Ushauri :- CHADEMA , kwakuwa wanakubalika sana na Watanzania naomba wawekeze nguvu kubwa kufanya siasa za mitandaoni hiyo pekee inatosha sana

Ushauri :- CHADEMA , kwakuwa wanakubalika sana na Watanzania naomba wawekeze nguvu kubwa kufanya siasa za mitandaoni hiyo pekee inatosha sana

DR HAYA LAND

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2017
Posts
31,636
Reaction score
81,533
Kwakuwa Kwa sasa Chadema inafanyiwa hujuma mbalimbali.

Naomba wawekeze Katika majukwaa ya mitandaoni ,

Hizi Hujuma wanazofanyiwa Chadema zisiwe sababu za wao kurudi Nyuma.

Tone Tone iendelee kama kawaida iwe online na hela inayokusanywa iwe inatolewa taarifa ili kuanagalia Speed na kuboresha.

Sioni sababu ya kupambania Majukwaa ya Traditional ambayo sisiemu wameyafunga.
 
FB_IMG_17483759804709776.jpg
 
Kwakuwa Kwa sasa Chadema inafanyiwa hujuma mbalimbali.

Naomba wawekeze Katika majukwaa ya mitandaoni ,

Hizi Hujuma wanazofanyiwa Chadema zisiwe sababu za wao kurudi Nyuma.

Tone Tone iendelee kama kawaida iwe online na hela inayokusanywa iwe inatolewa taarifa ili kuanagalia Speed na kuboresha.

Sioni sababu ya kupambania Majukwaa ya Traditional ambayo sisiemu wameyafunga.
Gentleman,
mbona mitandao ya kijamii ndio hufanya chadema kuonekana ni chama kikubwa na kinakubalika sana, lakini ukienda field na ground kinakua kama sisimizi tu?

au inamaana hujui au hufahamu kua mitandao ya kijamii ndio imekitambulisha chadema kwa umma kama ni chama cha mihemko, makasiriko, uropokaji na kuporomosha matusi mazito mazito?

ni vizuri ukafahamu kwamba,
ukijitambulisha kwamba wewe ni chadema field au ground, kwanza watakushangaa, lakini pili wataanza kukuonea huruma na kukuhisi kwamba huenda una changamoto ya akili,

lakini zaidi sana,
mathalani jimboni kwangu, wanachama au wagombea wa chadema walikua wanaonekana kama washirikina fulani hivi, vibaka au matapeli tu ambao wamekuja kutafuta vibarua vijijini baada ya ugumu wa maisha mijini, kwasababu hawanaga ofisi wala anuani kuanzia kijijini , wilayani au mkoani, na kwahivyo hupuuzwa tu :NoGodNo:
 
Gentleman,
mbona mitandao ya kijamii ndio hufanya chadema kuonekana ni chama kikubwa na kinakubalika sana, lakini ukienda field na ground kinakua kama sisimizi tu?

au inamaana hujui au hufahamu kua mitandao ya kijamii ndio imeitambulisha chadema kwa umma kama ni chama cha mihemko na kuporomosha matusi mazito mazito?

ni vizuri ukafahamu kwamba,
ukijitambulisha kwamaba wewe ni chadema field au ground, kwanza watakushangaa, lakini pili wataanza kukuonea huruma kwamba huenda una changamoto ya akili,

lakini zsidi sana,
mathalani jimboni kwangu, wanachama au wagombea wa chadema walikua wanaonekana kama washirikina fulani hivi, vibaka au matapeli tu ambao wamekuja kutafuta vibarua vijijini baada ya ugumu wa maisha mijini, kwasababu hawanaga ofisi wala anuani kuanzia kijijini , wilayani au mkoani :NoGodNo:
Siasa zako zimejaa matusi na uchawa
 
Siasa zako zimejaa matusi na uchawa
utambulisho wa chadema kwenye mitandao ya kijamii hua ni mihemko, uropokaji na matusi gentleman, na hilo sio jambo ambalo unaweza lisafisha,

lakini pia,
huna haja hata kidogo ya kunihamishia utambulisho huo wa fedhea sana wa chadema kwa umma :NoGodNo:
 
CDM inahujumiwa kila kona traditionally and technologically
Hukumbuki ata kwenye tone tone ilifikia hatua mtu akituma muhamala unarudishwa?
 
Back
Top Bottom