Ushauri: Jinsi ya kumaliza mgogoro CUF.

technically

JF-Expert Member
Jul 3, 2016
11,975
48,843
Habari wana bodi kwanza naomba nitoe ushauli kwa watanzania hasa wafuasi wa vyama vya upinzani .....

Migogoro inapotokea uwa ni fursa kwa watu wengine mfano tuliona watu walivyo piga pesa kwenye mogogoro Ya Tanzania na Rwanda kipindi cha Kikwete na mgogoro wa Nkurunzinza kipindi hicho .....

Kwa wale wenzangu waliosoma foreign affairs and economic diplomacy watanielewa ni jinsi gani uwa tunapiga pesa kupitia migogoro hii...

Kama sasa tunavyofanya kwenye mgogoro unaofukuta wa kibiashara kati ya Tanzania na Kenya......

Wakati watanzania wanapiga kelele wengine wapo busy kupiga pesa za bure naziita maana uwa hatutumii nguvu ......

Hiyo ni Conflict management through foreign affairs lakini turudi sasa nyumbani Tanzania kiukweli migogoro ya Ndani ya vyama kama inavyotokea ndani ya CUF uwa inasoviwa kirahisi sana .....

Wote mnaelewa nini kilikuwa kikitokea ndani ya ccm toka mwaka 1995 tulipoanza mfumo wa vyama vingi ambapo Nyerere alimkata live bila chenga Lowassa na kikwete kwa kusingizia kuwa Kikwete bado mdogo....

Badae kumtuma Mrema ndani ya NCCR mageuzi watanzania wakidhani kuwa Mrema alikuwa amechukia na kuama ccm ...

No walikua ni watu wa diplomasia na upelelezi ndio walitekeleza agizo ilo la Nyerere na Mwinyi .......

Sio kwamba ilitokea kwa Bahati mbaya kwa Mrema kwenda NCCR mwaka1995 au ilivyotokea kwa Lowassa kwenda Chadema mwaka 2015.

Huu mkakati ulikuwa umesukwa ili kutengeneza mgogoro mkubwa ndani ya upinzani ili ccm iendelee kutawala.......

Ndio maana Ccm uwa hakifi kwa sababu kinafanya ujasusi wa khali ya juu ndani ya vyama vya upinzani....

Hapo ndio unaona Lipumba Anachukua credit na hapa ndipo nataka niwashauri CUF na upinzani kwa ujumula njia sahihi ya kushugulikia mgogoro wa Cuf kwa vile watu waliopo nyuma ya mgogoro huu ni watu wakuu wawili
Kwanza ni ujio wa Sumaye na Lowassa ndani ya upinzani ambao uliwavuruga CUF na upinzani kwa ujumula....

Pili ni Ushawishi wa chama tawala ndani ya upinzani pamoja na nguvu ya kidola na kiuchumi walionayo....

Kwahiyo Seif na wenzie ambao kama wanataka kuumaliza mgogoro wao na Lipumba watumie polite diplomacy ambayo ni kumuacha lipumba na kumtangaza kama mwenyekiti wao halali na kusema wamekubali yaishe baadae wataanzisha vuguvugu ndani ya CUF na kupandikiza mtu wao kuja kugombea uenyekiti kwani naamini bado Seif yupo na Ushawishi mkubwa hivyo atahakikisha anamuunga mkono mtu Huyo anayemtii naamini mtu huyo akishinda na Seif atakuwa kashinda lakini kinje aonyeshe kumuunga mkono Lipumba

Na uo utakuwa ndio mwisho wa Lipumba ndani ya CUF na kisiasa kiujumula .....

Siamii Lipumba kama yupo na watu wengi zaidi ya Seif naamini Seif yupo na wafuasi wengi kuliko Lipumba lakini Lipumba ndiye kashikilia jembe kwenye makali.

Hakuna njia nyingine kumnyanganya fisi mnofu ndani ya Kinywa chake bila kumdanganyia Munofu badia pembeni yake...

Diplimasia ni muhimu Zaidi kuliko nguvu na ubabe .

