Future president
Senior Member
- Dec 30, 2013
- 144
- 39
Leo gazeti moja wametoa tangazo la kazi kule chuo cha UDOM, sasa kuna mdau ameniomba ushauri kwamba je atume maombi ya kazi au aachane nao, mana amesoma post nyingi zinazohusu UDOM kwamba kuna udini kwahiyo anapata kigugumizi cha kupost.