Ushauri: Amepewa mimba na baba yake mdogo

richaabra

JF-Expert Member
Joined
Jul 12, 2016
Posts
1,472
Reaction score
3,535
Mpeni ushauri rafiki yangu, amepewa mimba na baba yake Mdogo. Yaani hapa alipo amechanganyikiwa. anaogopa kutoa ila anajiuliza afanyaje kwa maana wazazi wake wakijua kuwa ana mimba tena ya baba yake mdogo wazazi ake watamkata masikio kwa hasira.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…