Cuf ni muhimu kuliko mtu mmoja mmoja kama ilivyo Tanzania muhimu kuliko mtu yeyote sisi tutaondoka Tanzania itabaki.
 
Hili wazo lako limeshaletwa huku jukwaani siku za nyuma, inakuwa kama ni wazo lile linaloratibiwa na mtu mmoja ila ID tofauti. Na mpaka sasa wazo hilo la kumleta Seif na Lipumba pamoja hata kwa unafiki limeshindikana. Hivyo wazo jingine la karibu imeonekana Seif ajiunge na cdm kwani ana uungwaji mkubwa wa watu. Lakini wazo hili linaonekana kupingwa sana na wanaccm kwani wanajua sasa kutakuwa na cdm yenye nguvu bara na visiwani. Hilo litawaweka kwenye changamoto nyingine ambayo hawako tayari kukubiliana nayo kwa sasa.
 
Tatizo la Sefu ni kuwaamini Chadema kuwa ni waaminifu kwake kumbe lengo lao Ni kuzika CUF Bara...

Chadema na CCM hakuna mwenye mapenzi ya dhati na CUF zaidi ya wana CUF wenyewe.

mkuu idawa huenda una angalizo la msingi, lakini Cuf bara ni kama haipo, tena kama ni kuamka iliamka ilipoingia ndani ya ukawa.
 
ushauri wako huenda ni mzuri lkn cuf inaendeshwa kwa utashi wa msajili wa vyama vya siasa na serikali kwa ujumla siyo matakwa ya wanachama ambao tayari walishamfukuza lipumba uanachama wa cuf, hivyo kama seif anataka kubaki kwenye siasa aanzishe chama kingine au ahamie chama kilichopo na kwa ushauri tu ahamie chadema ili kuwe na coalition yenye nguvu pote bara na visiwani na hapo ccm itabidi wabadili wimbo.
 
Tatizo la Sefu ni kuwaamini Chadema kuwa ni waaminifu kwake kumbe lengo lao Ni kuzika CUF Bara...

Chadema na CCM hakuna mwenye mapenzi ya dhati na CUF zaidi ya wana CUF wenyewe.
Nitajie faida 2 tu za uongo ulizopata tangu uanze kuutenda .
 
Habari wana bodi kwanza naomba nitoe ushauli kwa watanzania hasa wafuasi wa vyama vya upinzani .....

Migogoro inapotokea uwa ni fursa kwa watu wengine mfano tuliona watu walivyo piga pesa kwenye mogogoro Ya Tanzania na Rwanda kipindi cha Kikwete na mgogoro wa Nkurunzinza kipindi hicho .....

Kwa wale wenzangu waliosoma foreign affairs and economic diplomacy watanielewa ni jinsi gani uwa tunapiga pesa kupitia migogoro hii...

Kama sasa tunavyofanya kwenye mgogoro unaofukuta wa kibiashara kati ya Tanzania na Kenya......

Wakati watanzania wanapiga kelele wengine wapo busy kupiga pesa za bure naziita maana uwa hatutumii nguvu ......

Hiyo ni Conflict management through foreign affairs lakini turudi sasa nyumbani Tanzania kiukweli migogoro ya Ndani ya vyama kama inavyotokea ndani ya CUF uwa inasoviwa kirahisi sana .....

Wote mnaelewa nini kilikuwa kikitokea ndani ya ccm toka mwaka 1995 tulipoanza mfumo wa vyama vingi ambapo Nyerere alimkata live bila chenga Lowassa na kikwete kwa kusingizia kuwa Kikwete bado mdogo....

Badae kumtuma Mrema ndani ya NCCR mageuzi watanzania wakidhani kuwa Mrema alikuwa amechukia na kuama ccm ...

No walikua ni watu wa diplomasia na upelelezi ndio walitekeleza agizo ilo la Nyerere na Mwinyi .......

Sio kwamba ilitokea kwa Bahati mbaya kwa Mrema kwenda NCCR mwaka1995 au ilivyotokea kwa Lowassa kwenda Chadema mwaka 2015.

Huu mkakati ulikuwa umesukwa ili kutengeneza mgogoro mkubwa ndani ya upinzani ili ccm iendelee kutawala.......

