richaabra JF-Expert Member Joined Jul 12, 2016 Posts 1,472 Reaction score 3,535 Oct 12, 2016 #1 Mpeni ushauri rafiki yangu, amepewa mimba na baba yake Mdogo. Yaani hapa alipo amechanganyikiwa. anaogopa kutoa ila anajiuliza afanyaje kwa maana wazazi wake wakijua kuwa ana mimba tena ya baba yake mdogo wazazi ake watamkata masikio kwa hasira.
Mpeni ushauri rafiki yangu, amepewa mimba na baba yake Mdogo. Yaani hapa alipo amechanganyikiwa. anaogopa kutoa ila anajiuliza afanyaje kwa maana wazazi wake wakijua kuwa ana mimba tena ya baba yake mdogo wazazi ake watamkata masikio kwa hasira.
Greyson55 Senior Member Joined Sep 10, 2015 Posts 161 Reaction score 110 Oct 12, 2016 #2 Kaolewe nae wewe Huna adabu ulianzaje kumvulia nguo baba ako hapa hatusaidii
mjumbe wa bwana JF-Expert Member Joined Sep 19, 2016 Posts 5,282 Reaction score 6,162 Oct 12, 2016 #3 Umelaaniwa ww kwa kufunua utupu wa baba yako
Evelyn Salt JF-Expert Member Joined Jan 5, 2012 Posts 77,105 Reaction score 165,329 Oct 12, 2016 #4 Pole mama mdogo
B Bovine Member Joined Mar 8, 2015 Posts 29 Reaction score 11 Oct 12, 2016 #5 Usitoe mimi nipo tayari kulea hiyo mimba
Tetramelyz JF-Expert Member Joined Apr 25, 2014 Posts 4,369 Reaction score 12,469 Oct 12, 2016 #6 wewe ni multisex ama? www.jamiiforums.com/threads/baada-ya-kumtoa-usichana-binamu-yangu-anataka-tuwe-wapenzi-lakini-naogopa.1117382/ w
wewe ni multisex ama? www.jamiiforums.com/threads/baada-ya-kumtoa-usichana-binamu-yangu-anataka-tuwe-wapenzi-lakini-naogopa.1117382/ w
jose mjasiriamali JF-Expert Member Joined Sep 17, 2014 Posts 1,770 Reaction score 1,603 Oct 12, 2016 #7 kuna mambo ulitakiwa kuyawaza kabla hujampa papuchi baba yako unless uwe ulibakwa
Mr Natafuta JF-Expert Member Joined Sep 26, 2016 Posts 1,670 Reaction score 767 Oct 12, 2016 #8 Michezo ya akili
Behaviourist JF-Expert Member Joined Apr 8, 2016 Posts 39,924 Reaction score 95,729 Oct 12, 2016 #9 Wewe wewe ndo ulikuwa unaponda wanaume wa kijijini kumbe unapenda wanaume baba mdogo!!..........kweli hii dunia ina mengi!
Wewe wewe ndo ulikuwa unaponda wanaume wa kijijini kumbe unapenda wanaume baba mdogo!!..........kweli hii dunia ina mengi!
Miss Zomboko JF-Expert Member Joined May 18, 2014 Posts 4,618 Reaction score 9,607 Oct 12, 2016 #10 jose mjasiriamali said: kuna mambo ulitakiwa kuyawaza kabla hujampa papuchi baba yako unless uwe ulibakwa Click to expand... Kubakwa nako kunategemea umri mkuu na mazingira ya ubakaji lasivyo jamii haitamuamini kwa kusema kabakwa
jose mjasiriamali said: kuna mambo ulitakiwa kuyawaza kabla hujampa papuchi baba yako unless uwe ulibakwa Click to expand... Kubakwa nako kunategemea umri mkuu na mazingira ya ubakaji lasivyo jamii haitamuamini kwa kusema kabakwa
Miss Zomboko JF-Expert Member Joined May 18, 2014 Posts 4,618 Reaction score 9,607 Oct 12, 2016 #11 Behaviourist said: Wewe wewe ndo ulikuwa unaponda wanaume wa kijijini kumbe unapenda wanaume baba mdogo!!..........kweli hii dunia ina mengi! Click to expand... Mkuu unamjua mleta mada au umejuaje kuhusu yeye kutopenda wanaume wa kijijini?
Behaviourist said: Wewe wewe ndo ulikuwa unaponda wanaume wa kijijini kumbe unapenda wanaume baba mdogo!!..........kweli hii dunia ina mengi! Click to expand... Mkuu unamjua mleta mada au umejuaje kuhusu yeye kutopenda wanaume wa kijijini?
