gfsonwin
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 18,274
- 20,673
Habari zenu wanajf.
Leo nimepata ugeni wa jirani yangu kuja kumsalimia kichanga wangu. wakati naongea naye nikagundua kuwa hana raha ndipo nilipomuuliza kulikoni mama,...................? Jirani ilibidi anisimulie yaliyomkuta na akataka nimshauri lakin binafsi sikuwa na namna nzuri ya kushauri hivyo nikamwambia aje kesho jion, nia yangu niimwage hii stori jamvini kisha wale wenye busara zao washauri halafu mimi ni compile nimpe nondo.
Iko hivi mama................ ameolewa a mume wake ana miaka 64, wiki moja iliyopita huyu baba alimlawiti mvulana(13) wa jirani yetu hapa kwenye mtaa huu, ilikuwa ni mishale ya jioni saa 12 jioni ndani ya duka lake lililoko km mita chache kutoka nyumbani. kwa ushirikianio wa raia wema alikamatwa na kupelekwa polisi na mapa sasa hvi yuko lupango huyu baba. Sasa kijana aliyelawitiwa anaendelea vizuri na kwa udaku wa kitaa huyu kijana ni mchezo wake. Toka aende lupango huyu mama hajafanya jitihada yeyote ya kumuwekea dhamana, wala nini. sasa machoni pa ndugu wa mume hil limekuwa baya wanadai huyu mama anataka muewe afie gerezani ili mke awafaidi watoto kwakuwa wameshakuwa wakubwa. tena wanamsea kwa kashfa kuwa nia yake ni anataka kumuua mumewe. na tene wakadai mbona alipofanya haya mara ya kwanza alimtoa na kufuta kesi?
kwa upande wa mama .............. hii siyo nia yake ila amechoka kweli kumuwekea mumewe dhamana kwani siyo mara ya kwanza kufanya haya. ni kwamba huyu baba alishawahi kumlawiti houseboy wake na akakakamatwa, alipopelekwa polis mama alimuwekea dhamana na kisha akauza eneo ili amtoe huko lupango. na wakati anafanya haya watoto walikuwa wadogo wanasoma. hivyo hakupenda wanawe kuendelea kuuia kuwa babayao yuko gerezani.
stori ni ndefu na ukiiskia utasikitika sana kwa mama aliyeolewa, lakini wewe mwana jf unamshauri nini huyu mama?
afanyeje katika hali kama hii/ huyu anayehitaji ushauri huu ni mtu wa miaka 55. kwa wajuzi wa sheria pia toeni saada wa kisheria manake hata ndugu wa ume wanakuwa mwiba kwa huyu mama.
Leo nimepata ugeni wa jirani yangu kuja kumsalimia kichanga wangu. wakati naongea naye nikagundua kuwa hana raha ndipo nilipomuuliza kulikoni mama,...................? Jirani ilibidi anisimulie yaliyomkuta na akataka nimshauri lakin binafsi sikuwa na namna nzuri ya kushauri hivyo nikamwambia aje kesho jion, nia yangu niimwage hii stori jamvini kisha wale wenye busara zao washauri halafu mimi ni compile nimpe nondo.
Iko hivi mama................ ameolewa a mume wake ana miaka 64, wiki moja iliyopita huyu baba alimlawiti mvulana(13) wa jirani yetu hapa kwenye mtaa huu, ilikuwa ni mishale ya jioni saa 12 jioni ndani ya duka lake lililoko km mita chache kutoka nyumbani. kwa ushirikianio wa raia wema alikamatwa na kupelekwa polisi na mapa sasa hvi yuko lupango huyu baba. Sasa kijana aliyelawitiwa anaendelea vizuri na kwa udaku wa kitaa huyu kijana ni mchezo wake. Toka aende lupango huyu mama hajafanya jitihada yeyote ya kumuwekea dhamana, wala nini. sasa machoni pa ndugu wa mume hil limekuwa baya wanadai huyu mama anataka muewe afie gerezani ili mke awafaidi watoto kwakuwa wameshakuwa wakubwa. tena wanamsea kwa kashfa kuwa nia yake ni anataka kumuua mumewe. na tene wakadai mbona alipofanya haya mara ya kwanza alimtoa na kufuta kesi?
kwa upande wa mama .............. hii siyo nia yake ila amechoka kweli kumuwekea mumewe dhamana kwani siyo mara ya kwanza kufanya haya. ni kwamba huyu baba alishawahi kumlawiti houseboy wake na akakakamatwa, alipopelekwa polis mama alimuwekea dhamana na kisha akauza eneo ili amtoe huko lupango. na wakati anafanya haya watoto walikuwa wadogo wanasoma. hivyo hakupenda wanawe kuendelea kuuia kuwa babayao yuko gerezani.
stori ni ndefu na ukiiskia utasikitika sana kwa mama aliyeolewa, lakini wewe mwana jf unamshauri nini huyu mama?
afanyeje katika hali kama hii/ huyu anayehitaji ushauri huu ni mtu wa miaka 55. kwa wajuzi wa sheria pia toeni saada wa kisheria manake hata ndugu wa ume wanakuwa mwiba kwa huyu mama.