Ndio maana Ccm uwa hakifi kwa sababu kinafanya ujasusi wa khali ya juu ndani ya vyama vya upinzani....

Hapo ndio unaona Lipumba Anachukua credit na hapa ndipo nataka niwashauri CUF na upinzani kwa ujumula njia sahihi ya kushugulikia mgogoro wa Cuf kwa vile watu waliopo nyuma ya mgogoro huu ni watu wakuu wawili
Kwanza ni ujio wa Sumaye na Lowassa ndani ya upinzani ambao uliwavuruga CUF na upinzani kwa ujumula....

Pili ni Ushawishi wa chama tawala ndani ya upinzani pamoja na nguvu ya kidola na kiuchumi walionayo....

Kwahiyo Seif na wenzie ambao kama wanataka kuumaliza mgogoro wao na Lipumba watumie polite diplomacy ambayo ni kumuacha lipumba na kumtangaza kama mwenyekiti wao halali na kusema wamekubali yaishe baadae wataanzisha vuguvugu ndani ya CUF na kupandikiza mtu wao kuja kugombea uenyekiti kwani naamini bado Seif yupo na Ushawishi mkubwa hivyo atahakikisha anamuunga mkono mtu Huyo anayemtii naamini mtu huyo akishinda na Seif atakuwa kashinda lakini kinje aonyeshe kumuunga mkono Lipumba

Na uo utakuwa ndio mwisho wa Lipumba ndani ya CUF na kisiasa kiujumula .....

Siamii Lipumba kama yupo na watu wengi zaidi ya Seif naamini Seif yupo na wafuasi wengi kuliko Lipumba lakini Lipumba ndiye kashikilia jembe kwenye makali.

Hakuna njia nyingine kumnyanganya fisi mnofu ndani ya Kinywa chake bila kumdanganyia Munofu badia pembeni yake...

Diplimasia ni muhimu Zaidi kuliko nguvu na ubabe .

Cuf ni muhimu kuliko mtu mmoja mmoja kama ilivyo Tanzania muhimu kuliko mtu yeyote sisi tutaondoka Tanzania itabaki.
Ovyo tu
 
Habari wana bodi kwanza naomba nitoe ushauli kwa watanzania hasa wafuasi wa vyama vya upinzani .....

Migogoro inapotokea uwa ni fursa kwa watu wengine mfano tuliona watu walivyo piga pesa kwenye mogogoro Ya Tanzania na Rwanda kipindi cha Kikwete na mgogoro wa Nkurunzinza kipindi hicho .....

Kwa wale wenzangu waliosoma foreign affairs and economic diplomacy watanielewa ni jinsi gani uwa tunapiga pesa kupitia migogoro hii...

Kama sasa tunavyofanya kwenye mgogoro unaofukuta wa kibiashara kati ya Tanzania na Kenya......

Wakati watanzania wanapiga kelele wengine wapo busy kupiga pesa za bure naziita maana uwa hatutumii nguvu ......

Hiyo ni Conflict management through foreign affairs lakini turudi sasa nyumbani Tanzania kiukweli migogoro ya Ndani ya vyama kama inavyotokea ndani ya CUF uwa inasoviwa kirahisi sana .....

Wote mnaelewa nini kilikuwa kikitokea ndani ya ccm toka mwaka 1995 tulipoanza mfumo wa vyama vingi ambapo Nyerere alimkata live bila chenga Lowassa na kikwete kwa kusingizia kuwa Kikwete bado mdogo....

Badae kumtuma Mrema ndani ya NCCR mageuzi watanzania wakidhani kuwa Mrema alikuwa amechukia na kuama ccm ...

No walikua ni watu wa diplomasia na upelelezi ndio walitekeleza agizo ilo la Nyerere na Mwinyi .......

Sio kwamba ilitokea kwa Bahati mbaya kwa Mrema kwenda NCCR mwaka1995 au ilivyotokea kwa Lowassa kwenda Chadema mwaka 2015.

Huu mkakati ulikuwa umesukwa ili kutengeneza mgogoro mkubwa ndani ya upinzani ili ccm iendelee kutawala.......

