Ushauri: Biashara ya duka la pembejeo za kilimo

Ushauri: Biashara ya duka la pembejeo za kilimo

Ndiyo wataram wa tz et sasa hayo ya cku tatu si mwingine anatoa pesa tu afu wanampa chet
 
Uwe na Tin namba , vibari na mafunzo maalum toka TPRI, TFRA, TOSC kama unaweka na vya mifugo upate na mafunzo toka VET. Mafunzo ni Ghalama Sana. Vibali TFRA na Tosc ni bure, TPRI na Vet ni pesa unalipa .baada ya hapo Unaenda TRA upate tax clearance ili ukapate Resen ya biashara halmashauri uliyopo.
 
Back
Top Bottom