Ushauri: CHADEMA mshukuruni RC Mulongo wa Arusha

Ushauri: CHADEMA mshukuruni RC Mulongo wa Arusha

Very good analysis.
This is another good platform for CHADEMA to increase political credit points.

Nina uhakika mambo haya yatatokea tu;

1/Tukio hili ndio itakuwa habari kuu ya magazeti, Tv, Radio, Mitandao nk.

2/Mahakamani patakuwa ndio kituo cha kuwakusanya wafuasi wa CHADEMA.

3/Lema ataachiwa kutoka mahakamani kwa Shangwe, nderemo na maandamano.

4/Mikutano mikubwa sana ya CHADEMA utafanyika kanda ya Kaskazini.

5/Chadema itaanza kufanya harakati mpya katika kila chuo kikuu.

6/Mulungo atafunguliwa kesi na Chadema ya kumtishia Lema.

Kweli wahenga walisema ni kosa kubwa sana Akili ndogo kutaka kutawala akili kubwa!!!
 
wasiwasi wangu kuhusu Lema, wasije kumfanyia kitu mbaya kama kumwekea sumu itakayommaliza taratibu baada ya miaka kadhaa. Ukweli hapa tulipofika si pema, watawala wameshaingiwa na shetani hivyo kwao ni sawa kunyonya damu kwa kutenda mambo ya hovyo kama walivyomfanyia Lema.
 
Back
Top Bottom