Uko mkoa gani ndugu ,zao mpaka sasa linabei nzur ni pilipili mbuzi ila inategema na uliko na hii haswa ni baada ya kuingia ugonjwa wa mnyauko wa miche ya pilipili na jamii nzima ya solanacea(pili pili zote,nyanya,ngogwe,biringanya etc) ,pili ukosefu/uhaba wa mbegu yake kuifanya wachache wailime