Ndio maana Ccm uwa hakifi kwa sababu kinafanya ujasusi wa khali ya juu ndani ya vyama vya upinzani....

Hapo ndio unaona Lipumba Anachukua credit na hapa ndipo nataka niwashauri CUF na upinzani kwa ujumula njia sahihi ya kushugulikia mgogoro wa Cuf kwa vile watu waliopo nyuma ya mgogoro huu ni watu wakuu wawili
Kwanza ni ujio wa Sumaye na Lowassa ndani ya upinzani ambao uliwavuruga CUF na upinzani kwa ujumula....

Pili ni Ushawishi wa chama tawala ndani ya upinzani pamoja na nguvu ya kidola na kiuchumi walionayo....

Kwahiyo Seif na wenzie ambao kama wanataka kuumaliza mgogoro wao na Lipumba watumie polite diplomacy ambayo ni kumuacha lipumba na kumtangaza kama mwenyekiti wao halali na kusema wamekubali yaishe baadae wataanzisha vuguvugu ndani ya CUF na kupandikiza mtu wao kuja kugombea uenyekiti kwani naamini bado Seif yupo na Ushawishi mkubwa hivyo atahakikisha anamuunga mkono mtu Huyo anayemtii naamini mtu huyo akishinda na Seif atakuwa kashinda lakini kinje aonyeshe kumuunga mkono Lipumba

Na uo utakuwa ndio mwisho wa Lipumba ndani ya CUF na kisiasa kiujumula .....

Siamii Lipumba kama yupo na watu wengi zaidi ya Seif naamini Seif yupo na wafuasi wengi kuliko Lipumba lakini Lipumba ndiye kashikilia jembe kwenye makali.

Hakuna njia nyingine kumnyanganya fisi mnofu ndani ya Kinywa chake bila kumdanganyia Munofu badia pembeni yake...

Diplimasia ni muhimu Zaidi kuliko nguvu na ubabe .

Cuf ni muhimu kuliko mtu mmoja mmoja kama ilivyo Tanzania muhimu kuliko mtu yeyote sisi tutaondoka Tanzania itabaki.

Una hoja aisee...

Mimi Nimekuelewa kwa zaidi ya 150%!!

Lakini, is it not too late kwa sbb damage kwa kiasi kikubwa kwa CUF imeshafanyika to the extent kwamba kuitibu itakuwa gharama kubwa sana?

Yaani kuna uhasama, kutoaminiana na kila aina ya mazonge ndani pande mbili zinazosigana kiasi ambacho kuwaleta na kuwaweka pamoja tena hawa, duuh itakuwa ni kazi kubwa kwelikweli !!
 
Ushauri huu wengine tuliotoa katika hatua za awali lakini ulipuuzwa, sasa hivi mgogoro wa cuf ni zero sum game na hakuna namna tena

usitembee juu ya ardhi kwa majivuno
 
Tatizo Lipumba anasaidiwa na CCM kwahiyo hakuna namna yeyote utakayoweza kumdhibiti ndani ya mikono ya ccm. Hapa dawa ni kuachana nae tu ajiunge na chadema tuendeleze vugu vugu la kumuondoa mkoloni ccm. tena seif kama atasimama Chadema zanzibar 2020 anachukua kisiwa asubuhi saa 4
 
Kwahiyo Seif na wenzie ambao kama wanataka kuumaliza mgogoro wao na Lipumba watumie polite diplomacy ambayo ni kumuacha lipumba na kumtangaza kama mwenyekiti wao halali na kusema wamekubali yaishe baadae wataanzisha vuguvugu ndani ya CUF na kupandikiza mtu wao kuja kugombea uenyekiti kwani naamini bado Seif yupo na Ushawishi mkubwa hivyo atahakikisha anamuunga mkono mtu Huyo anayemtii naamini mtu huyo akishinda na Seif atakuwa kashinda lakini kinje aonyeshe kumuunga mkono Lipumba
Sefu alishaapa kuwa ni bora afanye kazi na ccm kuliko Lipumba
 
Back
Top Bottom