vidmate
JF-Expert Member
- May 7, 2018
- 686
- 1,204
Hpn Ila nilishafanya kiasiMkuu unafanya biashara ya kuuza mazao?
Hpn Ila nilishafanya kiasiMkuu unafanya biashara ya kuuza mazao?
Mpaka asubiri miaka 3 si atakufa na njaaSijaona parachichi sijui hamtaki awe tajiri!
Nataka niifanye , ni changamoto gani zilikufanya hadi ukaamua kuacha?Hpn Ila nilishafanya kiasi
Kalime miwa kilombero mkuu hata heka tano utakuja kunipa bakshishi kama ni muungwana.
Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
Unapenda kula lakini hutaki watu walime?! Ajabu hiiSikushauri uingie kwenye kilimo , bora usubir kipindi cha mavuno hasa ifakara uchukue mpunga elfu 50 mpka 60 saiz gunia shs 130000,
Hiyo itakulipa kuliko kulima
Usiumize kichwa mkuu, kama shamba ni lako sikia nachokueleza: tenga ekari mbili (just 2acres) funga drip system (haizidi 10 M au hata chini) then Lima kitunguu.Habari wadau,
Ninatarajia kupata 20m na nahitaji inizalishie minimum 10m ndani ya mwaka mmoja kupitia kilimo.
Je, nilime au nijihusishe na nini ili nifikie lengo langu kupitia kilimo au ufugaji?
Shamba ninalo Kigamboni Mwasonga zaidi ya ekari 10.
Nisingependa ushauri wa kulima tikiti sababu nishajihusisha na zao hilo. Hio ni kama kamali. Ufugaji sijawahi kufanya lakini najua hakuna lishindikanalo.
Natanguliza shukran.
Acha utapeli father10M kwa mwaka?nipatie mimi hiyo 20M nikurudishie 30M ndani ya miezi minne tu
atupatie mchanganuo wa hiyo biashara yakeAcha utapeli father