Ushauri kabla sijaamua cha kufanya

Kazegunga

Member
Joined
Jun 24, 2014
Posts
58
Reaction score
3
Nimepata kazi sehemu mbili tofauti yaani TANROADS NA TAA tanroads scale 5 NA TAA scale ya Taa scale 6 sasa kwa hizi skeli IPI ni shirika zuri kwa malipo nikasaini mkataba mtakaoniongoza mungu awatangulie kwenye shughuli zenu!
 
Hongera mkuu ila ungetaja kaz zip ulzoitwa ktk hz taasisi 2 il mtu akupe mawazo kwa mapana na marefu kwa kuangalia na kaz za pand h na ile,mana hawa jamaa walitangaza post tofaut tofaut
 
kaka wahi mapema ukaripoti utakosa zote..wa2 wa kanzidata wanakusikilizia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…