super black
JF-Expert Member
- Sep 11, 2016
- 566
- 532
condom ipoje kwani???
Kama haulizi wewe si umkumbusheNa asilimia kubwa ya dada zetu hawaulizi soksi wao wanapanua tu.
Jikinge ukimwi upo mkuu.Mungu atunusuru mana kuna mengi
Je ni wangapi ametembea nao hawaulizi?Kama haulizi wewe si umkumbushe
Safi.Endelea kujilinda mdogo wangu! Ukiumwa kesho hutaona rafiki hata mmoja zaidi ya familia yako!
Mlinzi wa afya yako ni wewe mwenyewe!
Hahahamzee hujafanya mapenzi mda wote, ila umepga nyeto mda wote huo
Hahaha wana mnapondamwache ajilinde , ila siku ya kuvua tu anapata na gonno
Hivi vipimo navipata wapiNi vyema sana! Mimi Nakubaliana kupima Kwanza kabla ya kumla na mara nyingi napima mwenyewe kabla ya kudu akigoma basi hakuna haja ya kugombana Mungu wangu.
Yes ukiuogopa unakuua kweli.....!Hahaa!!!!! Kwa hiyo ukimwi ni tatizo la kisaikolojia tu
Hahaaunavaa kondomu halafu unapiga nyeto ama kweri wewe mutoto