushauri kwa yoyote anayejua/ mwenye uzoefu juu ya biashara ya Uuzaji wa mifuko ya Plastics inayotumika katika maeneo mengi ya biashara kama Mabucha, Maduka ya rejareja, Sokoni n.k kwa ajili ya kubebea bidhaa mbalimbali.
Kwa yoyote anayefahamu nataka kufahamu yafuatayo:-
- Upatikanaji wake(Wauzaji wa Jumla eneo walipo)
- Aina ya mifuko husika(Size & Ubora)
- Bei ya kuuzia
- N.k
Nahitaji msaada wa Wapi naweza kupata Mifuko ya Mazao ya plastic nitayonunua kwa jumla.. Bei ya kiwandani..anaejua plizz kwa maeneo ya Dar