Ushauri: Kila mwanamke ambaye nasex naye baada ya muda ana ujauzito

PRODA LTD

JF-Expert Member
Oct 20, 2016
1,005
1,333
Naitwa Juma Pombe Maharage kwa nipo Kagera kikazi kuna jambo moja linanisumbua sana naombeni ushauri wenu nimekuwa kwenye mahusiano ya kipenzi sasa zaidi ya miaka saba lakini jambo limenishangaza ni kwamba kila mwanamke ambaye nalala naye na kufanya naye mapenzi baada ya muda mfupi wananiambia wana mimba. ..!
Ni vigumu sana kuwaamini wanawake lakini nikiwa kikazi Kagera kuna mwanamke nilifanya naye mapenzi baada ya wiki ameanza kutapika muda huu hospitali kumcheki daktari anasema ni mjamzito nimechoka akili naombeni ushauri wenu nifanyaje? ??
 
Naitwa Juma Pombe Maharage kwa nipo Kagera kikazi kuna jambo moja linanisumbua sana naombeni ushauri wenu nimekuwa kwenye mahusiano ya kipenzi sasa zaidi ya miaka saba lakini jambo limenishangaza ni kwamba kila mwanamke ambaye nalala naye na kufanya naye mapenzi baada ya muda mfupi wananiambia wana mimba. ..!
Ni vigumu sana kuwaamini wanawake lakini nikiwa kikazi Kagera kuna mwanamke nilifanya naye mapenzi baada ya wiki ameanza kutapika muda huu hospitali kumcheki daktari anasema ni mjamzito nimechoka akili naombeni ushauri wenu nifanyaje? ??
Ukipandacho leo ndicho utakachovuna kesho....!!!
 
Wengine wanalilia wapate watoto, wengine wanalilia kuwa wagumba.......wapooo
 
Naitwa Juma Pombe Maharage kwa nipo Kagera kikazi kuna jambo moja linanisumbua sana naombeni ushauri wenu nimekuwa kwenye mahusiano ya kipenzi sasa zaidi ya miaka saba lakini jambo limenishangaza ni kwamba kila mwanamke ambaye nalala naye na kufanya naye mapenzi baada ya muda mfupi wananiambia wana mimba. ..!
Ni vigumu sana kuwaamini wanawake lakini nikiwa kikazi Kagera kuna mwanamke nilifanya naye mapenzi baada ya wiki ameanza kutapika muda huu hospitali kumcheki daktari anasema ni mjamzito nimechoka akili naombeni ushauri wenu nifanyaje? ??
Tumia Condom ndugu, WAKATI WOTE. Kwaheri
 
Back
Top Bottom