Ushauri: CHADEMA, anzisheni Tv yenu na mrushe matangazo ya bunge live

Salary Slip

Platinum Member
Apr 3, 2012
49,325
152,136
Kwa kuwa vituo binafsi vimeruhusiwa kurusha matangazo ya Bunge live, nawashauri CHADEMA waanzishe harambee na pia kuomba wafadhili wa chama wawasaidie katika kuanzisha kituo chao cha Tv ambacho kitaendeshwa kibiashara na pia kitatangaza shughuli za Bunge moja kwa moja.

Kituo hicho pia kitawasaidia katika kampeni za mwaka 2020 kama jinsi Star tv ilivyowasaidia CCM katika kampeni za uchaguzi mkuu uliopita.

Mna muda wa kutosha mpaka 2020 na mnaweza kuanza na mikoa michache kwanza.Hatua hii itakuwa ni ushindi mkubwa kwenu kisiasa na pigo kwa wabaya wenu labda tu wawafanyie mizengwe katika kuwapa leseni au kurusha matangazo hayo live.
 
Ushauri mzuri bro
Tatizo la wapinzani ni kutegemea tu siasa za majukwaani na Bungeni bila kuangalia fursa zingine zinazoweza kuwasaidia kuwa karibu na kukubalika kwa wananchi wengi zaidi.Hata sisi mashabiki wa upinzani hatutumii muda wetu mwingi kuwashauri zaidi tu ya kusambaza na kujadili habari zao binafsi,za chama na zile zinazohusu matukio mbalimbali ya kisiasa.
 
Kwa kuwa vituo binafsi vimeruhusiwa kurusha matangazo ya Bunge live,nawashauri CHADEMA waanzishe harambee na pia kuomba wafadhili wa chama wawasaidie katika kuanzisha kituo chao cha Tv ambacho kitaendeshwa kibiashara na pia kitatangaza shughuli za Bunge moja kwa moja.

Kituo hicho pia kitawasaidi katika kampeni za mwaka 2020 kama jinsi Star tv ilivyowasaidi CCM katika kampeni za uchaguzi mkuu uliopita.

Mna muda wa kutosha mpaka 2020 na mnaweza kuanza na mikoa michache kwanza.Hatua hii itakuwa ni ushindi mkubwa kwenu kisiasa na pigo kwa wabaya wenu labda tu wawafanyie mizengwe katika kuwapa leseni au kurusha matangazo hayo live.
Hili wakilifanyia kazi nadhani liyawasaidia sana.
 
Kwa kuwa vituo binafsi vimeruhusiwa kurusha matangazo ya Bunge live,nawashauri CHADEMA waanzishe harambee na pia kuomba wafadhili wa chama wawasaidie katika kuanzisha kituo chao cha Tv ambacho kitaendeshwa kibiashara na pia kitatangaza shughuli za Bunge moja kwa moja.

Kituo hicho pia kitawasaidi katika kampeni za mwaka 2020 kama jinsi Star tv ilivyowasaidi CCM katika kampeni za uchaguzi mkuu uliopita.

Mna muda wa kutosha mpaka 2020 na mnaweza kuanza na mikoa michache kwanza.Hatua hii itakuwa ni ushindi mkubwa kwenu kisiasa na pigo kwa wabaya wenu labda tu wawafanyie mizengwe katika kuwapa leseni au kurusha matangazo hayo live.


HILI GENGE LENU HALINA HATA OFISI ZA CHAMA ZENYE PROPER ADRESS ..... LINA MASHINA YA WAKEREKETWA TU KWA KUWA NYINYI NI WAPIGA DILI NA MUDA WOWOTE MNAJUA MTASEPA....LEO MNAZUNGUMZIA KUMILIKI TV STATION....ULEVI ASUBUHI NI NOMA!
 
HILI GENGE LENU HALINA HATA OFISI ZA CHAMA ZENYE PROPER ADRESS ..... LINA MASHINA YA WAKEREKETWA TU KWA KUWA NYINYI NI WAPIGA DILI NA MUDA WOWOTE MNAJUA MTASEPA....LEO MNAZUNGUMZIA KUMILIKI TV STATION....ULEVI ASUBUHI NI NOMA!
Hizo ofisi zenu mlipaswa kuzirejesha serikalini kwani zilijengwa chini ya mfumo wa chama kimoja na siku mkitoka madarakani ofisi na mali nyingine zote kama vile viwanja n.k mlizojimilikisha wakati wa chama kimoja tutawanyang'anya.
 
Hata gazeti chama hakina ije kuwa TV we jamaa unaota ama nn kama vipi mshauri mbowe aanzishe sio chama
 
Kwa kuwa vituo binafsi vimeruhusiwa kurusha matangazo ya Bunge live, nawashauri CHADEMA waanzishe harambee na pia kuomba wafadhili wa chama wawasaidie katika kuanzisha kituo chao cha Tv ambacho kitaendeshwa kibiashara na pia kitatangaza shughuli za Bunge moja kwa moja.

Kituo hicho pia kitawasaidi katika kampeni za mwaka 2020 kama jinsi Star tv ilivyowasaidi CCM katika kampeni za uchaguzi mkuu uliopita.

Mna muda wa kutosha mpaka 2020 na mnaweza kuanza na mikoa michache kwanza.Hatua hii itakuwa ni ushindi mkubwa kwenu kisiasa na pigo kwa wabaya wenu labda tu wawafanyie mizengwe katika kuwapa leseni au kurusha matangazo hayo live.
Mbona nakujua wewe ni Chadema damu lakini unatoa ushauri Kama upo Cuf vile? Arusha tushaanza kuchangia.
 
