Ushauri katika ya ku-flash na ku-unlock devices

Ushauri katika ya ku-flash na ku-unlock devices

Baba Kapompo

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2013
Posts
1,344
Reaction score
468
Habari wana JF.

Naomba mnishauri mawazo N.K kwa yoyote mwenye ufahamu na hili jambo.

Nina diploma ya computer science kutokana na ugumu wa ajira. Nimefikiria kujiajiri ktk tasnia hii híi yaan nifungue ofis yangu binafsi itakayohusika na

1.flashing & unlocking devices i,e modem, phones etc
2.pc maintanance & repair
3.os and other softwr installation
4.kuuza computer accesories
5.n.k

Kiukwel kila k2 nipo vizuri ila hapo kwenye 1. flashing & unlocking device ndo sielewi hata kimoja, ombi langu n km kuna short course yoyote au mzoefu anipe maujanja (software tutorial n.k) anisaidie kwa hilo.

Nb: nimeiita fursa kulingana na mazingira niliynya tagert pesa ipo. Kama cjaeleweka niulize tu maana na type kwenye simu.

Mwongozo wenu please
 
Habari wana jf.;-
Naomba mnishauri mawazo n.k kwa yoyote mwenye ufahamu na hili jambo.

Nina diploma ya computer science kutokana na ugumu wa ajira. Nimefikiria kujiajiri ktk tasnia hii híi yaan nifungue ofis yangu binafsi itakayohusika na

1.flashing & unlocking devices i,e modem, phones etc
2.pc maintanance & repair
3.os and other softwr installation
4.kuuza computer accesories
5.n.k

Kiukwel kila k2 nipo vizuri ila hapo kwenye 1.flashing & unlocking device ndo sielewi hata kimoja ,ombi langu n km kuna short course yoyote au mzoefu anipe maujanja (software tutorial n.k) anisaidie kwa hilo.
Nb; nimeiita fursa kulingana na mazingira niliynya tagert pesa ipo.
Kama cjaeleweka niulize tu maana na type kwenye simu. Mwongozo wenu plz
Ngoja wahucka watakuja,mi napta 2
 
Dah mkuu kwa hapo n vema ukatafuta utaratibu wa kukutana na mtu face 2 face ndugu yangu..BT ixhu yenyew z xo simpl
 
Dah mkuu kwa hapo n vema ukatafuta utaratibu wa kukutana na mtu face 2 face ndugu yangu..BT ixhu yenyew z xo simpl
ndo hata huyo huyo mtu sijampata nikimpata itakuwa vyema..hata anipe ujuz nimpe pesa siunajua chuon tuaandaliwa kuajiriwa sio kujiajiri..
 
kwa aliye tayali kunisaidia ani pm tupatane nimpe sh ngap?
 
Habari wana JF.

Naomba mnishauri mawazo N.K kwa yoyote mwenye ufahamu na hili jambo.

Nina diploma ya computer science kutokana na ugumu wa ajira. Nimefikiria kujiajiri ktk tasnia hii híi yaan nifungue ofis yangu binafsi itakayohusika na

1.flashing & unlocking devices i,e modem, phones etc
2.pc maintanance & repair
3.os and other softwr installation
4.kuuza computer accesories
5.n.k

Kiukwel kila k2 nipo vizuri ila hapo kwenye 1. flashing & unlocking device ndo sielewi hata kimoja, ombi langu n km kuna short course yoyote au mzoefu anipe maujanja (software tutorial n.k) anisaidie kwa hilo.

Nb: nimeiita fursa kulingana na mazingira niliynya tagert pesa ipo. Kama cjaeleweka niulize tu maana na type kwenye simu.

Mwongozo wenu please

Kuna jamaa anaitwa lucas yona mahanga ukiangalia fb utamuona yeye anafanya hizo kazi sana ila bado ni mwanafunzi hapo Udsm, kama utaweza mtafute ni msitaarabu sana atakusaidia au pengine mtashirikiana kufungua office,
Saivi nimepoteza namba yake, pia nilisikia ana miliki www.bongounlock.com
 
Back
Top Bottom