Ushauri juu ya hili

Ushauri juu ya hili

Joined
Sep 1, 2016
Posts
27
Reaction score
4
Habar wana jamii mm nilimaliza kidato cha nne mwaka 2015 na kufaulu masomo haya CIVICS. C
HISTORY. C
GEOGRAPHY. C
ENGLISH. C
BIOLOGY. C
CHEMISRY. C
PHYSICS. F
MATH'S . F
na advance nilipangiwa kombi ya arts yan HGL nilipo fanya aplication NACTE nilikuta nimepangiwa ualimu shule za msingi ila kwa wimbi la ualimu lilivyo sasa iv naogopa nilikuwa nauliza
A) nikasome tu ualimu
B) kama kuna uwezekano wa kuhama chuo na kuhamia coz ya phamace
C) je wap zaid patakuwa na upatikanaji wa ajira mapema

SHUKRAN WASOMI NATARAJIA USHAUR Mzur asanten......
 
Kozi za afya bila kuwa na ufaulu at least D kwa Physics hawakuchagui nenda tu ualimu,kwa kuwa mpaka hivi sasa A level hujaenda ila kama uko vizuri kichwani ungeenda A level maana utakuwa na uwanja mpana wa kwenda Vyuo vikuu na hata huo ualimu ukausoma ngazi ya Degree.
 
Kozi za afya bila kuwa na ufaulu at least D kwa Physics hawakuchagui nenda tu ualimu,kwa kuwa mpaka hivi sasa A level hujaenda ila kama uko vizuri kichwani ungeenda A level maana utakuwa na uwanja mpana wa kwenda Vyuo vikuu na hata huo ualimu ukausoma ngazi ya Degree.
Asante mkuu ila hiyo coz inaruhusu bila physics
 
Asante mkuu ila hiyo coz inaruhusu bila physics
2. Technician certificate level  Nursing, Clinical medicine, Environmental health and Pharmaceutical Sciences Holders of Certificate of Secondary Education Examination (CSEE) with four (4) passes in non-religious subjects including ‘D’ passes in Physics/Engineering Sciences, Chemistry and Biology;
Kama sijakosea kwenye Guide book iko hivo sasa sijui Pharmaceutical Sciences ndio Pharmacy yenyewe au sio?
 
Back
Top Bottom