Miss Zomboko JF-Expert Member Joined May 18, 2014 Posts 4,618 Reaction score 9,607 Oct 12, 2016 #12 Tetramelyz said: wewe ni multisex ama? www.jamiiforums.com/threads/baada-ya-kumtoa-usichana-binamu-yangu-anataka-tuwe-wapenzi-lakini-naogopa.1117382/ w Click to expand... Watu mna kumbukumbu mpk mnaogopesha
Tetramelyz said: wewe ni multisex ama? www.jamiiforums.com/threads/baada-ya-kumtoa-usichana-binamu-yangu-anataka-tuwe-wapenzi-lakini-naogopa.1117382/ w Click to expand... Watu mna kumbukumbu mpk mnaogopesha
taekwondo Senior Member Joined Oct 6, 2016 Posts 131 Reaction score 244 Oct 12, 2016 #13 Tetramelyz said: wewe ni multisex ama? www.jamiiforums.com/threads/baada-ya-kumtoa-usichana-binamu-yangu-anataka-tuwe-wapenzi-lakini-naogopa.1117382/ w Click to expand... mtu ukiwa muongo,jitahid uwe na kumbukumbu...madhara yake ndo hivi mtu kujichanganya..
Tetramelyz said: wewe ni multisex ama? www.jamiiforums.com/threads/baada-ya-kumtoa-usichana-binamu-yangu-anataka-tuwe-wapenzi-lakini-naogopa.1117382/ w Click to expand... mtu ukiwa muongo,jitahid uwe na kumbukumbu...madhara yake ndo hivi mtu kujichanganya..
Behaviourist JF-Expert Member Joined Apr 8, 2016 Posts 39,924 Reaction score 95,729 Oct 12, 2016 #14 miss zomboko said: Kubakwa nako kunategemea umri mkuu na mazingira ya ubakaji lasivyo jamii haitamuamini kwa kusema kabakwa Click to expand... Aliwahi kutoa uzi wa kuwaponda wanaume wa kijijini mkuu,ushahidi huu hapa:https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/1129896/
miss zomboko said: Kubakwa nako kunategemea umri mkuu na mazingira ya ubakaji lasivyo jamii haitamuamini kwa kusema kabakwa Click to expand... Aliwahi kutoa uzi wa kuwaponda wanaume wa kijijini mkuu,ushahidi huu hapa:https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/1129896/
Miss Zomboko JF-Expert Member Joined May 18, 2014 Posts 4,618 Reaction score 9,607 Oct 12, 2016 #15 Behaviourist said: Aliwahi kutoa uzi wa kuwaponda wanaume wa kijijini mkuu,ushahidi huu hapa:https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/1129896/ Click to expand... naona leo kaamua kuja kivingine mkuu
Behaviourist said: Aliwahi kutoa uzi wa kuwaponda wanaume wa kijijini mkuu,ushahidi huu hapa:https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/1129896/ Click to expand... naona leo kaamua kuja kivingine mkuu
jose mjasiriamali JF-Expert Member Joined Sep 17, 2014 Posts 1,770 Reaction score 1,603 Oct 12, 2016 #16 miss zomboko said: Kubakwa nako kunategemea umri mkuu na mazingira ya ubakaji lasivyo jamii haitamuamini kwa kusema kabakwa Click to expand... mkuu huo mzigo hapo kwenye avatar ni wako au?
miss zomboko said: Kubakwa nako kunategemea umri mkuu na mazingira ya ubakaji lasivyo jamii haitamuamini kwa kusema kabakwa Click to expand... mkuu huo mzigo hapo kwenye avatar ni wako au?
Miss Zomboko JF-Expert Member Joined May 18, 2014 Posts 4,618 Reaction score 9,607 Oct 12, 2016 #18 jose mjasiriamali said: mkuu huo mzigo hapo kwenye avatar ni wako au? Click to expand... Ni wangu
Behaviourist JF-Expert Member Joined Apr 8, 2016 Posts 39,924 Reaction score 95,729 Oct 12, 2016 #19 miss zomboko said: naona leo kaamua kuja kivingine mkuu Click to expand... Pia aliwahi kudai kuwa yeye ni dume la mbegu na alimtoa binamu yake usichana,ushahidi huu hapa mkuu!:https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/1117382/
miss zomboko said: naona leo kaamua kuja kivingine mkuu Click to expand... Pia aliwahi kudai kuwa yeye ni dume la mbegu na alimtoa binamu yake usichana,ushahidi huu hapa mkuu!:https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/1117382/
Apollo JF-Expert Member Joined May 26, 2011 Posts 4,920 Reaction score 3,244 Oct 12, 2016 #20 Inakuwaje mtu anaomba ushauri akiwa anadanganya? I mean, why wasting of time?!