Very good analysis.
This is another good platform for CHADEMA to increase political credit points.
Nina uhakika mambo haya yatatokea tu;
1/Tukio hili ndio itakuwa habari kuu ya magazeti, Tv, Radio, Mitandao nk.
2/Mahakamani patakuwa ndio kituo cha kuwakusanya wafuasi wa CHADEMA.
3/Lema ataachiwa kutoka mahakamani kwa Shangwe, nderemo na maandamano.
4/Mikutano mikubwa sana ya CHADEMA utafanyika kanda ya Kaskazini.
5/Chadema itaanza kufanya harakati mpya katika kila chuo kikuu.
6/Mulungo atafunguliwa kesi na Chadema ya kumtishia Lema.
Kweli wahenga walisema ni kosa kubwa sana Akili ndogo kutaka kutawala akili kubwa!!!
This is another good platform for CHADEMA to increase political credit points.
Nina uhakika mambo haya yatatokea tu;
1/Tukio hili ndio itakuwa habari kuu ya magazeti, Tv, Radio, Mitandao nk.
2/Mahakamani patakuwa ndio kituo cha kuwakusanya wafuasi wa CHADEMA.
3/Lema ataachiwa kutoka mahakamani kwa Shangwe, nderemo na maandamano.
4/Mikutano mikubwa sana ya CHADEMA utafanyika kanda ya Kaskazini.
5/Chadema itaanza kufanya harakati mpya katika kila chuo kikuu.
6/Mulungo atafunguliwa kesi na Chadema ya kumtishia Lema.
Kweli wahenga walisema ni kosa kubwa sana Akili ndogo kutaka kutawala akili kubwa!!!