Ushauri: Je nikifunze Kirusi ili nipate mengi ya teknolojia?

Singida ndio home

JF-Expert Member
Feb 23, 2012
3,192
3,353
Nmetokea kupata madini na software mbali mbali kutoka kwa warusi, Modem kibao wao ndio wanakuwaga wakwanza kuzifungua, kutengeneza calculator za kufungua vifaa mbali mbali, sptools, n.k yaani vitu kibao nikisearch huwa nawapa jicho la umakini mno hawa viumbe.

Je nijifunze kirusi au nijifunze lugha ipi ambayo wanaoitumia wana madini mengi, Wavietnam nao wapo lwenye list sema wao wamejikita zaidi kwenye online marketing.
 
Mkuu tupe nasi wengine iwe kwa anufaa ya nchi

Sent using Jamii Forums mobile app
Nakumbuka modem zile za 4G za huawei e3372h 153 jamaa waliumiza vichwa wakaifungua na sisi tukanufaika, flash kibao nafufa kwa tools zao, wana bots kibao na hata kwa wanaotafuta pesa online kuna tools zao zinarahisha kazi, n.k ni hawahawa wenye anti virus maarufu ya kaspersky
 
Mkuu lugha ya Kirusi ni mojawapo ya lugha ngumu sana duniani. Ukisoma miaka kama miwili unaweza kukijua kiasi lakini lazima ukae uko sasa sijui utakumbwa na masaibu gani.
 
Mkuu lugha ya Kirusi ni mojawapo ya lugha ngumu sana duniani. Ukisoma miaka kama miwili unaweza kukijua kiasi lakini lazima ukae uko sasa sijui utakumbwa na masaibu gani.
Hapa nimebase zaidi na lugha ya kuandika tu ili iwe rahisi kusoma na hata kuchat nao, kyna vitu kama wanyama, matunda, n.k sitajikita navyo maana sidhani kama vinatumika sana kwenye tech
 
Hapa nimebase zaidi na lugha ya kuandika tu ili iwe rahisi kusoma na hata kuchat nao, kyna vitu kama wanyama, matunda, n.k sitajikita navyo maana sidhani kama vinatumika sana kwenye tech
Kupata mwalimu kazi labda jaribu kwenda cultural heritage jengo liko karibu na Agha Khan kule maeneo ya Ubalozini. Connection ya Warusi na wabongo walowahi kwenda itakuwepo.
 
Nmetokea kupata madini na software mbali mbali kutoka kwa warusi, Modem kibao wao ndio wanakuwaga wakwanza kuzifungua, kutengeneza calculator za kufungua vifaa mbali mbali, sptools, n.k yaani vitu kibao nikisearch huwa nawapa jicho la umakini mno hawa viumbe.

Je nijifunze kirusi au nijifunze lugha ipi ambayo wanaoitumia wana madini mengi, Wavietnam nao wapo lwenye list sema wao wamejikita zaidi kwenye online marketing.
Mkuu warusi wamebarikiwa tu kuwa na akili wala lugha isikusumbue. Kama unadhan ttzo ni lugha basi chukua kwanza knowledge ambayo ipo kwa kiingereza. Ukitembelea forums kama digitalkaos utaona sisi kwenye technology bado hata 0.001%.

Knkwledge ipo tu kwa lugha nyingi shida inakuja kwenye uwezo wa kufikiria. Warusi uwezo wao wa kufikiria upo juu na ndio maana wako vizuri kwenye hacking, maths na mambo ya intelligence kama ya CIA.

Lugha unayoweza kujifunza ukanufaika sana ni kijapan coz wao teknolojia zao nyingi ziko documented kwenye kilugha chao lkn za kirusi nyingi zimeshatafsiriwa.
 
  • Thanks
Reactions: _ID
Inakuwaje hapo kweny kutafut pesa online
Nakumbuka modem zile za 4G za huawei e3372h 153 jamaa waliumiza vichwa wakaifungua na sisi tukanufaika, flash kibao nafufa kwa tools zao, wana bots kibao na hata kwa wanaotafuta pesa online kuna tools zao zinarahisha kazi, n.k ni hawahawa wenye anti virus maarufu ya kaspersky

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom