huku kwetu
Senior Member
- Sep 7, 2016
- 145
- 194
Kama kichwa kinavyojieleza, mimi ni mtu wa kipato cha chini sana tu so nikawa nimejidunduliza nikanunua kiwanja nikafyatua tofari. Baada ya muda kupita kidogo nikapata hela tena sasa siko huko kiliko kiwanja (nyumbani) kwa hiyo nikaamua nimtumie baba kusimamia ujenzi nikamtumia hela halafu nikamwonesha ramani ya nyumba.
Yule mzee ni mjuaji sana akabadili ramani akaweka mramani wake ambao sina hata uwezo nao akasema tutasaidia . Hela niliyompatia kama Milioni kadhaa zimeishia kwenye msingi hamna alichofanya tofari kamaliza, nilimuuliza anasema usijali mimi nitasimamia siku zinazidi kwenda hamna kinachoendelea.
Nishaurini jamani nisimuhusishe tena nitafute tu mtu mwingine asimamie Yan nimnyanganye juu kwa juu au nifanyajee asante
Yule mzee ni mjuaji sana akabadili ramani akaweka mramani wake ambao sina hata uwezo nao akasema tutasaidia . Hela niliyompatia kama Milioni kadhaa zimeishia kwenye msingi hamna alichofanya tofari kamaliza, nilimuuliza anasema usijali mimi nitasimamia siku zinazidi kwenda hamna kinachoendelea.
Nishaurini jamani nisimuhusishe tena nitafute tu mtu mwingine asimamie Yan nimnyanganye juu kwa juu au nifanyajee asante