Ndugu yangu nadhani wewe si mgeni na jukwaa hili,hilo unalolishauri tayari limeshauriwa sana hapa jukwaani lkn hakuna kilichofanyiwa kazi na uongozi wa CHADEMA. Kwani tuliposema kwamba akina Mbowe waachie madaraka kuwapisha wengine wenye fikra na mikakati mipya ya kisiasa unadhani tulikuwa tunamaanisha nini?CHADEMA wangeweza kuibana na hata kuitoa CCM madarakani kama wangekuwa na mwenyekiti mwengine ambaye angewekeza zaidi ktk nyanja za media, angekifanya chama kifanye siasa za hoja kwa mfano kuandaa makongamano,warsha na mikutano ya ndani(hall meetings) kwaajili ya majadiliano na kubadilishana mawazo na wadau mbalimbali nchini hii ingeweza kukisaidia chama kukubalika na hata Wana CCM wenyewe.
Hili swala la bunge kuonyeshwa live tunalolipigia kelele leo lisingekuwa ishu kama chama kingekuwa kimewekeza katika nyanja za media. Sometimes nathubutu kusema kwamba CHADEMA hakina viongozi wenye kuona mbali.
Kwa kuwa vituo binafsi vimeruhusiwa kurusha matangazo ya Bunge live, nawashauri CHADEMA waanzishe harambee na pia kuomba wafadhili wa chama wawasaidie katika kuanzisha kituo chao cha Tv ambacho kitaendeshwa kibiashara na pia kitatangaza shughuli za Bunge moja kwa moja.

Kituo hicho pia kitawasaidi katika kampeni za mwaka 2020 kama jinsi Star tv ilivyowasaidi CCM katika kampeni za uchaguzi mkuu uliopita.

Mna muda wa kutosha mpaka 2020 na mnaweza kuanza na mikoa michache kwanza.Hatua hii itakuwa ni ushindi mkubwa kwenu kisiasa na pigo kwa wabaya wenu labda tu wawafanyie mizengwe katika kuwapa leseni au kurusha matangazo hayo live.
 
Ndugu yangu nadhani wewe si mgeni na jukwaa hili,hilo unalolishauri tayari limeshauriwa sana hapa jukwaani lkn hakuna kilichofanyiwa kazi na uongozi wa CHADEMA. Kwani tuliposema kwamba akina Mbowe waachie madaraka kuwapisha wengine wenye fikra na mikakati mipya ya kisiasa unadhani tulikuwa tunamaanisha nini?CHADEMA wangeweza kuibana na hata kuitoa CCM madarakani kama wangekuwa na mwenyekiti mwengine ambaye angewekeza zaidi ktk nyanja za media, angekifanya chama kifanye siasa za hoja kwa mfano kuandaa makongamano,warsha na mikutano ya ndani(hall meetings) kwaajili ya majadiliano na kubadilishana mawazo na wadau mbalimbali nchini hii ingeweza kukisaidia chama kukubalika na hata Wana CCM wenyewe.
Hili swala la bunge kuonyeshwa live tunalolipigia kelele leo lisingekuwa ishu kama chama kingekuwa kimewekeza katika nyanja za media. Sometimes nathubutu kusema kwamba CHADEMA hakina viongozi wenye kuona mbali.
Ni kweli Mbowe amefeli sana kwenye baadhi ya maeneo kama vile la chama kuwa na media na pia kuwa na asset mbalimbali kama majengo n.k.Wakati utafika itabidi tupaze sauti bila kujali wengine watasemaje au watatuchukuliaje.
 
Kwa kuwa vituo binafsi vimeruhusiwa kurusha matangazo ya Bunge live, nawashauri CHADEMA waanzishe harambee na pia kuomba wafadhili wa chama wawasaidie katika kuanzisha kituo chao cha Tv ambacho kitaendeshwa kibiashara na pia kitatangaza shughuli za Bunge moja kwa moja.

Kituo hicho pia kitawasaidi katika kampeni za mwaka 2020 kama jinsi Star tv ilivyowasaidi CCM katika kampeni za uchaguzi mkuu uliopita.

Mna muda wa kutosha mpaka 2020 na mnaweza kuanza na mikoa michache kwanza.Hatua hii itakuwa ni ushindi mkubwa kwenu kisiasa na pigo kwa wabaya wenu labda tu wawafanyie mizengwe katika kuwapa leseni au kurusha matangazo hayo live.
Tv ya CCM inaitwaje vile?
 
Kwa kuwa vituo binafsi vimeruhusiwa kurusha matangazo ya Bunge live, nawashauri CHADEMA waanzishe harambee na pia kuomba wafadhili wa chama wawasaidie katika kuanzisha kituo chao cha Tv ambacho kitaendeshwa kibiashara na pia kitatangaza shughuli za Bunge moja kwa moja.

Kituo hicho pia kitawasaidia katika kampeni za mwaka 2020 kama jinsi Star tv ilivyowasaidia CCM katika kampeni za uchaguzi mkuu uliopita.

Mna muda wa kutosha mpaka 2020 na mnaweza kuanza na mikoa michache kwanza.Hatua hii itakuwa ni ushindi mkubwa kwenu kisiasa na pigo kwa wabaya wenu labda tu wawafanyie mizengwe katika kuwapa leseni au kurusha matangazo hayo live.

Tell that to the Sultan Himself...Mbowe...bado ana hela za Lowassa kabla hajazimaliza...hamuhitaji wafadhili wala kujiendesha kibiashara
 
Back
Top Bottom